SlideShare une entreprise Scribd logo
1  sur  531
Télécharger pour lire hors ligne
HUDUMA NA KARAMA 
 ZA ROHO MTAKATIFU
     NDANI YAKO

      Mwl. Mgisa Mtebe
    mgisamtebe@yahoo.com
       +255‐713‐497‐654
HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO



   1Wakorintho 4:1‐2
   1Wakorintho 4:1 2
  1Wakorintho 12:4‐11
  1Wakorintho 12:4 11
    Warumi 12:3‐8
    Warumi 12:3 8
HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO




  1Wakorintho 4:1‐2
HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO
      1Wakorintho 4:1‐2
1 Basi, mtu na atuhesabu hivi, 
kwamba sisi ni watumishi wa 
 Kristo na mawakili wa siri za
        na mawakili wa siri za 
 Mungu. 2 Na linalotakiwa ni 
      g
    watumishi na mawakili
waonekane kuwa waaminifu. 
Huduma na Karama




1Wakorintho 12:4‐11
Huduma na Karama
     1Wakorintho 12:4‐11
4 Basi kuna aina mbali mbali za
   karama, lakini R h ni yule
   k        l ki i Roho i l
   yule. 5
   yule 5 Pia kuna huduma za
 aina mbali mbali, lakini Bwana 
           ni yule yule. 
Huduma na Karama
      1Wakorintho 12:4‐11
6 Kisha kuna tofauti za kutenda
  kazi, lakini i Mungu yule yule
  k i l ki i ni M         l   l
   atendaye kazi zote kwa watu
               wote. 
Huduma na Karama
       1Wakorintho 12:4‐11
7 Basi kila mmoja hupewa ufunuo
   wa Roho kwa faida ya wote
                         wote. 
 8 Maana mtu mmoja kwa Roho
                    j
   hupewa neno la hekima na
  mwingine neno la maarifa kwa
          Roho huyo huyo
                    huyo. 
Huduma na Karama
      1Wakorintho 12:4‐11
9 Mtu mwingine imani kwa huyo
  Roho na mwingine karama za
   kuponya. 10 Kwa mwingine
     p y                 g
    matendo ya miujiza, kwa
mwingine unabii kwa mwingine
       kupambanua roho;
Huduma na Karama
       1Wakorintho 12:4‐11
 10 … kwa mwingine aina mbali
 mbali za lugha kwa mwingine
            lugha, kwa
  tafsiri za lugha. 11 Haya yote
               g         y y
 hufanywa na huyo huyo Roho
mmoja, Roho naye h
     j R h           humgawia kil
                             i kila
      mtu, kama
      mtu kama apendavyo
            mwenyewe.
Huduma na Karama
       1Wakorintho 12:4‐11
 10 … kwa mwingine aina mbali
 mbali za lugha kwa mwingine
            lugha, kwa
  tafsiri za lugha. 11 Haya yote
               g         y y
 hufanywa na huyo huyo Roho
mmoja, Roho naye h
     j R h           humgawia kil
                             i kila
      mtu, kama
      mtu kama apendavyo
            mwenyewe.
Huduma na Karama




Warumi 12:3‐8
Huduma na Karama
          Warumi 12:3‐8
 3 Kwa ajili ya neema niliyopewa
nawaambia kila mmoja miongoni
  mwenu, asijidhinie kuwa bora
         , j
kuliko impasavyo, bali afikiri kwa
busara kwa kulingana na kipimo
   cha imani
   cha imani Mungu aliyompa
                     aliyompa. 
Huduma na Karama
           Warumi 12:3‐8
 4 Kama vile katika mwili mmoja
  tulivyo na viungo vingi navyo
                     vingi, navyo
  viungo vyote havina kazi moja, 
      g y                       j
 5 vivyo hivyo na sisi tulio wengi, 
tu mwili mmoja k ik K i
       ili    j katika Kristo, nasi i
     kila mmoja ni kiungo cha
                            cha 
            mwenzake.
Huduma na Karama
           Warumi 12:3‐8
6 Tuna karama zilizotofautiana kila
    mmoja kutokana na neema
   tuliyopewa. Kama ni unabii na
       y p
 tutoe unabii kwa kadiri ya imani.
       7 Kama ni k h d
       7K      i kuhudumu na
  tuhudumu, mwenye
  tuhudumu mwenye kufundisha
           na afundishe,
Huduma na Karama
          Warumi 12:3‐8
8 kama ni kutia moyo na atie moyo, 
  kama ni kuchangia kwa ajili ya
 mahitaji ya wengine na atoe kwa
   ukarimu, kama ni uongozi na
    aongoze kwa bidii kama ni
                 bidii, kama
kuhurumia wengine na afanye hivyo
            kwa furaha. 
HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO




    Utumishi wetu 
    Utumishi wetu
     kwa Mungu
     k M
HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO

 1. Kila mtu (mmoja mmoja) 
   katika Kanisa ana wito wake
      (huduma/karama)
2.  Wito wa mtu ( d
                 (Huduma na
    Karama yake) ni maalumu
            yake) ni
    sana (Very Specific)
          ( y p f )
KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA 
       KUSUDI LA KANISA
 Ni Kanisa liweze kulimiliki na
 Kutawala dunia na mazingira
yake, ili
yake ili binadamu aweze kuishi
maisha mazuri na kuwa chombo
  kizuri cha Ibada, kumsifu na
 kumwabudu Mungu aliye juu  juu.
KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA
KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA



  KWANINI   IBADA ?
SIFA NA IBADA KWA MUNGU
SIFA NA IBADA KWA MUNGU

    Ni Kwasababu,
    Ni K      b b
   IDABA ndio kitu cha 
            di kit h
kwanza kabisa katika moyo 
kwanza kabisa katika moyo
       wa Mungu.
       wa Mungu.
SIFA NA IBADA KWA MUNGU
SIFA NA IBADA KWA MUNGU

Zab 22:3
IDABA ndio kitu cha kwanza
                cha kwanza 
   kabisa katika moyo wa
                    y
     Mungu, kwasababu
  MUNGU ANAISHI KATIKA 
     IBADA na SIFA.
SIFA NA IBADA KWA MUNGU
SIFA NA IBADA KWA MUNGU

         Zaburi 22:3
 Wewe U Mtakatifu nawe
      U Mtakatifu, nawe
“UNAKETI” juu ya sifa za Israel
          j y


“Inhabit”                 “Unaishi”
 Inhabit                   Unaishi
KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA 
KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA

        Yohana 4:23
        Yohana 4:23
 Kwa maana Baba anawatafuta
 Kwa maana Baba anawatafuta
watu kama hao, ili wamwabudu;
Na saa ipo na sasa saa imefika, 
   ambapo waabuduo halisi,
      b         b d h li i
watamwabudu Baba katika roho 
            na kweli; 
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
 Mungu anapokupa Nguvu zake, 
 Mungu anapokupa Nguvu zake,
kwa ajili ya maisha yako duniani, 
anatafuta kukulinda wewe, ili pia 
kuilinda na ibada yake inayotoka 
kuilinda na ibada yake inayotoka
       katik maisha yako.
       katik maisha yako.
           (
           (Yohana 4:23)
                       )
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kwahiyo, Nguvu za Mungu ni za 
Kwahiyo, Nguvu za Mungu ni za
   lazima, ili kumwezesha 
 mwanadamu kuitawala dunia
    pamoja na Mungu, na 
    pamoja na Mungu na
kumwezesha mwanadamu awe 
kumwezesha mwanadamu awe
  chombo kizuri cha ibada,
      (Mwanzo 1:26‐28)
SIFA NA IBADA KWA MUNGU

               Mungu
                Zab 22:3


Ibada                       Nchi
 Yoh 4:23‐24                Kumb 8:6‐18




               Adam
                Zab 150:6
KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA 
Ibada nzuri hutoka katika moyo
      nzuri hutoka katika moyo 
uliotulia na pia maisha mazuri; 
 na maisha mazuri huchangiwa 
   sana na mazingira mazuri.
   sana na mazingira mazuri
     Kumbukumbu 8:6‐18 
     Kumbukumbu 8:6‐18
KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA 
   Mazingira yakitibuka, maisha
     a g a ya bu a, a s a
yanatibuka, na maisha yakitibuka, 
 ibada k
  b d kwa Mungu pia, inatibuka.
                            b k
   Hivyo, Shetani anachotafuta ni 
   Hivyo Shetani anachotafuta ni
  kumpiga binadamu na mazingira
yake, ili kumvurugia Mungu ibada, 
anayoitamani sana kutoka duniani. 
anayoitamani sana kutoka duniani
HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO

Huduma na Karama za Roho 
Mtakatifu ni uwezo na vipawa 
  vya Mungu ndani ya watu 
       M       d i
  wake, vinavyowawezesha 
  wake vinavyowawezesha
  kutenda kazi duniani kwa 
 kulitimiza kusudi la Mungu.
SIFA NA IBADA KWA MUNGU

               Mungu
                Zab 22:3


Ibada                       Nchi
 Yoh 4:23‐24                Kumb 8:6‐18




               Adam
                Zab 150:6
HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO

Kila Mtu katika jamii ya watu wa 
  Mungu ana Karama na Kipawa
   fulani kilichowekwa na Roho 
   f l i kili h     k        R h
       Mtakatifu wa Mungu, 
       Mtakatifu wa Mungu
  kinavyochomwezesha kutenda 
     kazi duniani ili kulitimiza  
         kusudi la Mungu.
         k di l M
HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO

     Kipawa hicho, ndicho 
kinachotenda kazi ili mtu aweze 
kuishi na kuyatawala mazingira 
k i hi    k          l     i i
  yake, hata kumwezesha mtu 
  yake hata kumwezesha mtu
    huyo kulitimiza kusudi la 
 Mungu, yaani kuwa ‘chombo 
        kizuri cha ibada’.
        ki i h ib d ’
KARAMA ZA ROHO MTAKATIFU 
         Kutoka 31:1‐5
Bwana akamwambia Musa, kwa
 ajili ya ufundi wa vyombo vyote
  jili     f di          b      t
 vya hekalu, nimempaka mafuta
  y                  p        f
(uwezo) Bezaleli mwana wa Huri, 
kwa ajili ya kazi zote za kuchora
                          kuchora, 
kuchonga, kukata na ufundi wote
       wa f dh na dh h b
           fedha    dhahabu.
SIFA NA IBADA KWA MUNGU

               Mungu
                Zab 22:3


Ibada                       Nchi
 Yoh 4:23‐24                Kumb 8:6‐18




               Adam
                Zab 150:6
KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA 
 Kwahiyo, Shetani anachotafuta ni
            Shetani anachotafuta ni 
 kumpiga binadamu na mazingira
yake, ili kumvurugia Mungu ibada, 
anayoitamani sana kutoka duniani 
anayoitamani sana kutoka duniani
    (kwa watoto wa Mungu).
           (Ufunuo 12:17)
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Hivyo, Nguvu za Mungu ni za lazima 
    yo, gu u a u gu          a a a
   katika maisha, ili kumwezesha 
   mwanadamu, kumshinda adui 
           d      k     h d d
     shetani na vizuizi vyake na 
     shetani na vizuizi vyake na
   kumwezesha kutawala maisha
       yake na mazingira yake. 
  (Mwanzo 1:26‐28; Zaburi 8:4‐8)
  (M         1 26 28 Z b i 8 4 8)
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kwahiyo, Nguvu za Mungu ni za 
Kwahiyo, Nguvu za Mungu ni za
   lazima, ili kumwezesha 
 mwanadamu kuitawala dunia
    pamoja na Mungu, na 
    pamoja na Mungu na
kumwezesha mwanadamu awe 
kumwezesha mwanadamu awe
  chombo kizuri cha ibada,
      (Mwanzo 1:26‐28)
VITA VYA ROHONI
 Ni kwamba, kuna mapambano, 
      kuna vita na upinzani
(mashindano), kati ya shetani na 
(    hi d    ) k i     h    i
  watoto wa Mungu
  watoto wa Mungu (kanisa lala 
      Bwana Yesu Kristo).”
       (Mathayo 16:18‐19)
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Hivyo, Mungu anapokupa Nguvu 
Hivyo, Mungu anapokupa Nguvu
 zake, kwa ajili ya maisha yako 
  duniani, anatafuta kukulinda 
 wewe, ili pia kuilinda na ibada 
 wewe ili pia kuilinda na ibada
 yake inayotoka katika maisha
       inayotoka katika maisha 
   yako (inayotoka duniani).
          (Yohana 4:23)
KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA 
       KUSUDI LA KANISA
 Ni Kanisa liweze kulimiliki na
 Kutawala dunia na mazingira
yake, ili
yake ili binadamu aweze kuishi
maisha mazuri na kuwa chombo
  kizuri cha Ibada, kumsifu na
 kumwabudu Mungu aliye juu  juu.
KARAMA NA HUDUMA ZA ROHO
  Kanisa la Mungu ni Ofisi ya 
Mungu na Ubalozi wa Mbinguni
duniani. Hivyo Mungu anataka 
duniani Hivyo Mungu anataka
 Kanisa lake (Ofisi yake) iwe na 
               (     y )
watendakazi walio bora zaidi na 
 itoe huduma bora zaidi kuliko 
    taasisi zingine za duniani.
    taasisi zingine za duniani
KARAMA NA HUDUMA ZA ROHO
        Mathayo 25:14‐30
Mungu hawezi kuivumilia jambo 
 lolote linalozuia kazi ya Ufalme 
 lolote linalozuia kazi ya Ufalme
     wake duniani; ni lazima 
                    ;
  atalishughulikia kwa nguvu ili 
  kurekebisha kikwazo hicho na 
  kutoa fundisho kwa wengine.
  kutoa fundisho kwa wengine
KARAMA NA HUDUMA ZA ROHO


    Mfano wa Kwanza;
 Kutumika chini ya Kiwango
   1Wakorintho 3:10‐15
HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO
        1Wakorintho 3:10‐15
 10 Kwa neema Mungu aliyonipa, 
    niliweka msingi kama mjenzi
 stadi na mtu mwingine anajenga
                     g       j g
juu ya huo msingi. Lakini kila mtu
  inampasa awe mwangalifu jinsi
        anavyojenga juu yake
                        yake.
HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO
      1Wakorintho 3:10‐15
12 Kama mtu ye yote akijenga juu
   ya msingi huu kwa kutumia
 dhahabu, au kwa fedha, au kwa
         ,             ,
 mawe ya thamani, au kwa miti, 
  au kwa majani au kwa nyasi …
HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO
     1Wakorintho 3:10‐15
13 kazi yake itaonekana kuwa
   ikoje, kwa
   ikoje kwa kuwa siku ile
   itaidhihirisha kazi yake. 
                       y
Itadhihirishwa kwa moto, nao
moto utapima ubora wa kazi ya
           kila mtu
                mtu.
KARAMA NA HUDUMA ZA ROHO
    14 Kama kile alichojenga 
  kitabaki, atapokea thawabu. 
15 Kama kazi ya mtu itateketea, 
     atapata hasara, ila yeye 
     atapata hasara ila yeye
        y                 ,
 mwenyewe ataokolewa, lakini 
kama mtu aliyenusurika kwenye 
              moto. 
KARAMA NA HUDUMA ZA ROHO


      Mfano wa Pili;
   Kutumika nje ya Wito
    Mathayo 25:14‐30
Viashiria vya Wito wa Mtu
         Mathayo 25:14‐30
14 “Tena, Ufalme wa Mbinguni ni 
  kama mtu (Bwana) anayetaka 
   kusafiri, akawaita watumishi 
   kusafiri akawaita watumishi
    wake na kuweka mali yake 
                            y
 kwenye uangalizi wao (Uwakili) 
     ili kuitunza na kuizalisha.
Viashiria vya Wito wa Mtu
       Mathayo 25:14‐30
15 Mmoja akampa talanta tano
 (5) mwingine talanta mbili (2) 
 na mwingine talanta moja (1)
                            (1), 
 kila mmoja alipewa kwa kadiri
          j     p
   ya uwezo wake. Kisha yeye
     akasafiri kwenda mbali.
Viashiria vya Wito wa Mtu
      Mathayo 25:14‐30
19 “Baada ya muda mrefu yule 
   bwana wa wale watumishi 
akarudi na kufanya hesabu nao.
akarudi na kufanya hesabu nao
Viashiria vya Wito wa Mtu
       Mathayo 25:14‐30
 20 Yule mtumishi aliyepokea 
talanta 5 akaja, akaleta nyingine 
    5 zaidi. Akasema,  Bwana 
    5 zaidi Akasema ‘Bwana
                  y      g
    uliweka kwenye uangalizi 
    wangu talanta 5. Tazama, 
 nimepata faida talanta 5 zaidi.’ 
Viashiria vya Wito wa Mtu
       Mathayo 25:14‐30
21 “Bwana wake akamwambia, 
     ‘Umefanya vizuri sana, 
      mtumishi mwema na 
      mtumishi mwema na
        mwaminifu …! 
Viashiria vya Wito wa Mtu
        Mathayo 25:14‐30
21 “… Umekuwa mwaminifu kwa 
 vitu vichache, nitakuweka kuwa 
  msimamizi wa vitu vingi. Njoo 
  msimamizi wa vitu vingi Njoo
                        y
 ushiriki katika furaha ya bwana 
              wako!” 
Viashiria vya Wito wa Mtu
       Mathayo 25:14‐30
22 “Yule mwenye talanta 2, naye 
    akaja. Akasema, `Bwana, 
    uliweka kwenye uangalizi
    uliweka kwenye uangalizi
     wangu talanta 2. Tazama 
         g
 nimepata hapa faida ya talanta 
          mbili (2) zaidi.’ 
                ( )
Viashiria vya Wito wa Mtu
        Mathayo 25:14‐30
“Bwana wake akajibu, ‘Umefanya 
  vizuri sana, mtumishi mwema 
     na mwaminifu, na wewe 
     na mwaminifu na wewe
         p
   nakulipa kama mwenzako wa 
  kwanza kwa kutimiza kusudi la 
  wito wenu kwa kipimo chake.
Viashiria vya Wito wa Mtu
       Mathayo 25:14‐30
   24 “Kisha yule mtumishi 
   aliyepokea talanta 1 akaja, 
    li    k t l t 1 k j
    akasema,  Bwana, nilijua 
    akasema, ‘Bwana, nilijua
 kwamba wewe ni mtu mgumu, 
unayevuna mahali usipopanda na 
kukusanya mahali usipotawanya.
kukusanya mahali usipotawanya
Viashiria vya Wito wa Mtu
       Mathayo 25:14‐30
25 Kwa hiyo niliogopa, nikaenda, 
 nikaificha talanta yako ardhini. 
  Tazama, hii hapa ile iliyo mali 
  Tazama hii hapa ile iliyo mali
              y
              yako.’ 
Viashiria vya Wito wa Mtu
      Mathayo 25:14‐30
26 Bwana wake akajibu, ‘Wewe 
  mtumishi mwovu na mvivu! 
     Ulijua yote hayo lakini 
     Ulijua yote hayo lakini
         y                    y
hukufanya ulichotakiwa kufanya 
    (wewe ni mpumbavu).
Viashiria vya Wito wa Mtu
       Mathayo 25:14‐30
27 Basi, ilikupasa kuweka fedha 
    yangu kwa watoa riba, ili 
   nirudipo, nichukue ile iliyo 
   nirudipo nichukue ile iliyo
      y g
      yangu na faida yake? 
                      y
Viashiria vya Wito wa Mtu
      Mathayo 25:14‐30
   30 “Nanyi mtupeni huyo 
mtumishi asiyefaa nje, kwenye 
giza, mahali ambako kutakuwa 
giza mahali ambako kutakuwa
                   g
   na kilio na kusaga meno.’ 
Viashiria vya Wito wa Mtu
6. Kipimo (Kiasi) cha Kazi

       Luka 12:48
“… aliyepewa vingi, kwake 
“ li           i i k k
 huyo vitatakwa vingi
 huyo vitatakwa vingi …”
Viashiria vya Wito wa Mtu
 6. Kipimo (Kiasi) cha Kazi

     1Wakorintho 3:13
 “… Kazi ya kila mtu i i
 “     i kil         itapiwa, 
tena kwa moto wa Mungu
tena kwa moto wa Mungu …”
KARAMA NA HUDUMA ZA ROHO
     Mathayo 25:14‐30
 Mtumishi huyu wa Mungu 
  hakuwa mwizi au mzinzi au 
mchawi, lakini alitupwa nje ya 
mchawi lakini alitupwa nje ya
                g
Ufalme wa Mungu kwasababu 
hakuzalisha faida katika kazi ya 
     Ufalme wa Mungu … 
KARAMA NA HUDUMA ZA ROHO
        Mathayo 25:14‐30
  Udhaifu huo ulisababisha 
 kupunguza uwezo wa kazi ya 
 kupunguza uwezo wa kazi ya
  Mungu ya kutawala dunia.
         g y
           Kwa Mfano;
Injili, Elimu, Afya, Udiakonia, 
Ukarimu, Utaalamu, Ujuzi, n.k.
KARAMA NA HUDUMA ZA ROHO
  Kanisa la Mungu ni Ofisi ya 
Mungu na Ubalozi wa Mbinguni
duniani. Hivyo Mungu anataka 
duniani Hivyo Mungu anataka
 Kanisa lake (Ofisi yake) iwe na 
               (     y )
watendakazi walio bora zaidi na 
 itoe huduma bora zaidi kuliko 
    taasisi zingine za duniani.
    taasisi zingine za duniani
KARAMA NA HUDUMA ZA ROHO
        Mathayo 25:14‐30
Mungu hawezi kuivumilia jambo 
 lolote linalozuia kazi ya Ufalme 
 lolote linalozuia kazi ya Ufalme
     wake duniani; ni lazima 
                    ;
  atalishughulikia kwa nguvu ili 
  kurekebisha kikwazo hicho na 
  kutoa fundisho kwa wengine.
  kutoa fundisho kwa wengine
HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO


   Kusudi la Somo;
   Kusudi la Somo;
 Kuwaanda Waaumini
 Kuwaanda Waaumini
 Kutoa Hesabu ya Kazi
 Kutoa Hesabu ya Kazi
   Zao Kwa Mungu
   Zao Kwa Mungu
Huduma na Karama


           2Timotheo 4:6‐8
5 K h b i yako wewe, vumilia
  Kwa habari k                 ili
mateso, fanya
mateso fanya kazi ya mhubiri wa
  Injili, timiza wajibu wote wa
            huduma yako. 
Huduma na Karama


       2Timotheo 4:6‐8
 6 K maana wakati umefika, 
   Kwa            k ti   fik
mimi sasa ni tayari kumiminwa
kama sadaka ya kinywaji, nayo
saa yangu ya kuondoka duniani
           imefika.
           i fik
Huduma na Karama


        2Timotheo 4:6‐8
7 Ni
  Nimevipiga vita vizuri, mwendo
       i i    it i i          d
   nimeumaliza, Mashindano
   nimeumaliza Mashindano
 nimeyamaliza, imani nimelinda. 
Huduma na Karama
         2Timotheo 4:6‐8
 8 Sasa, nimewekewa taji ya haki
  ambayo Bwana mwamuzi wa
           Bwana, mwamuzi
haki, atanitunukia siku ile, wala si
    ,                      ,
  mimi tu, bali pia wote ambao
   wamengoja kwa shauku kuja
             Kwake.
             Kwake
Huduma na Karama
      Matendo 17:30‐31
 30 Zamani wakati wa ujinga, 
Mungu alijifanya kama haoni
                      haoni, 
lakini sasa anawaamuru watu
  wote kila mahali watubu. 
Huduma na Karama
        Matendo 17:30‐31
    31 Kwa kuwa ameweka siku
ambayo atauhukumu ulimwengu
     kwa haki, akimtumia mtu
aliyemchagua (Yaani Yesu), kwake
   huyo amewahakikishia watu
   h            h kiki hi
 wote, kwa
 wote kwa kumfufua kutoka kwa
              wafu.’’ 
Huduma na Karama

       Ufunuo 22:10‐12
10 Kisha akaniambia,  Usiyafunge
10 Kisha akaniambia “Usiyafunge
maneno ya unabii yaliyomo katika
 kitabu hiki, kwa sababu wakati
           umekaribia.
           umekaribia
Huduma na Karama

        Ufunuo 22:10‐12
   11 Atendaye mabaya na azidi
kutenda mabaya, aliye mchafu na
azidi kuwa mchafu yeye atendaye
           mchafu, yeye
haki na azidi kutenda haki na yeye
   aliye mtakatifu na azidi kuwa
            mtakatifu.’’ 
            mtakatifu ’’
Huduma na Karama

         Ufunuo 22:10‐12
 12 “Tazama naja upesi! nikiwa
      Tazama, naja upesi! nikiwa
na ujira (mshahara) wangu, nami
    j (            )     g ,
nitamlipa kila mtu sawasawa na
           alivyotenda. 
Huduma na Karama

        Mathayo 7:21‐23
   21 “Si kila mtu aniambiaye
       Si kila      aniambiaye, 
         ,        ,      y g
 ‘Bwana, Bwana,’ atakayeingia
katika Ufalme wa Mbinguni bali
  ni yeye afanyaye mapenzi ya
            f
  Baba yangu
  Baba yangu aliye mbinguni
                      mbinguni.
Huduma na Karama

        Mathayo 7:21‐23
   22 Katika
   22 Katika siku hiyo wengi
                  hiyo, wengi
 wataniambia siku ile, ‘Bwana, 
                       ,       ,
 Bwana, hatukutoa unabii kwa
jina lako na kwa jina lako kutoa
pepo na kufanya miujiza mingi?
Huduma na Karama

       Mathayo 7:21‐23
23 Ndipo
23 Ndipo nitakapowaambia wazi
                         wazi, 
  Sikuwajua kamwe. Ondokeni
        j
kwangu, ninyi watenda maovu!’ 
Huduma na Karama
        Mathayo 7:21‐23
Kumbe, uovu si mpaka umefanya
 ambacho hukutakiwa kufanya
                       kufanya, 
      kumbe hata kutofanya
                         y
ulichotakiwa kufanya, pia ni uovu
        mbele za Mungu.
Huduma na Karama
        Mathayo 7:21‐23

  Sins of                       Sins of
  Sins of                       Sins of
Commission             Ommission

 Dhambi za              Dhambi za
 Kutenda               Kutokutenda
HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO

           Amos 4:12
     12 “Kwa hiyo hili ndilo 
nitakalowafanyia Israeli na kwa 
    sababu nitawafanyia hili,
    sababu nitawafanyia hili
 jiandaeni kukutana na Mungu 
 jiandaeni kukutana na Mungu
        wenu, Ee Israeli.’’ 
HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO

      Kitu kimojawapo 
     kinachosababisha 
 kutokutembea na Nguvu za 
 k k        b      N
Mungu leo, ni kutokuheshimu 
Mungu leo ni kutokuheshimu
Huduma na Karama za Roho 
 Mtakatifu zilivyowekwa na 
    Mungu katika Kanisa.
    M       k tik K i
HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO

Moja ya kanuni muhimu katika 
Kanisa, inayoweza kusababisha 
   watu wa Mungu (Kanisa) 
            M      (K i )
kutembea kwa ushindi duniani, 
kutembea kwa ushindi duniani
ni watu kuheshimu Huduma na 
  Karama za Roho Mtakatifu.
HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO


Utambulisho wa Somo;
Utambulisho wa Somo;
   Nini Maana ya 
 Huduma na Karama?
HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO

Huduma na Karama za Roho 
Mtakatifu ni uwezo na vipawa 
  vya Mungu ndani ya watu 
       M       d i
  wake, vinavyowawezesha 
  wake vinavyowawezesha
  kutenda kazi duniani kwa 
 kulitimiza kusudi la Mungu.
HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO

Kila Mtu katika jamii ya watu wa 
  Mungu ana Karama na Kipawa
   fulani kilichowekwa na Roho 
   f l i kili h     k        R h
       Mtakatifu wa Mungu, 
       Mtakatifu wa Mungu
  kinavyochomwezesha kutenda 
     kazi duniani ili kulitimiza  
         kusudi la Mungu.
         k di l M
HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO

     Kipawa hicho, ndicho 
kinachotenda kazi ili mtu aweze 
kuishi na kuyatawala mazingira 
k i hi    k          l     i i
  yake, hata kumwezesha mtu 
  yake hata kumwezesha mtu
    huyo kulitimiza kusudi la 
 Mungu, yaani kuwa ‘chombo 
        kizuri cha ibada’.
        ki i h ib d ’
Huduma na Karama


Huduma na Karama za 
   Roho Mtakatifu
     h     k if
(1Wakorintho 12:4‐11)
(1W k i th 12 4 11)
   (Warumi 12:3‐8)
   (Warumi 12:3 8)
Huduma na Karama
      1Wakorintho 12:12‐31
Huduma na Karama katika kanisa, 
  ni k
   i kama viungo k tik mwili wa
            i     katika     ili
  binadamu. Ili mwili
  binadamu. Ili mwili ufanye kazi
      sawa sawa, ni lazima kila
  kiungo kikae katika nafasi yake
 na kifanye kazi yake sawa sawa
                            sawa.
Huduma na Karama
 Lakini katika Kanisa la leo, 
    maswala ya Karama na
huduma yamechanganwa sana
  na yamechakachuliwa sana
     y
kiasi cha kuleta mvurugano na
   matatizo makubwa katika
 utendaji wa kazi ya Mungu
                      Mungu.
Huduma na Karama
   1Wakorintho 12:12‐31
Na kuna waumini wengi sana
 katika kanisa, hawajui wito
 k tik k i h          j i it
 wao, karama
 wao karama zao na huduma
zao katika kanisa la Yesu, japo
 wana miaka mingi kanisani.
Huduma na Karama
    1Wakorintho 12:12‐31
Na kuna baadhi ya karama na
     huduma k tik K i
     h d     katika Kanisa, 
zimefutwa au kuzimwa kabisa,
           au kuzimwa kabisa, 
eti kwa madai kwamba wakati
 wake ulikwisha kupita tangu
  enzi za mitume wa kwanza
                     kwanza.
Huduma na Karama
     1Wakorintho 12:12‐31
Na baadhi ya karama na huduma
   katika Kanisa, zimefutwa au 
   k tik K i       i f t
 kuzimwa kabisa, eti kwa madai
           kabisa, eti
  kwamba karama hizo zinaleta
      vurugu katika Kanisa.
   (1Wathesalonike 5:19‐23)
   (1W th l ik 5 19 23)
Huduma na Karama
     1Wathesalonike 5:19‐23
19 Msimzimishe Roho (msiuzime
      moto au karama za Roho
            au karama
      Mtakatifu), 20 msidharau
   maneno ya nabii. 21 Jaribuni
 mambo yote.  (halafu) Yashikeni
        b    t (h l f ) Y hik i
  yaliyo mema. 22 Jiepusheni na
          mema. 22
 lililo ovu (uovu wa kila namna). 
HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO

Huduma na Karama za Roho 
Mtakatifu ni uwezo na vipawa 
  vya Mungu ndani ya watu 
       M       d i
  wake, vinavyowawezesha 
  wake vinavyowawezesha
  kutenda kazi duniani kwa 
 kulitimiza kusudi la Mungu.
Karama na huduma
        Mathayo 16:18‐19,
Lakini katika Kanisa la leo, nguvu 
   za Kanisa zimepungua sana 
   za Kanisa zimepungua sana
 kwasababu kanisa limesimamia
 kwasababu kanisa limesimamia
misingi (misimamo) tofauti na ile 
  aliyoiweka Bwana Yesu katika 
           Kanisa lake. 
           Kanisa lake
Karama na huduma
        Mathayo 16:18‐19,
  Na ndio maana, kanisa la leo, 
 halijaweza kuishi na kutembea 
 halijaweza kuishi na kutembea
katika mamlaka ya Mungu kama 
katika mamlaka ya Mungu kama
ilivyokusudiwa, kwamba Kanisa 
  limiliki na kuitawala dunia, ili 
   watu waishi maisha mazuri.
   watu waishi maisha mazuri
KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA 
       KUSUDI LA KANISA
 Ni Kanisa liweze kulimiliki na
 Kutawala dunia na mazingira
yake, ili
yake ili binadamu aweze kuishi
maisha mazuri na kuwa chombo
     kizuri cha kumsifu na
 kumwabudu Mungu aliye juu  juu.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Nguvu za Mungu ni za lazima katika 
  gu u a u gu        a a a a a
     kumwezesha mwanadamu 
kuitawala dunia pamoja na Mungu, 
k       l d
ili mwanadamu awe chombo kizuri 
ili mwanadamu awe chombo kizuri
 cha ibada, kwasababu ana maisha 
          mazuri duniani …
         (Mwanzo 1:26‐28)
         (M        1 26 28)
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
   Ili kumwezesha mwanadamu 
        u     e es a     a ada u
kuitawala dunia pamoja na Mungu, 
  Mungu alimuumbia mfumo wa 
            l        b     f
uungu katika utu wake wa ndani ili
        katika utu wake wa ndani, ili 
 atende kazi duniani kwa kutumia 
          Nguvu za Mungu.
          (Mwanzo 1:26‐28)
          (M         1 26 28)
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kumbe basi; (Zaburi 8:4‐8)
          ; (             )
   Pasipo kuwa na Sura ya Mungu 
    na Mfano wa Mungu (yaani 
   UTUKUFU au Nguvu za Mungu)
              au Nguvu za Mungu), 
   mtu wa Mungu huwezi kumiliki 
      na kuitawala dunia yake.
          (mambo yake) 
          (      b    k )
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
•   Biashara                        Zaburi 8:4‐8
•   Shamba
•   Mifugo 
    Mifugo                        Haiwezekani
                                  H i       k i
•   Masomo                    kuitawala Dunia
•   Familia                      pasipo nguvu
•   Kazi 
    K i                          (utukufu)
                                 ( k f ) wa
•   Afya                              Mungu
•   Mipango 
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
  Mfumo wa uungu katika utu 
  Mfumo wa uungu katika utu
  wetu wa ndani, ni maalumu 
   kutuwezesha kutenda kazi 
duniani, katika vipawa na karama 
duniani katika vipawa na karama
  tofauti tofauti, vitakavyoleta 
  tofauti tofauti, vitakavyoleta
 mchango wa maisha mazuri, ili 
 tuishi maisha mazuri ya ibada.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
  Kwahiyo, vipawa na karama 
  Kwahiyo, vipawa na karama
mbalimbali, vilivyo ndani yetu, ni 
maalumu kabisa kuleta mchango 
   mzuri katika kuyatawala 
   mzuri katika kuyatawala
mazingira yetu, ili tuishi maisha 
mazingira yetu, ili tuishi maisha
     mazuri ya kumsifu na 
     kumwabudu Mungu.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU


           2Petro 1:3‐4
           2P t 1 3 4
  3 Kwakuwa uweza wake (yaani, 
                          (y    ,
 nguvu zake za) uungu umetupatia
mambo yote
mambo yote tunayohitaji kwa ajili ya
 maisha na utauwa wa Mungu, kwa
kumjua Yeye aliyetuita kwa utukufu
 Wake na wema Wake mwenyewe. 
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

           2Petro 1:3‐4
           2P     134
  4 Kwa
  4 Kwa sababu hiyo, ametukirimia
                hiyo, ametukirimia
ahadi Zake kuu na za thamani kupitia
 mambo haya, ili
 mambo haya ili kwa kupitia hayo
 mpate kuwa washiriki wa tabia za
uungu, mkiokolewa
uungu mkiokolewa na uharibifu (au
                                (au 
upotovu) ulioko duniani kwa sababu
         ya tamaa mbaya.
                      b
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
          Waefeso 4:11‐14
Nguvu za Mungu zilizopo ndani yako, 
zinatosha kabisa kukuwezesha kuishi 
na kuyatawala mazingira yako, kama 
na kuyatawala mazingira yako kama
Bwana Yesu alivyoishi na kuyatawala 
  mazingira yake, bila kushindwa au 
      kuzuiliwa na hali yoyote.
      kuzuiliwa na hali yoyote
KABLA YA DHAMBI (ANGUKO) 
 KABLA YA DHAMBI (ANGUKO)
(Utukufu) 
(Utukufu) Msaada     Mungu

Mwili                  Roho

Dunia
             Nafsi
Shetani
BAADA YA DHAMBI (ANGUKO) 
 BAADA YA DHAMBI (ANGUKO)
(Utukufu) 
(Utukufu) Uhusiano    Mungu

Mwili                  Roho

Dunia
              Nafsi
Shetani
BAADA YA WOKOVU (KALVARI) 
 BAADA YA WOKOVU (KALVARI)
(Utukufu) 
(Utukufu) Uhusiano    Mungu

Mwili                  Roho

Dunia
              Nafsi
Shetani
BAADA YA WOKOVU (KALVARI) 
BAADA YA WOKOVU (KALVARI)
        (Utukufu) Roho Mt.
        (Utukufu) Roho Mt Mungu

Mwili                          Roho

Dunia
                Nafsi
Shetani        (Rum 8:9‐11) 
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
            Kwahiyo …
                   y
Kila mtu amwaminiye Yesu Kristo, 
na wokovu wake, anaunganishwa 
   tena na Mungu, katika utu wa 
   tena na Mungu katika utu wa
    ndani, ambao pale mwanzo 
ulivunjika kwa ile dhambi ya Adam 
na Eva kule katika bustani ya Eden.
na Eva kule katika bustani ya Eden
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
   Ili kumwezesha mwanadamu 
        u     e es a     a ada u
kuitawala dunia pamoja na Mungu, 
  Mungu alimuumbia mfumo wa 
            l        b     f
uungu katika utu wake wa ndani ili
        katika utu wake wa ndani, ili 
 atende kazi duniani kwa kutumia 
          Nguvu za Mungu.
          (Mwanzo 1:26‐28)
          (M         1 26 28)
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
  Mfumo wa uungu katika utu 
  Mfumo wa uungu katika utu
  wetu wa ndani, ni maalumu 
   kutuwezesha kutenda kazi 
duniani, katika vipawa na karama 
duniani katika vipawa na karama
  tofauti tofauti, vitakavyoleta 
  tofauti tofauti, vitakavyoleta
 mchango wa maisha mazuri, ili 
 tuishi maisha mazuri ya ibada.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
  Kwahiyo, vipawa na karama 
  Kwahiyo, vipawa na karama
mbalimbali, vilivyo ndani yetu, ni 
maalumu kabisa kuleta mchango 
   mzuri katika kuyatawala 
   mzuri katika kuyatawala
mazingira yetu, ili tuishi maisha 
mazingira yetu, ili tuishi maisha
     mazuri ya kumsifu na 
     kumwabudu Mungu.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

 Pasipo, Nguvu za Mungu, 
 Pasipo Nguvu za Mungu
     (nguvu za kiroho) 
     (nguvu za kiroho)
   mwanadamu hataweza 
kutawala mazingira yake kwa 
ukamilifu; hataweza kuwa na 
ukamilifu; hataweza kuwa na
  ushindi kamili maishani.
  ushindi kamili maishani. 
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU



Nguvu za Mungu ni za lazima 
Nguvu za Mungu ni za lazima
   sana katika maisha ya  y
   mwanadamu, duniani.
     (‘It’s a necessity’)
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kwahiyo, Nguvu za Mungu ni za 
Kwahiyo, Nguvu za Mungu ni za
  lazima, ili kukiwezesha kile 
    kipawa na karama yake, 
   kichipuke na kufanya kazi 
   kichipuke na kufanya kazi
    duniani, katika kiwango
    duniani, katika kiwango
        kilichokusudiwa.
            2Pet 1:3‐4
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Hivyo, Mungu anapokupa Nguvu 
Hivyo, Mungu anapokupa Nguvu
 zake, kwa ajili ya maisha yako 
  duniani, anatafuta kukulinda 
 wewe, ili pia kuilinda na ibada 
 wewe ili pia kuilinda na ibada
 yake inayotoka katika maisha
       inayotoka katika maisha 
   yako (inayotoka duniani).
          (Yohana 4:23)
UHIRIKA NA ROHO MTAKATIFU 


   Siri ya Ushindi wetu
   Siri ya Ushindi wetu
Upo katika Kumtambua Roho 
Upo katika Kumtambua Roho
Mtakatifu, katika Nafasi zake;
     (Yohana 14:16 17)
     (Yohana 14:16‐17)
SIRI YA KANISA LA LEO

     Bwana Yesu alisema; 
‘Ulimwengu hauwezi kumpokea
 Ulimwengu
 kwasababu haumtambui, bali
 ninyi mnamtambua, kwahiyo
   i i      t b       k hi
    atakaa kwenu na kuwa
          ndani yenu’ 
        (Yohana 14:17)
                14:17). 
UHIRIKA NA ROHO MTAKATIFU 
  S
  Siri ya Ushindi wetu
          Us d etu
Upo katika Kumtambua Roho
 p
Mtakatifu, katika Nafasi zake;
  1. Yeye ni Mungu
  2. Yeye ni N
  2 Y       i Nguvu ya M
                       Mungu
  3.
  3 Yeye ni Mtu ‐ Nafsi hai
UHIRIKA NA ROHO MTAKATIFU 

Kumtambua Roho Mtakatifu,
          Roho Mtakatifu,

 Kama Mtu Kumshirikisha yote
 Kama Mtu – Kumshirikisha yote
 Nguvu ya Mungu – Kumtegemea
 Kama Mungu – Kumtii 100%
ROHO MTAKATIFU NI MUNGU 
   Ndio maana, Bwana Yesu 
   Ndio maana, Bwana Yesu
 alichukua muda mrefu sana, 
kumtambulisha Roho mtakatifu 
   kwa kanisa, ili kanisa lisije 
   kwa kanisa ili kanisa lisije
kufanya kosa hilo, la kumtompa 
kufanya kosa hilo, la kumtompa
      Roho heshima yake. 
ROHO MTAKATIFU NI MUNGU 
 Pamoja na upole wake, Bwana Yesu
       j       p          ,
pia alijua jinsi Roho Mtakatifu alivyo
‘very strict’ (ji i alivyo na msimamo
‘        i ’ (jinsi li          i
  mkali sana), yaani yuko ‘very strict’
        sana), yaani        very strict
   kuliko Mungu Baba na ni ‘strict’ 
  kuliko Mungu Mwana Bwana Yesu
               mwenyewe. 
               mwenyewe
ROHO MTAKATIFU NI MUNGU 
 Pamoja na upole wake, Roho
                   wake, Roho
Mtakatifu yuko ‘very strict’ kuliko
        Baba na Mwana.

     Soma mwenyewe uone, 
       Mathayo 12:22‐32 
SIRI YA KANISA LA LEO
Siri ya Kanisa la leo, ipo katika;
     y               , p         ;
1. Kumtambua Roho Mtakatifu
2. Kumthamini Roho Mtakatifu
3. Kumshirikisha
3 Kumshirikisha Roho Mtakatifu
4. Kumsikiliza Roho Mtakatifu
5. Kumtii Roho Mtakatifu
ROHO MTAKATIFU 
  ROHO MTAKATIFU


ROHO MTAKATIFU 
ROHO MTAKATIFU
  YUKO WAPI?
  YUKO WAPI?
  Yohana 16:7
  Y h    16 7
ROHO MTAKATIFU YUKOJE NASI. 
       Yohana 14:12‐17
                14:12 17
    1. Yupo Pamoja Nawe
          p        j
        (He is with you)
ROHO MTAKATIFU YUKOJE NASI. 
           Yoel 2:28
     ‘Katika siku za mwisho, 
    asema Bwana, nitamwaga
     Roho wangu juu ya wote
           wenye mwili’.
i.e. Kila mwenye mwili, Roho
Mtakatifu yupo pamoja naye
ROHO MTAKATIFU YUKOJE NASI. 
       Yohana 14:12‐17
                14:12 17
    1. Yupo Pamoja Nawe
          p        j
        (He is with you)
           Kazi yake:
         Kukushuhudia
           (Yoh 16:8)
ROHO MTAKATIFU YUKOJE NASI. 
       Yohana 14:12‐17
                14:12 17
     2. Yupo Ndani yako
           p         y
         (He is in you)
           Kazi yake:
     Kutuzaa mara ya pili
   katika Uzima wa milele.
ROHO MTAKATIFU YUKOJE NASI. 
         Matendo 1:8
  3. Huwa anakuja juu yako
                 j j y
       (He is upon you)
          Kazi yake:
  Kutupa uwezo (upako) wa
   Kuifanya kazi ya Mungu.
ROHO MTAKATIFU YUKOJE NASI. 
          Kutoka 31:1‐5
 Bwana akamwambia Musa, kwa
ajili ya ufundi wa vyombo vote vya
  jili    f di           b     t
      hekalu, nimempaka mafuta
                    p        f
 (uwezo) Bezaleli mwana wa Huri, 
 kwa ajili ya kazi zote za kuchora
                           kuchora, 
 kuchonga, kukata na ufundi wote
        wa f dh na dh h b
            fedha    dhahabu.
ROHO MTAKATIFU YUKOJE NASI. 
         1Petro 4:11
         1Petro 4:11
“ …Ye yote ahudumuye maneno
   hana budi kuhudumu kwa
   nguvu zile apewazo na Mungu
                         Mungu, 
   ili Mungu apate kutukuzwa
   katika mambo yote kwa njia
   ya Yesu Kristo ”
           Kristo…
ROHO MTAKATIFU YUKOJE NASI. 
       Matendo 10:38
“ … Jinsi Mungu alivyompaka Yesu
   Kristo
   K i t mafuta, kwa R h
                f t k Roho
   Mtakatifu na Nguvu; naye
              f      g    y
   akawa akizunguka katika miji
   na vijiji akiwaponya watu na
       vijiji, akiwaponya
   kuwafungua wote walioonewa
   na ibili i ”
       ibilisi…”
ROHO MTAKATIFU 
      NGUVU YA MUNGU 
      NGUVU YA MUNGU


Kumbe basi;
          ;
    Pasipo nguvu za Mungu, 
   (UTUKUFU) mtu wa Mungu 
    huwezi kufanikiwa katika 
    h     i k f iki k tik
   maisha yako hapa duniani. 
   maisha yako hapa duniani.
ROHO MTAKATIFU

   Kazi za 
   Kazi za
Roho Mtakatifu
Roho Mtakatifu

  Yohana 14:26
  Yohana 14:26
  Yohana 16:13
  Yohana 16:13
KAZI ZA ROHO MTAKATIFU

          1.
 Kutushuhudia kuhusu
 Kutushuhudia kuhusu
Dhambi, Haki na Hukumu
Dhambi Haki na Hukumu
      (Conviction)
KAZI ZA ROHO MTAKATIFU
   KAZI ZA ROHO MTAKATIFU

1. Kutushuhudia na Kutushawishi  
1 Kutushuhudia na Kutushawishi
  Yohana 16:7‐8, Warumi 8:16,
  Yohana 16:7‐8 Warumi 8:16
          Mfano;
      Matendo 2:37‐41
  ‘wakachomwa mioyo yao’
KAZI ZA ROHO MTAKATIFU

            2.
  Kutuzaa mara ya Pili na
  Kutuzaa mara ya Pili na
Kuumba Wokovu Ndani yetu
Kuumba Wokovu Ndani yetu
        (Salvation)
KAZI ZA ROHO MTAKATIFU
 KAZI ZA ROHO MTAKATIFU
 2. Kutuzaa
 2 Kutuzaa ktk Maisha Mapya
      (Wokovu/Kuokoka) 
Yohana 1:12‐13, Yohana 3:3‐6, 
       1Wakorintho 12:3
           k i h
            Mfano;
       Matendo 2:37‐41
  ‘wakachomwa mioyo yao’
KAZI ZA ROHO MTAKATIFU

          3.
Kutujaza Nguvu za Mungu 
Kutujaza Nguvu za Mungu
 Ndani yetu na Juu yetu
       y           y
        (
        (Power)
              )
KAZI ZA ROHO MTAKATIFU
   KAZI ZA ROHO MTAKATIFU
   3. Kutujaza
   3 Kutujaza Nguvu za Mungu
     Luka 24:49, Matendo 1:8 

             Mfano;
        Luka 4:1,14, 18‐19
        Luka 4:1 14 18‐19
‘Akatembea kwa Nguvu za Roho na
                  g
   kuwa mtu maarufu ktk Uyahudi’
KAZI ZA ROHO MTAKATIFU

           4.
Kutuongoza katika Maisha 
Kutuongoza katika Maisha
      y
      ya Kila siku
         (
         (Guide)
               )
KAZI ZA ROHO MTAKATIFU
   KAZI ZA ROHO MTAKATIFU
4. Kutuongoza
4 Kutuongoza na Kutupasha habari
    Yohana 16:13, Warumi 8:14 

            Mfano;
        Matendo 16:6;
 ‘Wakakatazwa na Roho kwenda
   kuhubiri Asia, nao wakatii!’
KAZI ZA ROHO MTAKATIFU

         5.
Kutufundisha Neno la 
Kutufundisha Neno la
 Mungu kwa Ufunuo
     g
     (
     (Revelation)
                )
KAZI ZA ROHO MTAKATIFU
   KAZI ZA ROHO MTAKATIFU
5. Kutufundisha
5. Kutufundisha na Kutufunulia Siri za
            Neno la Mungu
   Yohana 14:26 1Wakor 2:9 12
          14:26, 1Wakor 2:9‐12 

             Mfano;
         Luka 24:44 49;
         Luka 24:44‐49;
  ‘Akawafunulia akili zao, wapate
       kuelewa maandiko!’
KAZI ZA ROHO MTAKATIFU

            6.
Kutusaidia katika Kuomba na 
Kutusaidia katika Kuomba na
        Kutuombea
       (
       (Intercession)
                    )
KAZI ZA ROHO MTAKATIFU
  KAZI ZA ROHO MTAKATIFU
 6. Kutuwezesha
 6. Kutuwezesha Kuomba sawa na
         Mapenzi ya Mungu
 Warumi 8:26 27 1Wakor 2:9 11
        8:26‐27, 1Wakor 2:9‐11 

              Mfano;
       Matendo 12:1‐5‐17;
                 12:1 5 17; 
Kanisa linatiwa nguvu na Roho, ili
kuomba kwa ajili ya Petro gerezani
                  ya Petro gerezani.
KAZI ZA ROHO MTAKATIFU

            7.
    Kutusaidia katika 
    Kutusaidia katika
Kuamwabudu Mungu katika 
                 g
     Roho na Kweli
    (Spiritual Worship)
KAZI ZA ROHO MTAKATIFU
7. Kutuwezesha Kumwabudu Mungu
         katika Roho na Kweli
          Yohana 4:23‐24, 

           Mfano;
     Matendo 2:1‐13‐18; 
 Walipojazwa Roho Mtakatifu
                  Mtakatifu, 
waliweza kumwadhimisha Mungu
   kwa matendo yake makuu
                    makuu.
KAZI ZA ROHO MTAKATIFU

          8.
Kuusulubisha Mwili na 
Kuusulubisha Mwili na
     Tamaa zake
  (
  (Crucify the Flesh)
         y          )
KAZI ZA ROHO MTAKATIFU
8. Kutuwezesha Kuusulubisha mwili
       pa oja a ta aa a e
       pamoja na tamaa zake. 
 1Wathes 4:1‐4‐7, Wagalt 5:16‐24 

               Mfano;
 Warumi 7:15‐25, Warumi 8:5‐12 
Paulo: Mambo mabaya nisiyotaka, 
  nilijikuta ninayafanya, Yesu kwa
      j          y f y ,
 Roho wake, akampa kuyashinda.
KAZI ZA ROHO MTAKATIFU

           9.
Kuvunja Pingu na Vifungo
Kuvunja Pingu na Vifungo
      (Deliverance)
KAZI ZA ROHO MTAKATIFU
9. Kuvunja Vifungo na Vizuizi
       maishani mwetu
                mwetu. 
 2Wakor 3:17, Luk 4:18‐19
Isaya 10:27, Mathayo 12:28
          Mfano;
             f
        Luka 11:20
        Luka 11:20
     1Samweli 16:17‐23
     Matendo 9:17‐19,.
KAZI ZA ROHO MTAKATIFU

           10.
           10
Kutuwezesha Kukua Kiroho
Kutuwezesha Kukua Kiroho
    (Spiritual Growth)
    (Spiritual Growth)
KAZI ZA ROHO MTAKATIFU
10. Kutuwezesha Kukua Kiroho. 
2Wakor 3:6, 17‐18, 2Petro 3:18 
2W k 3 6 17 18 2P t 3 18
         Waefes 4:11‐15
             Mfano;
       1Wakorintho 3:6‐9
 Mimi nilipanda, Apolo akatia
  maji, bali akuzae ni Mungu
      ji b li k      iM
KAZI ZA ROHO MTAKATIFU

         11.
         11
Kuchipusha Karama na 
Kuchipusha Karama na
  Vipawa vya Kiroho
    p     y
   ( p
   (Spiritual Gifts)
                   )
KAZI ZA ROHO MTAKATIFU
 11. Kutupa Karama na Vipawa vya
               Kiroho. 
 1Wakor 12:4‐11, Warumi 12:6‐13 
        1Wakorintho 14:1‐5
        1Wakorintho 14:1 5
             Mfano;
          Kutoka 31:1‐11
Nimempa Bezaleli Upako (Roho) wa
                         (Roho) wa
kuchonga na kuchora kwa ustadi vitu
       vya nyumba ya Mungu
                   ya Mungu
KAZI ZA ROHO MTAKATIFU

         12.
         12
Kutunyakua kwenda 
Kutunyakua kwenda
     Mbinguni
         g
 (Kutubadilisha Asili)
 (Change of Nature)
KAZI ZA ROHO MTAKATIFU
  12. Kubadilisha asili yetu na
  kutunyakua kwenda Mbinguni
                        Mbinguni.
   Luka 1:30‐38, Mdo 1:1‐2,9
            Mfano;
        Matendo 8:38‐40
              d
Walipomaliza ubatizo Roho wa
              ubatizo, Roho
Mungu akamyakua Filipo kutoka
Samaria mpaka A
S     i      k Azoto bila usafiri.
                        bil     fi i
SIRI YA KANISA LA LEO


SIRI YA USHINDI WA 
SIRI YA USHINDI WA
 KANISA LA LEO
 KANISA LA LEO
ROHO MTAKATIFU NI MUNGU
    SIRI YA KANISA LA LEO; ;
          Ipo katika …
 Kumtambua na kumpokea Roho
 Mtakatifu katika maisha yetu, sisi
                          yetu, sisi
kama kanisa la Kristo, na kumfanya
Roho Mtakatifu kama mwenzetu au
R h Mt k tif k                 t
     mwenza wetu (partner)
                     (p      )
ROHO MTAKATIFU NI MUNGU



     Kwasababu …
ROHO MTAKATIFU 
Roho Mtakatifu ni;
                 ;
    1. Ni Mungu Mwenyezi
    2. Ni Nguvu ya Mungu
    3. Roho Mtakatifu ni Mtu
        (Nafsi iliyo hai)
HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO


  Huduma na Karama 
  Huduma na Karama
           za 
           za
    Roho Mtakatifu
    Roho Mtakatifu
     Katika Kanisa.
     Katika Kanisa
HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO

Moja ya kanuni muhimu katika 
kanisa, inayoweza kusababisha 
  Kanisa kulitimiza kusudi la 
  K i k li i i k di l
 Mungu duniani, na kutembea 
 Mungu duniani na kutembea
 na Nguvu za Mungu, ni watu 
    kuuheshimu Huduma na 
  Karama za Roho Mtakatifu.
  K          R h Mt k tif
HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO

Huduma na Karama za Roho 
Mtakatifu ni uwezo na vipawa 
  vya Mungu ndani ya watu 
       M       d i
  wake, vinavyowawezesha 
  wake vinavyowawezesha
  kutenda kazi duniani kwa 
 kulitimiza kusudi la Mungu.
HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO
       1Wakorintho 4:1‐2
1 Basi, watu na watuhesabu sisi 
   ni watumishi wa Kristo na 
  mawakili wa siri za Mungu. 
  mawakili wa siri za Mungu
  2 Zaidi ya hayo, litakiwalo ni
    Zaidi ya hayo, litakiwalo ni 
     watumishi na mawakili
 waonekane kuwa waaminifu. 
Huduma na Karama


Huduma na Karama za 
   Roho Mtakatifu
     h     k if
(1Wakorintho 12:4‐11)
(1W k i th 12 4 11)
Huduma na Karama
     1Wakorintho 12:4‐11
4 Basi kuna aina mbali mbali za
   karama, lakini R h ni yule
   k        l ki i Roho i l
   yule. 5
   yule 5 Pia kuna huduma za
 aina mbali mbali, lakini Bwana 
           ni yule yule. 
Huduma na Karama
      1Wakorintho 12:4‐11
6 Kisha kuna tofauti za kutenda
  kazi, lakini i Mungu yule yule
  k i l ki i ni M         l   l
   atendaye kazi zote kwa watu
               wote. 
Huduma na Karama
       1Wakorintho 12:4‐11
7 Basi kila mmoja hupewa ufunuo
   wa Roho kwa faida ya wote
                         wote. 
 8 Maana mtu mmoja kwa Roho
                    j
   hupewa neno la hekima na
  mwingine neno la maarifa kwa
          Roho huyo huyo
                    huyo. 
Huduma na Karama
      1Wakorintho 12:4‐11
9 Mtu mwingine imani kwa huyo
  Roho na mwingine karama za
   kuponya. 10 Kwa mwingine
     p y                 g
    matendo ya miujiza, kwa
mwingine unabii kwa mwingine
       kupambanua roho;
Misingi ya Kanisa
       1Wakorintho 12:4‐11
 10 … kwa mwingine aina mbali
 mbali za lugha kwa mwingine
            lugha, kwa
  tafsiri za lugha. 11 Haya yote
               g         y y
 hufanywa na huyo huyo Roho
mmoja, Roho naye h
     j R h           humgawia kil
                             i kila
      mtu, kama
      mtu kama apendavyo
            mwenyewe.
HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO

Huduma na Karama za Roho 
Mtakatifu ni uwezo na vipawa 
  vya Mungu ndani ya watu 
       M       d i
  wake, vinavyowawezesha 
  wake vinavyowawezesha
  kutenda kazi duniani kwa 
 kulitimiza kusudi la Mungu.
Huduma na Karama
      1Wakorintho 12:12‐31
Huduma na Karama katika kanisa, 
  ni k
   i kama viungo k tik mwili wa
            i     katika     ili
  binadamu. Ili mwili
  binadamu. Ili mwili ufanye kazi
      sawa sawa, ni lazima kila
  kiungo kikae katika nafasi yake
 na kifanye kazi yake sawa sawa
                            sawa.
Huduma na Karama
 Lakini katika Kanisa la leo, 
    maswala ya Karama na
huduma yamechanganwa sana
  na yamechakachuliwa sana
     y
kiasi cha kuleta mvurugano na
   matatizo makubwa katika
 utendaji wa kazi ya Mungu
                      Mungu.
Huduma na Karama
   1Wakorintho 12:12‐31
Na kuna waumini wengi sana
 katika kanisa, hawajui wito
 k tik k i h          j i it
 wao, karama
 wao karama zao na huduma
zao katika kanisa la Yesu, japo
 wana miaka mingi kanisani.
Huduma na Karama
    1Wakorintho 12:12‐31
Na kuna baadhi ya karama na
     huduma k tik K i
     h d     katika Kanisa, 
zimefutwa au kuzimwa kabisa,
           au kuzimwa kabisa, 
eti kwa madai kwamba wakati
 wake ulikwisha kupita tangu
  enzi za mitume wa kwanza
                     kwanza.
Huduma na Karama
     1Wakorintho 12:12‐31
Na baadhi ya karama na huduma
   katika Kanisa, zimefutwa au 
   k tik K i       i f t
 kuzimwa kabisa, eti kwa madai
           kabisa, eti
  kwamba karama hizo zinaleta
      vurugu katika Kanisa.
   (1Wathesalonike 5:19‐23)
   (1W th l ik 5 19 23)
Huduma na Karama
     1Wathesalonike 5:19‐23
19 Msimzimishe Roho (msiuzime
      moto au karama za Roho
            au karama
      Mtakatifu), 20 msidharau
   maneno ya nabii. 21 Jaribuni
 mambo yote.  (halafu) Yashikeni
        b    t (h l f ) Y hik i
  yaliyo mema. 22 Jiepusheni na
          mema. 22
 lililo ovu (uovu wa kila namna). 
HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO

Huduma na Karama za Roho 
Mtakatifu ni uwezo na vipawa 
  vya Mungu ndani ya watu 
       M       d i
  wake, vinavyowawezesha 
  wake vinavyowawezesha
  kutenda kazi duniani kwa 
 kulitimiza kusudi la Mungu.
Karama na huduma
        Mathayo 16:18‐19,
Lakini katika Kanisa la leo, nguvu 
   za Kanisa zimepungua sana 
   za Kanisa zimepungua sana
 kwasababu kanisa limesimamia
 kwasababu kanisa limesimamia
misingi (misimamo) tofauti na ile 
  aliyoiweka Bwana Yesu katika 
           Kanisa lake. 
           Kanisa lake
Karama na huduma
        Mathayo 16:18‐19,
  Na ndio maana, kanisa la leo, 
 halijaweza kuishi na kutembea 
 halijaweza kuishi na kutembea
katika mamlaka ya Mungu kama 
katika mamlaka ya Mungu kama
ilivyokusudiwa, kwamba Kanisa 
  limiliki na kuitawala dunia, ili 
   watu waishi maisha mazuri.
   watu waishi maisha mazuri
Karama na huduma
Kanisa la leo limetegemea zaidi 
vyeti vya elimu za kibinadamu 
katika kuifanya kazi ya Mungu 
katika kuifanya kazi ya Mungu
kuliko karama na uwezesho wa 
        Roho Mtakatifu.
        (Matendo 4:13)
Karama na huduma
      Matendo 4:13‐14
 13 Wale viongozi na wazee
walipoona ujasiri wa P t
   li       j ii     Petro na
  Yohana na kujua ya kuwa
walikuwa watu wa kawaida, 
wasio na elimu, walishangaa
    sana, kumwona yule …
          k           l
Karama na huduma
      Matendo 4:13‐14
   14 … aliyekuwa kiwete, 
   ameponywa k bi na
                  kabisa
amesimama pale pale pamoja
             pale pale
nao (kama uthibitisho); hivyo
 hawakuweza kusema lo lote
         kuwapinga.
         k      i
Karama na huduma
        Matendo 4:13‐14
   13 Wale viongozi na wazee
  walipoona h
     li      haya, walitambua
                     lit b
 kwamba, Petro na Yohana, japo
 kwamba Petro na Yohana japo
  hawana elimu (ya dunia hii), 
lakini walikuwa pamoja na Yesu.
        (imefafanuliwa)
Karama na huduma
       Matendo 4:13‐14
Si kwamba, natetea ujinga (au 
   watu k t k
      t kutokwenda shule), 
                  d h l )
    Hapana, ila
    Hapana ila tu ninaonya
kwamba, elimu zetu, zisiwe juu
ya elimu au maarifa ya Mungu,
 (karama za R h Mt k tif )
 (k         Roho Mtakatifu).
Karama na huduma
 Nguvu za Mungu zimepungua 
 sana leo, kwasababu Kanisa la 
leo limetegemea zaidi vyeti vya 
leo limetegemea zaidi vyeti vya
   elimu za kibinadamu zaidi, 
                            ,
 katika kuifanya kazi ya Mungu 
kuliko karama na uwezesho wa 
        Roho Mtakatifu.
        Roho Mtakatifu
Karama na huduma
       Mathayo 16:18‐19,
kwahiyo, Kanisa la leo, limekuwa 
 dhaifu sana kwasababu, kanisa 
 dhaifu sana kwasababu kanisa
  limechakachua misingi sahihi
  limechakachua misingi sahihi
kama hii kutoka katika utaratibu 
  na mpango wa Mungu juu ua 
          Kanisa lake;
          Kanisa lake;
Karama na huduma
    Lakini kanisa la Kwanza, 
 waliheshimu sana huduma na
vipawa vya mtu; Na ndio maana
            mtu; Na ndio
  kanisa la kwanza, lilitembea
                    ,
  katika nguvu kubwa sana za
  Mungu, enzi za huduma yao.
       (Matendo 8:5‐17)
       (M t d 8 5 17)
Karama na huduma
          Matendo 8:5‐17
 5 Filipo akateremkia mji mmoja
wa SSamaria akawahubiria h b i
           i k       h bi i habari
 za Kristo 6 Watu walipomsikia
     Kristo. 6
Filipo na kuona ishara na miujiza
aliyofanya, wakasikiliza kwa bidii
          yale aliyosema. 
             l li
Karama na huduma
       Matendo 8:5‐17
   7 Pepo wachafu wakawa
 wakiwatoka watu wengi, huku
   ki t k      t       i h k
   wakipiga kelele na wengi
    waliopooza na viwete, 
wakaponywa. 8 Hivyo pakawa na
  furaha kuu katika ji huo. 
  f h k k tik mji h
Karama na huduma
      Matendo 8:5‐17
 14 Basi mitume waliokuwa
Yerusalemu waliposikia k
Y     l       li iki kuwa
 Samaria walipokea
 Samaria walipokea neno la
                         la 
Mungu, wakawatuma Petro na
   Yohana waende huko. 
Karama na huduma
         Matendo 8:5‐17
15 Nao walipofika wakawaombea
 ili wampokee R h Mt k tif
            k Roho Mtakatifu, 
 16 kwa sababu Roho Mtakatifu
alikuwa bado hajawashukia hata
                 j
mmoja ila wamebatizwa tu katika
       jina la Bwana Yesu. 
       ji l B        Y
Karama na huduma
     Matendo 8:5‐17
 17 Ndipo Petro na Yohana
wakaweka mikono yao j ya
  k    k    ik        juu
  wale waliobatizwa, nao
  wale waliobatizwa nao
wakapokea Roho Mtakatifu. 
Karama na huduma
         Matendo 8:5‐17
Japo Filipo anakarama za miujiza
 na uponyaji, lakini aliheshi zaidi
            ji l ki i lih hi idi
  huduma na karama ya PetroPetro 
 katika kuwaombea watu Ujazo
       wa Roho Mtakatifu.
Karama na huduma
          Matendo 8:5‐17
Filipo aliwakaribisha akina Petro 
    kwa
    k moyo mweupe ili k j  kuja
kuifanya huduma ya Bwana bila
                       Bwana, bila
    wivu wala kinyongo. (Hii ni
   tofauti sana na utendaji wa
           kanisa la leo).
           k i l l )
Karama na huduma
         Matendo 8:5‐17
 Kanisa la leo lina mgongano na
vurugu na vinyongo na magomvi
             i                  i
mengi na viburi vingi sana katika
 utendaji wa karama zake, kiasi
cha kuondoa kabisa utukufu wa
         Mungu k i
         M        kanisa.
Karama na huduma
        Matendo 8:5‐17
Karama na huduma hizi zimaleta
 balaa badala baraka katika
 b l b d l ya b k k tik
   jamii za watu wa Mungu;
                     Mungu; 
kwasababu zinafanywa kwa nia
 tofauti na kulijenga kanisa na
  ufalme wa M
    f l       Mungu d i i
                      duniani.
Karama na huduma
         Matendo 8:5‐17
     Karama na huduma hizi
zimekuwa zikifanyika k nia ya
 i k         ikif ik kwa i
  mashindano, kujinufaisha, na
  mashindano kujinufaisha na
kujitafutia utukufu binafsi na sio
       utukufu wa Mungu.
Karama na huduma
       Matendo 8:5‐17
 Ndio maana Kanisa la leo lina
upungufu au ukavu wa nguvu za
      f      k
    Mungu kwasababu ya
   migongano ya karama na
  huduma za Roho Mtakatifu
        katika kanisa.
        k tik k i
Karama na huduma
    Lakini kanisa la Kwanza, 
 waliheshimu sana huduma na
vipawa vya mtu; Na ndio maana
            mtu; Na ndio
  kanisa la kwanza, lilitembea
                    ,
  katika nguvu kubwa sana za
             Mungu.
       (Matendo 8:5‐17)
       (M t d 8 5 17)
Karama na huduma
         Matendo 8:5‐17
 Kanisa la kwanza lilishirikiana
 vipawa na h d
  i           huduma k moyo
                      kwa
 mweupe bila vinyongo choyo
                vinyongo, choyo, 
    chuki, kiburi, mashindano, 
dharau, na wivu wa aina yoyote.
NGUVU YA KANISA
 Ndio maana kanisa la kwanza 
 waliweza kutembea na Nguvu 
nyingi sana za Mungu, na kuwa 
nyingi sana za Mungu na kuwa
 na heshima katika jamii zao, 
                    j       ,
kwasababu walizingatia misingi 
      ya kanisa la Mungu; 
Mf; kuheshimu huduma+karama
Mf k h hi      h d     k
UMOJA WA KANISA LA MUNGU

Moja ya kanuni muhimu katika 
kanisa, inayoweza kusababisha 
 (kuzalisha) Nguvu za Mungu
 (k li h ) N           M
   ziletazo baraka za Mungu
   ziletazo baraka za Mungu
     katika maisha yetu, ni 
    kuuheshimu Huduma na 
  Karama za Roho Mtakatifu.
  K           R h Mt k tif
Karama na huduma
       Mathayo 16:18‐19,
kwahiyo, Nguvu ya Kanisa la leo 
 imepungua sana kwasababu, 
 imepungua sana kwasababu
 kanisa limechakachua misingi
 kanisa limechakachua misingi
  kama hii kutoka katika vile 
   viwango alivyoweka Roho 
 Mtakatifu katika Kanisa lake;
            katika Kanisa lake;
VIWANGO VYA MUNGU 
Ili Mungu alitimize kusudi lake 
         g
 duniani kupitia kanisa lake, ni
     lazima basi kanisa lake
            basi, kanisa lake 
     litengeneze viwango na
   mazingira fulani vya lazima
    (necessary conditions and 
  standards) vinavyotakiwa, ili
lifanye kazi na Mungu duniani.
VIWANGO VYA MUNGU 
Kukosekana au kupungua kwa
             au kupungua kwa 
 viwango hivi muhimu katika 
misingi/nguzo za kanisa, ndiko 
kumesababisha kupungua kwa 
kumesababisha kupungua kwa
utendaji wa mkono wa Mungu
utendaji wa mkono wa Mungu
     katika kanisa la leo.
Misingi ya Kanisa
Kama Kanisa la leo litarudi katika 
kuumiliki ulimwengu, basi lazima 
  Kanisa lihakikishe watu wake 
  K i lih kiki h              k
    tunazijua karama zao na 
    tunazijua karama zao na
wanatembea katika huduma zao 
kwa nia ya kumtukuza Mungu tu 
     na kumshinda shetani.
        k     hi d h t i
HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO


  Huduma na Karama 
  Huduma na Karama
  Za Roho Mtakatifu
  Za Roho Mtakatifu
    Katika Kanisa.
    Katika Kanisa
  (1Wakorintho 12:4‐11)
  (1Wakorintho 12:4 11)
Huduma na Karama


   1Wakorintho 12:4‐11
4 Basi kuna aina mbali mbali
   za k
      karama, lakini R h
                l ki i Roho
         ni yule yule
                 yule.
Huduma na Karama


   1Wakorintho 12:4‐11
5 Pia kuna huduma za aina
mbali mbali lakini Bwana ni
       mbali, lakini Bwana ni
         y
         yule yule. 
               y
Huduma na Karama


    1Wakorintho 12:4‐11
    6 Kisha kuna tofauti za
kutenda kazi lakini ni Mungu
          kazi, lakini
 y
 yule yule atendaye kazi zote
      y             y
        kwa watu wote. 
Huduma na Karama


   1Wakorintho 12:4‐11
7 B i kil mmoja h
  Basi kila    j hupewa
ufunuo wa Roho kwa faida
      ya watu wote. 
Misingi ya Kanisa


     1Wakorintho 12:4‐11
11 Haya yote h f
11 H      t hufanywa na hhuyo
 huyo Roho mmoja, Roho naye
           mmoja, Roho
   humgawia kila mtu, kama
    apendavyo mwenyewe.
HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO

Huduma na Karama za Roho 
Mtakatifu ni uwezo na vipawa 
  vya Mungu ndani ya watu 
       M       d i
  wake, vinavyowawezesha 
  wake vinavyowawezesha
  kutenda kazi duniani kwa 
 kulitimiza kusudi la Mungu.
Huduma na Karama
      1Wakorintho 12:12‐31
Huduma na Karama katika kanisa, 
  ni k
   i kama viungo k tik mwili wa
            i     katika     ili
  binadamu. Ili mwili
  binadamu. Ili mwili ufanye kazi
      sawa sawa, ni lazima kila
  kiungo kikae katika nafasi yake
 na kifanye kazi yake sawa sawa
                            sawa.
HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO

   1Wakorintho 12:4‐6

   Aina za Wito
   Ai      Wit
    (Type of Ministry)
HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO

   Makundi Makuu (3)
    ya Wito/Utumishi
A. Huduma Kuu Tano (5)
B. Karama Kuu Tisa (9)
C. Masaidiano/Utenda‐kazi
              /
   1Wakorintho 12:4‐6
   1W k i th 12 4 6
HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO

    Makundi Makuu (3)
     ya Wito/Utumishi
A. Huduma 5   ‐ Yesu
B. Karama 9  ‐ Roho
C. Utenda‐kazi ‐ Baba
    1Wakorintho 12:4‐6
    1W k i th 12 4 6
HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO


 HUDUMA KUU TANO (5)
     ZA KANISA

    1Wakorintho 12:28
    1Wakorintho 12:28
      Waefeso 4:11
      Waefeso 4:11
HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO

 HUDUMA KUU TANO (5)
      Mitume
      Manabii
      Wainjilisti
      Waalimu
      W li
      Wachungaji
HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO


 HUDUMA KUU TANO (5 )
     ZA KANISA

     Waefeso 4:11
HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO

      Waefeso 4:11
 Nae (Bwana Yesu) alitoa
wengine kuwa Mitume, na
wengine kuwa Manabii na
             Manabii,
 wengine Wachungaji, na
    g            g j,
  wengine Wainjilisti na
 wengine kuwa Waalimu.
HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO


 HUDUMA KUU TANO (5 )
     ZA KANISA

  1Wakorintho 12:28
Huduma na Karama


   1Wakorintho 12:4‐11
4 Basi kuna aina mbali mbali
   za k
      karama, lakini R h
                l ki i Roho
         ni yule yule
                 yule.
Huduma na Karama


   1Wakorintho 12:4‐11
5 Pia kuna huduma za aina
mbali mbali lakini Bwana ni
       mbali, lakini Bwana ni
         y
         yule yule. 
               y
Huduma na Karama


    1Wakorintho 12:4‐11
    6 Kisha kuna tofauti za
kutenda kazi lakini ni Mungu
          kazi, lakini
 y
 yule yule atendaye kazi zote
      y             y
        kwa watu wote. 
Huduma na Karama


   1Wakorintho 12:4‐11
7 B i kil mmoja h
  Basi kila    j hupewa
ufunuo wa Roho kwa faida
      ya watu wote. 
Misingi ya Kanisa


     1Wakorintho 12:4‐11
11 Haya yote h f
11 H      t hufanywa na hhuyo
 huyo Roho mmoja, Roho naye
           mmoja, Roho
   humgawia kila mtu, kama
    apendavyo mwenyewe.
HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO
        1Wakorintho 12:28
28 Mungu ameweka katika Kanisa, 
kwanza Mitume pili Manabii tatu
         Mitume,    Manabii, tatu
Walimu, kisha Watenda miujiza, pia
       ,                   j ,p
  karama za kuponya (Wainjilisti), 
 Karama za masaidiano, karama za
 K              idi    k
maongozi, aina mbalimbali za lugha
  ao go , a a ba ba a ug a
       (yaani Wachungaji).
HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO
    HUDUMA KUU TANO (5)
Waefeso 4:11        Wakorintho 12:28
1. Mitume
1 Mitume              1. Mitume
                      1 Mitume
2. Manabii            2. Manabii
3. Wachungaji         3. Waalimu 
4. Wainjilisti        4. Wainjilisti
5. Waalimu
5 Waalimu             5. Wachungaji 
                      5 Wachungaji
HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO

 HUDUMA KUU TANO (5)
      Mitume
      Manabii
      Wainjilisti
      Waalimu
      W li
      Wachungaji
HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO

    HUDUMA KUU TANO (5)
  Cha msingi kujua ni kwamba, 
Huduma Kuu 5 za Kanisa, si vyeo
 ndani ya Kanisa bali HUDUMA
          Kanisa, bali
maalum za Utendaji Mkuu katika
                   j
     Kanisa la Bwana Yesu.
HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO

 HUDUMA KUU TANO (5)

 UTOFAUTI WAO KATIKA 
 UTOFAUTI WAO KATIKA
 UTENDAJI WA HUDUMA
 UTENDAJI WA HUDUMA
     ~  Kazi Zao ~
HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO

      1. Mitume

Kuweka Misingi ya Imani

    1Wakorintho 12:28
    1W k i h 12 28
      Waefeso 4:11
      Waefeso 4:11
HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO

       2.  Manabii

Kupeleka Ujumbe kwa Kanisa

     1Wakorintho 12:28
     1W k i h 12 28
       Waefeso 4:11
       Waefeso 4:11
HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO

      3.  Waalimu

Kufundisha Neno kwa Kanisa

     1Wakorintho 12:28
     1W k i h 12 28
       Waefeso 4:11
       Waefeso 4:11
HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO

        4.  Wainjilisti

Kuleta Waumini Wapya (Kondoo) 
       Kanisani (Kundini)
      1Wakorintho 12:28
        Waefeso 4:11
        Waefeso 4:11
HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO

     5.  Wachungaji

Kulisha na Kulinda Waumini
         (Kondoo)
    1Wakorintho 12:28
      Waefeso 4:11
      Waefeso 4:11
HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO

 HUDUMA KUU TANO (5)

  UTOFAUTI WAO KATIKA 
  UTOFAUTI WAO KATIKA
VIPAUMBELE VYA HUDUMA
VIPAUMBELE VYA HUDUMA
   ~  Mzigo wa Ndani ~
         g
HUDUMA KUU TANO (5)
   HUDUMA                    MZIGO
   HUDUMA                    MZIGO
1. Mitume
1. Mitume       Kazi ianze/isimame
2. Manabii      Mungu anasemaje
3. Wainjilisti Watu wanaookoka
4. Waalimu
4 W li          Watu wanaelewa
                W t              l
5. Wachungaji   Kondoo
5. Wachungaji Kondoo wanakua
                    Idadi (Quantity) 
                    Kiwango (Quality)
HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO

    Huduma Kuu Tano (5)
 Mtu aliyeitwa na Mungu katika
Huduma Kuu za Kanisa, anaweza
 kupewa Huduma zaidi ya mojamoja, 
katika kulitimiza Kusudi la Mungu
                         la Mungu
         kwa watu wake.
HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO

 Huduma Kuu Tano (5)

       Kwa Mfano;
Musa alikuwa Nabii na pia
  alikuwa M h
   lik     Mchungaji.
                    ji
     Kutoka 32:7 14
            32:7‐14
HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO

 Huduma Kuu Tano (5)

      Kwa Mfano;
Paulo alikuwa Mwinjilisti,
  Mtume, na M li
  Mt         Mwalimu.
     1Timotheo 2:7
     1Timotheo 2:7
HUDUMA KUU TANO (5)

Kwa Mfano wa Bwana Yesu
        Mtume
        Nabii
        Mwinjilisti
        Mwalimu
        M li
        Mchungaji
HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO


  KARAMA KUU TISA (9)
      ZA KANISA

   1Wakorintho 12:4‐11
   1Wakorintho 12:4 11
Huduma na Karama


   1Wakorintho 12:4‐11
4 Basi kuna aina mbali mbali
   za k
      karama, lakini R h
                l ki i Roho
         ni yule yule
                 yule.
Huduma na Karama


   1Wakorintho 12:4‐11
5 Pia kuna huduma za aina
mbali mbali lakini Bwana ni
       mbali, lakini Bwana ni
         y
         yule yule. 
               y
Huduma na Karama


    1Wakorintho 12:4‐11
    6 Kisha kuna tofauti za
kutenda kazi lakini ni Mungu
          kazi, lakini
 y
 yule yule atendaye kazi zote
      y             y
        kwa watu wote. 
Huduma na Karama


   1Wakorintho 12:4‐11
7 B i kil mmoja h
  Basi kila    j hupewa
ufunuo wa Roho kwa faida
      ya watu wote. 
Misingi ya Kanisa


     1Wakorintho 12:4‐11
11 Haya yote h f
11 H      t hufanywa na hhuyo
 huyo Roho mmoja, Roho naye
           mmoja, Roho
   humgawia kila mtu, kama
    apendavyo mwenyewe.
HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO

  Makundi Makuu (3)
      y
      ya Karama
A. Karama za Ufunuo
              f
B. Karama za Usemi
C. Karama za Udhihirisho
HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO

A.   Karama za Ufunuo
1.   Neno la Maarifa
                  f
2.   Neno la Hekima
3.   Kupambanua roho
       p
HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO

B.  Karama za Usemi
4.  Karama ya Unabii
              y
5.  Aina za Lugha
                g
6.  Tafsiri za Lugha
      f           g
HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO

C.  Karama za Nguvu
7.  Karama ya Imani
           y
8.  Karama ya Kuponya
           y    p y
9.  Karama ya Miujiza
           y     j
HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO



HUDUMA ZA MASAIDIANO
 (Karama za Utendaji Kazi)
    1Wakorintho 12:4‐11
HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO

Huduma na Karama za Roho 
Mtakatifu ni uwezo na vipawa 
  vya Mungu ndani ya watu 
       M       d i
  wake, vinavyowawezesha 
  wake vinavyowawezesha
  kutenda kazi duniani kwa 
 kulitimiza kusudi la Mungu.
HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO

Kila Mtu katika jamii ya watu wa 
  Mungu ana Karama na Kipawa
   fulani kilichowekwa na Roho 
   f l i kili h     k        R h
       Mtakatifu wa Mungu, 
       Mtakatifu wa Mungu
  kinavyochomwezesha kutenda 
     kazi duniani ili kulitimiza  
         kusudi la Mungu.
         k di l M
Huduma na Karama


   1Wakorintho 12:4‐11
4 Basi kuna aina mbali mbali
   za k
      karama, lakini R h
                l ki i Roho
         ni yule yule
                 yule.
Huduma na Karama


   1Wakorintho 12:4‐11
5 Pia kuna huduma za aina
mbali mbali lakini Bwana ni
       mbali, lakini Bwana ni
         y
         yule yule. 
               y
Huduma na Karama


    1Wakorintho 12:4‐11
    6 Kisha kuna tofauti za
kutenda kazi lakini ni Mungu
          kazi, lakini
 y
 yule yule atendaye kazi zote
      y             y
        kwa watu wote. 
Huduma na Karama


   1Wakorintho 12:4‐11
7 B i kil mmoja h
  Basi kila    j hupewa
ufunuo wa Roho kwa faida
      ya watu wote. 
Misingi ya Kanisa


     1Wakorintho 12:4‐11
11 Haya yote h f
11 H      t hufanywa na hhuyo
 huyo Roho mmoja, Roho naye
           mmoja, Roho
   humgawia kila mtu, kama
    apendavyo mwenyewe.
HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO

     Kipawa hicho, ndicho 
kinachotenda kazi ili mtu aweze 
kuishi na kuyatawala mazingira 
k i hi    k          l     i i
  yake, hata kumwezesha mtu 
  yake hata kumwezesha mtu
    huyo kulitimiza kusudi la 
 Mungu, yaani kuwa ‘chombo 
        kizuri cha ibada’.
        ki i h ib d ’
SIFA NA IBADA KWA MUNGU

               Mungu
                Zab 22:3


Ibada                       Nchi
 Yoh 4:23‐24                Kumb 8:6‐18




               Adam
                Zab 150:6
KARAMA ZA ROHO MTAKATIFU 
         Kutoka 31:1‐5
Bwana akamwambia Musa, kwa
 ajili ya ufundi wa vyombo vyote
  jili     f di          b      t
 vya hekalu, nimempaka mafuta
  y                  p        f
(uwezo) Bezaleli mwana wa Huri, 
kwa ajili ya kazi zote za kuchora
                          kuchora, 
kuchonga, kukata na ufundi wote
       wa f dh na dh h b
           fedha    dhahabu.
HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO

     Karama za Utendaji Kazi
        1Wakorintho 12:4‐11
•   Maombezi       Uratibu
•   Uimbaji 
    Ui b ji        Usimamizi
                   Ui      ii
•   Utoaji 
    Utoaji         Ukarimu
•   Ujuzi 
     j             Uhudumu
•   Ufundi         Kuonya
AINA YA WITO
               KARAMA
MASAIDIANO
           Neno Maarifa
Maombezi
           Neno Hekima       HUDUMA
Uimbaji
Utoaji     Kupambanua        Mitume
Ujuzi      Karama Unabii     Manabii
Ufundi     Aina za Lugha     Waalimu
                             W li
Uratibu    Tafsiri Lugha     Wachungaji
Usimamizi  Karama I
           K         Imani
                         i
Ukarimu                      Wainjilisti
           Karam Kuponya
Uhudumu
           Karama Miujiza
HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO



   Ishara au Viashiria 
      Wito wa mtu
      Wito wa mtu.
(Signals za Huduma na Karama)
(Signals za Huduma na Karama)
Kuthibitisha Wito wako


Kuthibitisha Wito Wako 
     (Comfirmation)
Kuthibitisha Wito wako


           1.
   Amani na Furaha 
ya moyoni (Peace n’ Joy)
Isaya 55:12, Filipi 4:4‐7, 
      Kolosai 3:15
        l i3
Kuthibitisha Wito wako


              2.
Kupenda na Kuridhika (Passion) 
  Kut 33:12‐14, Math 17:1‐7
     Zab 37:4, Zab 16:11, 
Kuthibitisha Wito wako


              3.
    Bajeti ya Muda zaidi 
Kut 33:7‐11, Math 14:22‐23,
     Mark 1:35, Yoh 8:1 
Kuthibitisha Wito wako


         4.
Uwezo mkubwa wa 
 Kazi hiyo (Ability) 
  Kutoka 33:1‐5,
 Matendo 6:7‐10. 
        d 6       0
Kuthibitisha Wito wako


        5.
  Matokeo Mazuri  
  Yohana 5:31‐36, 
  Marko 16:15‐20.
Kuthibitisha Wito wako


             6.
   Baraka na Mafanikio 
Zaburi 1:1‐3, Mithali 10:22
  Mith 17:8, Mith 18:16
Kuthibitisha Wito wako


           7.
  Ushuhuda mzuri wa 
    Watu wengine 
Math 18:16, Yoh 6:11‐14
 Yoh 3:1‐2, Mdo 6:1‐8.
   h3 2 d 6 8
Kuthibitisha Wito wako
1.   Amani na Furaha ya moyoni
2.   Kupenda na Kuridhika
3.
3    Kutumia Muda Zaidi
     K t i M d Z idi
4.
4    Uwezo mkubwa ktk hilo 
     Uwezo mkubwa ktk hilo
5.   Matokeo Mazuri 
6.   Baraka na Mafanikio
7.   Ushuhuda mzuri wa wengine
Huduma na Karama


Namna ya Kutambua 
Huduma na Karama
      yako
Kutambua Huduma na Karama
1. Mwombe Mungu (Omba)
Fanya Maombi ya Muda mrefu
      Yeremia 29:11‐13
         Isaya 43:26
        Wafilipi 4:6‐7
            fili i 6
         Zaburi 32:8
         Zab ri 32 8
Kutambua Huduma na Karama
 2. Tumika katika Kazi ya
     Mungu bila mipaka.
Panda mbegu asubuhi na jioni, 
    hujui
    h j i ni ipi itaka oota
                 itakayoota
        Mhubiri 11:6
Kutambua Huduma na Karama
3. Sikiliza Sauti ya Mungu
   (Uongozi wa Mungu) na
   Uangalie Uwezo Binafsi
          l             f
      ulionao (Neema)
               (Neema).
Chunguza Eneo unalotumika
 vizuri zaidi kuliko mengine.
                        g
         Matendo 6:8
Kutambua Huduma na Karama
        Uwezo Binafsi (Neema).
Chunguza eneo unalotumika vizuri zaidi
kuliko mengine (matokeo mazuri zaidi).
          g    (                    )
          Matendo 6:8
‘Filipo akijaa Neema na Nguvu, 
   alifanya maajabu na ishara
       kubwa kati ya watu’
Kutambua Huduma na Karama
 4. Mwombe Mungu Tena 
     akupe Uthibitisho.
       (Comfirmation)
Fanya Maombi ya Muda mrefu
      Luka 4:1‐14,18‐19
      L k 4 1 14 18 19
        Luka 6:12‐19
        Luka 6:12 19
Kutambua Huduma na Karama
 5.  Sikiliza ushauri (Uliza) 
 Sikiliza ushauri kutoka kwa
watendakazi na walezi wako wa
     kiroho au kihuduma
             au kihuduma.
HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO

    Mambo Muhimu 
     Ya Kuombea.

  Vipimo vya Aina ya 
  Vipimo vya Aina ya
     Wito wa mtu.
     Wito wa mtu
    (Specificacations)
HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO

1. Kila mtu (mmoja mmoja) 
 katika Kanisa ana wito wake
      (huduma/karama)
2.  Wito wa mtu ( d
                 (Huduma na
    Karama yake) ni maalumu
            yake) ni
    sana (Very Specific)
         ( y p f )
Viashiria vya Wito wa Mtu
1. Kusudi la Wito
2. Mpango wa Wito
3. Uwezo na Nguvu (Matokeo)
4. Ngazi Ki
4 N i au Kiwango cha Wito
                      h Wit
5. Eneo la Wito 
5 Eneo la Wito
6. Kipimo au Kiasi cha Wito
     p
7. Muda wa Wito
Viashiria vya Wito wa Mtu


        1. 
   Kusudi la Wito
Viashiria vya Wito wa Mtu
         1. Kusudi la Wito
Kila kiungo katika Kanisa (Mwili
    wa K i t ) Ki f
        Kristo ) Kinafanya k i
                           kazi
duniani ili kutimiza Kusudi moja
   Kuu la Mungu, la Kuujunga
   Ufalme wa Mungu duniani.
Viashiria vya Wito wa Mtu
      1. Kusudi la Wito

Kusudi Kuu la Mungu duniani
   lina
   li sura Kuu Nne ( )
                    (4).
Viashiria vya Wito wa Mtu
  Sura Nne za Kusudi la Mungu.
1.Kumiliki na Kutawala Dunia
2.Kumsifu + Kumwabudu Mungu
3.Kufanikiwa na Kuongezeka
    f iki                 k
4.Kuwatafuta na K
4K     t f t     Kuwaleta Nd i
                      l t Ndani
  Watoto wa Mungu Walio Nje.
Viashiria vya Wito wa Mtu
         1. Kusudi la Wito
Kila kiungo katika Kanisa (Mwili
    wa K i t ) Ki f
        Kristo ) Kinafanya k i
                           kazi
duniani ili kutimiza Kusudi moja
   Kuu la Mungu, la Kuujunga
   Ufalme wa Mungu duniani.
Viashiria vya Wito wa Mtu
    1. Kusudi la Wito

   Matendo 26:12‐18
   Yohana 4:23‐24
   Mwanzo 1:26‐28
   Marko 16:15‐20
Viashiria vya Wito wa Mtu


       2. 
 Mpango wa Wito
  p g
Viashiria vya Wito wa Mtu
           Muhimu sana!
Kila wito wa Mungu una mpango  
   na mchepuo wake maalum,
   uliowekewa na Mungu, kwa 
   uliowekewa na Mungu kwa
                               y
 kusudi lake. Usitafute kufanya 
   kila kitu; lenga kufanya wito 
wako katika mchepuo uliopewa.
Viashiria vya Wito wa Mtu
       2. Mpango wa Wito
Kila kiungo katika Kanisa (Mwili
wa K i t ) Ki t
    Kristo ) Kimetengenezewa na
Mungu, Mpango
Mungu Mpango wake maalum
   wa kulitimiza Kusudi Kuu la 
         Mungu duniani.
Viashiria vya Wito wa Mtu
       2. Mpango wa Wito
  Mpango wake maalum wa
kulitimiza Kusudi Kuu la Mungu
k liti i K di K l M
  duniani, ni
  duniani ni Mungu kuweka
Huduma na Karama mbalimbali
katika Waumini wa Kanisa lake 
 (Viungo vya M ili wa K i t )
 (Vi          Mwili     Kristo).
Huduma na Karama
      1Wakorintho 12:12‐31
Huduma na Karama katika kanisa, 
  ni k
   i kama viungo k tik mwili wa
            i     katika     ili
  binadamu. Ili mwili
  binadamu. Ili mwili ufanye kazi
      sawa sawa, ni lazima kila
  kiungo kikae katika nafasi yake
 na kifanye kazi yake sawa sawa
                            sawa.
Viashiria vya Wito wa Mtu
       2. Mpango wa Wito
  Mpango wake maalum wa
kulitimiza Kusudi Kuu la Mungu
k liti i K di K l M
  duniani, ni
  duniani ni Mungu kuweka
Huduma na Karama mbalimbali
katika Waumini wa Kanisa lake 
 (Viungo vya M ili wa K i t )
 (Vi          Mwili     Kristo).
UMOJA WA KANISA LA MUNGU

    1 Wakorintho 12:14‐27
14 Basi mwili si kiungo kimoja, 
  bali ni viungo vingi. 15 Kama 
 mguu ungesema, “Kwa kuwa 
 mguu ungesema “Kwa kuwa
 mimi si mkono basi mimi si wa 
 mimi si mkono basi mimi si wa
  mwili,” hiyo isingefanya huo 
 mguu usiwe sehemu ya mwili.
UMOJA WA KANISA LA MUNGU

   1 Wakorintho 12:14‐27
16 Na kama sikio lingesema, 
“Kwa kuwa mimi si jicho, basi 
    mimi si la mwili,” hiyo 
    mimi si la mwili ” hiyo
 isingefanya hilo sikio lisiwe 
 isingefanya hilo sikio lisiwe
      sehemu ya mwili.
UMOJA WA KANISA LA MUNGU

     1 Wakorintho 12:14‐27
17 Kama mwili wote ungelikuwa 
 jicho, kusikia kungekuwa wapi? 
       Au kama mwili wote 
       Au kama mwili wote
     ungelikuwa sikio, kunusa 
     ungelikuwa sikio, kunusa
         kungekuwa wapi?
UMOJA WA KANISA LA MUNGU

     1 Wakorintho 12:14‐27
 18 Lakini kama ilivyo, Mungu 
 ameweka viungo katika mwili, 
 kila kimoja kama alivyopenda. 
 kila kimoja kama alivyopenda
    19 Kama vyote vingekuwa
       Kama vyote vingekuwa 
kiungo kimoja, mwili ungekuwa 
              wapi?
UMOJA WA KANISA LA MUNGU

      1 Wakorintho 12:14‐27
20 Kama ulivyo, kuna viungo 
 vingi, lakini mwili ni mmoja. 
21 Jicho haliwezi kuuambia 
      h h l       k      b
 mkono,  Sina haja nawe! Wala
 mkono “Sina haja nawe!” Wala 
 kichwa hakiwezi kuiambia 
 miguu, “Sina haja na ninyi!”
UMOJA WA KANISA LA MUNGU

     1 Wakorintho 12:14‐27

22 Lakini badala yake, vile viungo 
    vya mwili vinavyoonekana 
             l             k
  kuwa dhaifu, ndivyo ambavyo 
  kuwa dhaifu ndivyo ambavyo
       ni vya muhimu sana.
           y
UMOJA WA KANISA LA MUNGU

    1 Wakorintho 12:14‐27
23 Navyo vile viungo vya mwili 
 tunavyoviona havina heshima, 
   ndivyo tunavipa heshima 
   ndivyo tunavipa heshima
 maalum. Vile viungo vya mwili 
 maalum. Vile viungo vya mwili
ambavyo havina uzuri, tunavipa 
       heshima ya pekee.
UMOJA WA KANISA LA MUNGU

   1 Wakorintho 12:14‐27
24 Wakati vile viungo vyenye 
 uzuri havihitaji utunzaji wa 
     pekee. Lakini Mungu 
     pekee Lakini Mungu
ameviweka pamoja viungo vya 
ameviweka pamoja viungo vya
mwili na akavipa heshima zaidi 
    vile vilivyopungukiwa
UMOJA WA KANISA LA MUNGU

   1 Wakorintho 12:14‐27

 25 ili pasiwe na mafarakano 
 katika mwili, bali viungo vyote 
 k k         l b l
vihudumiane usawa kila kimoja 
vihudumiane usawa kila kimoja
          na mwenzake.
UMOJA WA KANISA LA MUNGU

     1 Wakorintho 12:14‐27
26 Kama kiungo kimoja kikiumia, 
  viungo vyote huumia pamoja 
   nacho, kama kiungo kimoja 
   nacho kama kiungo kimoja
    kikipewa heshima, viungo 
    kikipewa heshima, viungo
  vyote hufurahi pamoja nacho. 
Viashiria vya Wito wa Mtu
       2. Mpango wa Wito
Kila kiungo katika Mwili wa Yesu
   (Kanisa), kina uwezo bi f i
   (K i ) ki            binafsi
       ambao kimeumbiwa
  (kimejaliwa) na Mungu, kwa
makusudi kamili ya kutenda kazi
 kwa kutimiza kusudi
 k k ti i k di maalumu.   l
HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO

 1. Kila mtu (mmoja mmoja) 
   katika Kanisa ana wito wake
      (huduma/karama)
2.  Wito wa mtu ( d
                 (Huduma na
    Karama yake) ni maalumu
            yake) ni
    sana (Very Specific)
          ( y p f )
HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO

        1Timotheo 2:7
     Nami kwa kusudi hili
 nimewekwa niwe Mhubiri na
Mtume na Mwalimu wa watu wa
 Mataifa katika imani na kweli.
                         kweli. 
HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO

        Yermia 1:5‐10
 Kabla hujaumbika kwenye
     tumbo la mamako, 
 nilishakutenga uwe Nabii
                      Nabii. 
  Usiseme wewe ni mtoto,
                    mtoto, 
kwamaana nimeshakuandaa
  kuwa Nabii kwa Mataifa.
Viashiria vya Wito wa Mtu
           Muhimu sana!
Kila wito wa Mungu una mpango  
   na mchepuo wake maalum,
   uliowekewa na Mungu, kwa 
   uliowekewa na Mungu kwa
                               y
 kusudi lake. Usitafute kufanya 
   kila kitu; lenga kufanya wito 
wako katika mchepuo uliopewa.
Viashiria vya Wito wa Mtu


       3. 
 Uwezo na Nguvu
           g
   (Matokeo)
Viashiria vya Wito wa Mtu
  3. Uwezo na Nguvu
     Matendo 6:8
   Yohana 20:21‐22
      Luka 24:49
        k
      Luka 4:1,14
      L k 4 1 14
    Matendo 10:38
    Matendo 10:38
Viashiria vya Wito wa Mtu
     3. Uwezo na Nguvu
        Matendo 6:8
‘Naye Stephano, akijaa Neema 
 na Nguvu za Mungu, alifanya 
 na Nguvu za Mungu alifanya
  ishara na miujiza mikubwa 
  ishara na miujiza mikubwa
     miongoni mwa watu’
Viashiria vya Wito wa Mtu
      3. Uwezo na Nguvu
       Yohana 20:21‐22
‘Kama Baba alivyonituma mimi, 
  nami nawatuma ninyi; pokeeni 
  nami nawatuma ninyi; pokeeni
         Roho Mtakatifu
         Roho Mtakatifu’ 
         (
         (Kwa kazi hiyo)
                     y )
Viashiria vya Wito wa Mtu
  3. Uwezo na Nguvu
     Matendo 6:8
   Yohana 20:21‐22
      Luka 24:49
        k
      Luka 4:1,14
      L k 4 1 14
    Matendo 10:38
    Matendo 10:38
Viashiria vya Wito wa Mtu
      3. Uwezo na Nguvu
        Matendo 6:8‐10
Wayahudi wakatoka kujadiliana 
  na Stefano juu ya Yesu; naye 
  na Stefano juu ya Yesu; naye
    Stefano akijaa
    Stefano akijaa neema na
                          na 
  uwezo, akahojiana nao kwa 
   nguvu na ishara za miujiza.
Viashiria vya Wito wa Mtu
     3. Uwezo na Nguvu
       Matendo 6:8‐10
Nao hawakuweza kumshinda 
   kwa yule Roho aliyekuwa 
   kwa yule Roho aliyekuwa
   akisema naye; kwakuwa 
   akisema naye; kwakuwa
stefano alijaa neema na uwezo
             mwingi
Viashiria vya Wito wa Mtu
     3. Uwezo na Nguvu
         Luka 24:49
‘Tazama nawaletea ahadi ya 
  Baba; Lakini msitoke mjini 
  Baba; Lakini msitoke mjini
 mpaka mtakapovikwa uweza 
 mpaka mtakapovikwa uweza
         utokao juu.’
Viashiria vya Wito wa Mtu
      3. Uwezo na Nguvu
          Luka 4:1,14
‘Baada ya Yesu kujazwa na Roho 
    Mtakatifu, aliingia katika 
    Mtakatifu aliingia katika
    maombi ya siku 40; naye 
    maombi ya siku 40; naye
  akarudi katika nguvu za Roho’
Viashiria vya Wito wa Mtu
    3. Uwezo na Nguvu
       Matendo 10:38
‘Naye Mungu alimpaka Yesu 
   Kristo mafuta, kwa Roho 
   Kristo mafuta kwa Roho
  Mtakatifu na Nguvu, naye 
  Mtakatifu na Nguvu, naye
      akawafungua wote 
walioonewa na ibilisi shetani ’
Viashiria vya Wito wa Mtu
          Marko 16:15‐20
   15 Akawaambia, “Enendeni 
ulimwenguni mwote, mkaihubiri 
Injili kwa kila kiumbe. 16 Ye yote 
Injili kwa kila kiumbe 16 Ye yote
        y
aaminiye na kubatizwa ataokoka. 
     Lakini ye yote asiyeamini 
          atahukumiwa. 
Viashiria vya Wito wa Mtu
       Marko 16:15‐20
17 “Nazo ishara hizi zitafuatana 
  na wale waaminio: Kwa Jina 
 Langu watatoa pepo wachafu, 
 Langu watatoa pepo wachafu
                  g
 watasema kwa lugha mpya …py
Viashiria vya Wito wa Mtu
        Marko 16:15‐20
18 watashika nyoka kwa mikono 
 yao na hata wakinywa kitu cho 
chote cha kuua, hakitawadhuru 
chote cha kuua hakitawadhuru
        ,                  y
 kamwe, wataweka mikono yao 
     juu ya wagonjwa, nao 
          watapona.”
Viashiria vya Wito wa Mtu
         Marko 16:15‐20
19 Baada ya Bwana Yesu kusema 
 nao, alichukuliwa juu mbinguni 
 na kuketi mkono wa kuume wa 
 na kuketi mkono wa kuume wa
                 g
             Mungu. 
Viashiria vya Wito wa Mtu
         Marko 16:15‐20
    20 Kisha wanafunzi Wake 
   wakatoka, wakahubiri kila 
 mahali, naye Bwana akatenda 
 mahali naye Bwana akatenda
kazi pamoja nao na kulithibitisha 
     p      j
      Neno Lake kwa ishara 
        zilizofuatana nao.
Viashiria vya Wito wa Mtu
          Muhimu sana!
Kila wito wa Mungu una viashiria 
vyake maalum, vilivyowekewa na 
  Mungu kuthibitisha wito huo. 
  Mungu kuthibitisha wito huo
               y           ;    g
Usitafute kufanya kila kitu; lenga 
    kufanya wito wako katika 
       mchepuo uliopewa.
Viashiria vya Wito wa Mtu


        4. 
   Eneo la Wito
   Eneo la Wito
   (Location + Group)
   (Location + Group)
Viashiria vya Wito wa Mtu
         Muhimu sana!
 Kila wito wa Mungu una eneo 
 lake maalum, lililowekewa na 
    Mungu, kwa kusudi lake. 
    Mungu kwa kusudi lake
                   y
   Usitafute kufanya wito kila 
mahali, lenga kufanya wito wako 
    katika eneo uliopangiwa.
HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO

        1Timotheo 2:7
     Nami kwa kusudi hili
 nimewekwa niwe Mhubiri na
Mtume na Mwalimu wa watu wa
 Mataifa katika imani na kweli.
                         kweli. 
HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO

       Wagalatia 2:8
Aliyemwezesha Petro kuwa
mhubiri wa Wayahudi, ndiye
 aliyeniwezesha mimi kuwa
     mhubiri wa Mataifa.
Viashiria vya Wito wa Mtu
        4. Eneo la Wito
       Matendo 16:6‐12
7 Walipofika kwenye mpaka wa 
   Misia, wakajaribu kuingia 
   Misia wakajaribu kuingia
  Bithinia lakini Roho wa Yesu 
  Bithinia lakini Roho wa Yesu
         hakuwaruhusu. 
Viashiria vya Wito wa Mtu
       4. Eneo la Wito
      Matendo 16:6‐12
 8 Kwa hiyo wakapita Misia, 
  wakafika Troa. 9 Wakati wa 
  wakafika Troa 9 Wakati wa
  usiku Paulo akaona maono, 
  usiku Paulo akaona maono,
      mtu wa Makedonia 
amesimama akimsihi akisema,
Viashiria vya Wito wa Mtu
         4. Eneo la Wito
         Matendo 16:6‐12
9 … “Vuka uje huku Makedonia 
    ukatusaidie.” 10 Baada ya 
    ukatusaidie ” 10 Baada ya
 Paulo kuona maono haya, mara 
 Paulo kuona maono haya, mara
  tulijiandaa kuondoka kwenda 
           Makedonia…
Viashiria vya Wito wa Mtu
      4. Eneo la Wito
     Matendo 16:6‐12
10 … tukiwa tumesadiki kwa 
  sababu tuliona kwa hakika 
  sababu tuliona kwa hakika
  kwamba Mungu ametuita 
  kwamba Mungu ametuita
 kuhubiri habari njema huko.
Viashiria vya Wito wa Mtu
        4. Eneo la Wito

         Yeremia 1:9‐10
‘Kabla hujaumbika tumboni mwa 
‘ bl h j     bik      b i
  mamako, nilikwisha kukutenga 
  mamako nilikwisha kukutenga
      uwe Nabii kwa Mataifa’
Viashiria vya Wito wa Mtu
      Matendo 21‐28
21:4 Baada ya kuwatafuta 
wanafunzi wa huko, tukakaa 
     f i     h k t k k
 nao kwa siku saba. Wale 
 nao kwa siku saba Wale
wanafunzi wakiongozwa na 
Roho walimwambia Mtume 
Paulo asiende Yerusalemu.
P l     i d Y       l
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama
Kusudi la mungu kwa kanisa   huduma na karama

Contenu connexe

Tendances

Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1001111111111
 
SPIRITUAL WARFARE TRAINING @ LIFE CHANGERS CHURCH
SPIRITUAL WARFARE TRAINING @ LIFE CHANGERS CHURCHSPIRITUAL WARFARE TRAINING @ LIFE CHANGERS CHURCH
SPIRITUAL WARFARE TRAINING @ LIFE CHANGERS CHURCHLife Changers Church
 
Uchumi wa kibiblia
Uchumi wa kibibliaUchumi wa kibiblia
Uchumi wa kibiblia001111111111
 
Maisha ya ibada kusifu na kuabudu
Maisha ya ibada   kusifu na kuabuduMaisha ya ibada   kusifu na kuabudu
Maisha ya ibada kusifu na kuabudu001111111111
 
Melatih Ritme Harian 2 - Coram Deo-Examen & Spiritual Transformation
Melatih Ritme Harian  2 - Coram Deo-Examen & Spiritual TransformationMelatih Ritme Harian  2 - Coram Deo-Examen & Spiritual Transformation
Melatih Ritme Harian 2 - Coram Deo-Examen & Spiritual TransformationJohan Setiawan
 
Confronting and overcoming temptations
Confronting and overcoming temptationsConfronting and overcoming temptations
Confronting and overcoming temptationsguest0b8979
 
Pre Encounter Lesson 9: Purposes of the Encounter
Pre Encounter Lesson 9: Purposes of the EncounterPre Encounter Lesson 9: Purposes of the Encounter
Pre Encounter Lesson 9: Purposes of the EncounterRhea Deligero
 
Experiencing God’s Faithfulness
Experiencing God’s FaithfulnessExperiencing God’s Faithfulness
Experiencing God’s FaithfulnessGeorge Reala
 
Sekolah Sabat - Triwulan 2 2022 - Pelajaran 9
Sekolah Sabat - Triwulan 2 2022 - Pelajaran 9Sekolah Sabat - Triwulan 2 2022 - Pelajaran 9
Sekolah Sabat - Triwulan 2 2022 - Pelajaran 9Adam Hiola
 
Know Your Enemy: Series on Spiritual Warfare (Part 1)
Know Your Enemy: Series on Spiritual Warfare (Part 1)Know Your Enemy: Series on Spiritual Warfare (Part 1)
Know Your Enemy: Series on Spiritual Warfare (Part 1)David Turner
 
Pre Encounter Lesson 8: What You Need to Know About the Encounter
Pre Encounter Lesson 8: What You Need to Know About the EncounterPre Encounter Lesson 8: What You Need to Know About the Encounter
Pre Encounter Lesson 8: What You Need to Know About the EncounterRhea Deligero
 
Overcoming Temptation: A Practical Guide for Christians
Overcoming Temptation: A Practical Guide for ChristiansOvercoming Temptation: A Practical Guide for Christians
Overcoming Temptation: A Practical Guide for ChristiansCity Vision University
 
Faith is encouraging sermon slides
Faith is encouraging sermon slidesFaith is encouraging sermon slides
Faith is encouraging sermon slidesDavid Sr.
 
1 Peter - Dimensions of Suffering
1 Peter - Dimensions of Suffering1 Peter - Dimensions of Suffering
1 Peter - Dimensions of SufferingDr. Bella Pillai
 

Tendances (20)

Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1Asili ya-mungu-ndani-yetu1
Asili ya-mungu-ndani-yetu1
 
SPIRITUAL WARFARE TRAINING @ LIFE CHANGERS CHURCH
SPIRITUAL WARFARE TRAINING @ LIFE CHANGERS CHURCHSPIRITUAL WARFARE TRAINING @ LIFE CHANGERS CHURCH
SPIRITUAL WARFARE TRAINING @ LIFE CHANGERS CHURCH
 
Uchumi wa kibiblia
Uchumi wa kibibliaUchumi wa kibiblia
Uchumi wa kibiblia
 
Anointing 1
Anointing 1Anointing 1
Anointing 1
 
Maisha ya ibada kusifu na kuabudu
Maisha ya ibada   kusifu na kuabuduMaisha ya ibada   kusifu na kuabudu
Maisha ya ibada kusifu na kuabudu
 
Melatih Ritme Harian 2 - Coram Deo-Examen & Spiritual Transformation
Melatih Ritme Harian  2 - Coram Deo-Examen & Spiritual TransformationMelatih Ritme Harian  2 - Coram Deo-Examen & Spiritual Transformation
Melatih Ritme Harian 2 - Coram Deo-Examen & Spiritual Transformation
 
Confronting and overcoming temptations
Confronting and overcoming temptationsConfronting and overcoming temptations
Confronting and overcoming temptations
 
Pre Encounter Lesson 9: Purposes of the Encounter
Pre Encounter Lesson 9: Purposes of the EncounterPre Encounter Lesson 9: Purposes of the Encounter
Pre Encounter Lesson 9: Purposes of the Encounter
 
Vita vya kiroho
Vita vya kirohoVita vya kiroho
Vita vya kiroho
 
Training of the senses
Training of the sensesTraining of the senses
Training of the senses
 
Experiencing God’s Faithfulness
Experiencing God’s FaithfulnessExperiencing God’s Faithfulness
Experiencing God’s Faithfulness
 
Sekolah Sabat - Triwulan 2 2022 - Pelajaran 9
Sekolah Sabat - Triwulan 2 2022 - Pelajaran 9Sekolah Sabat - Triwulan 2 2022 - Pelajaran 9
Sekolah Sabat - Triwulan 2 2022 - Pelajaran 9
 
Know Your Enemy: Series on Spiritual Warfare (Part 1)
Know Your Enemy: Series on Spiritual Warfare (Part 1)Know Your Enemy: Series on Spiritual Warfare (Part 1)
Know Your Enemy: Series on Spiritual Warfare (Part 1)
 
Pre Encounter Lesson 8: What You Need to Know About the Encounter
Pre Encounter Lesson 8: What You Need to Know About the EncounterPre Encounter Lesson 8: What You Need to Know About the Encounter
Pre Encounter Lesson 8: What You Need to Know About the Encounter
 
Overcoming Temptation: A Practical Guide for Christians
Overcoming Temptation: A Practical Guide for ChristiansOvercoming Temptation: A Practical Guide for Christians
Overcoming Temptation: A Practical Guide for Christians
 
Developing the heart of a servant!
Developing the heart of a servant!Developing the heart of a servant!
Developing the heart of a servant!
 
The Anointing
The AnointingThe Anointing
The Anointing
 
Classes of Angels
Classes of AngelsClasses of Angels
Classes of Angels
 
Faith is encouraging sermon slides
Faith is encouraging sermon slidesFaith is encouraging sermon slides
Faith is encouraging sermon slides
 
1 Peter - Dimensions of Suffering
1 Peter - Dimensions of Suffering1 Peter - Dimensions of Suffering
1 Peter - Dimensions of Suffering
 

Similaire à Kusudi la mungu kwa kanisa huduma na karama

Similaire à Kusudi la mungu kwa kanisa huduma na karama (9)

Academic excellence
Academic excellenceAcademic excellence
Academic excellence
 
Dei verbum swahili - divine revelation
Dei verbum   swahili - divine revelationDei verbum   swahili - divine revelation
Dei verbum swahili - divine revelation
 
Manabii wa uongo
Manabii wa uongoManabii wa uongo
Manabii wa uongo
 
Yesu ni mungu
Yesu ni munguYesu ni mungu
Yesu ni mungu
 
Maono ya bwana kuhusu kanisa la tanzania
Maono ya bwana kuhusu kanisa la tanzaniaMaono ya bwana kuhusu kanisa la tanzania
Maono ya bwana kuhusu kanisa la tanzania
 
Prayer manual 2013 by Elimringi Moshi 0714112062
Prayer manual 2013 by Elimringi Moshi 0714112062Prayer manual 2013 by Elimringi Moshi 0714112062
Prayer manual 2013 by Elimringi Moshi 0714112062
 
Come holy spirit (swahili)
Come holy spirit (swahili)Come holy spirit (swahili)
Come holy spirit (swahili)
 
Justification and Grace (Swahili).pptx
Justification and Grace (Swahili).pptxJustification and Grace (Swahili).pptx
Justification and Grace (Swahili).pptx
 
Maisha ya ujana
Maisha ya ujanaMaisha ya ujana
Maisha ya ujana
 

Kusudi la mungu kwa kanisa huduma na karama

  • 1. HUDUMA NA KARAMA  ZA ROHO MTAKATIFU NDANI YAKO Mwl. Mgisa Mtebe mgisamtebe@yahoo.com +255‐713‐497‐654
  • 2. HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO 1Wakorintho 4:1‐2 1Wakorintho 4:1 2 1Wakorintho 12:4‐11 1Wakorintho 12:4 11 Warumi 12:3‐8 Warumi 12:3 8
  • 4. HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO 1Wakorintho 4:1‐2 1 Basi, mtu na atuhesabu hivi,  kwamba sisi ni watumishi wa  Kristo na mawakili wa siri za na mawakili wa siri za  Mungu. 2 Na linalotakiwa ni  g watumishi na mawakili waonekane kuwa waaminifu. 
  • 6. Huduma na Karama 1Wakorintho 12:4‐11 4 Basi kuna aina mbali mbali za karama, lakini R h ni yule k l ki i Roho i l yule. 5 yule 5 Pia kuna huduma za aina mbali mbali, lakini Bwana  ni yule yule. 
  • 7. Huduma na Karama 1Wakorintho 12:4‐11 6 Kisha kuna tofauti za kutenda kazi, lakini i Mungu yule yule k i l ki i ni M l l atendaye kazi zote kwa watu wote. 
  • 8. Huduma na Karama 1Wakorintho 12:4‐11 7 Basi kila mmoja hupewa ufunuo wa Roho kwa faida ya wote wote.  8 Maana mtu mmoja kwa Roho j hupewa neno la hekima na mwingine neno la maarifa kwa Roho huyo huyo huyo. 
  • 9. Huduma na Karama 1Wakorintho 12:4‐11 9 Mtu mwingine imani kwa huyo Roho na mwingine karama za kuponya. 10 Kwa mwingine p y g matendo ya miujiza, kwa mwingine unabii kwa mwingine kupambanua roho;
  • 10. Huduma na Karama 1Wakorintho 12:4‐11 10 … kwa mwingine aina mbali mbali za lugha kwa mwingine lugha, kwa tafsiri za lugha. 11 Haya yote g y y hufanywa na huyo huyo Roho mmoja, Roho naye h j R h humgawia kil i kila mtu, kama mtu kama apendavyo mwenyewe.
  • 11. Huduma na Karama 1Wakorintho 12:4‐11 10 … kwa mwingine aina mbali mbali za lugha kwa mwingine lugha, kwa tafsiri za lugha. 11 Haya yote g y y hufanywa na huyo huyo Roho mmoja, Roho naye h j R h humgawia kil i kila mtu, kama mtu kama apendavyo mwenyewe.
  • 13. Huduma na Karama Warumi 12:3‐8 3 Kwa ajili ya neema niliyopewa nawaambia kila mmoja miongoni mwenu, asijidhinie kuwa bora , j kuliko impasavyo, bali afikiri kwa busara kwa kulingana na kipimo cha imani cha imani Mungu aliyompa aliyompa. 
  • 14. Huduma na Karama Warumi 12:3‐8 4 Kama vile katika mwili mmoja tulivyo na viungo vingi navyo vingi, navyo viungo vyote havina kazi moja,  g y j 5 vivyo hivyo na sisi tulio wengi,  tu mwili mmoja k ik K i ili j katika Kristo, nasi i kila mmoja ni kiungo cha cha  mwenzake.
  • 15. Huduma na Karama Warumi 12:3‐8 6 Tuna karama zilizotofautiana kila mmoja kutokana na neema tuliyopewa. Kama ni unabii na y p tutoe unabii kwa kadiri ya imani. 7 Kama ni k h d 7K i kuhudumu na tuhudumu, mwenye tuhudumu mwenye kufundisha na afundishe,
  • 16. Huduma na Karama Warumi 12:3‐8 8 kama ni kutia moyo na atie moyo,  kama ni kuchangia kwa ajili ya mahitaji ya wengine na atoe kwa ukarimu, kama ni uongozi na aongoze kwa bidii kama ni bidii, kama kuhurumia wengine na afanye hivyo kwa furaha. 
  • 17. HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO Utumishi wetu  Utumishi wetu kwa Mungu k M
  • 18. HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO 1. Kila mtu (mmoja mmoja)  katika Kanisa ana wito wake (huduma/karama) 2.  Wito wa mtu ( d (Huduma na Karama yake) ni maalumu yake) ni sana (Very Specific) ( y p f )
  • 19. KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA  KUSUDI LA KANISA Ni Kanisa liweze kulimiliki na Kutawala dunia na mazingira yake, ili yake ili binadamu aweze kuishi maisha mazuri na kuwa chombo kizuri cha Ibada, kumsifu na kumwabudu Mungu aliye juu juu.
  • 20. KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA KWANINI   IBADA ?
  • 21. SIFA NA IBADA KWA MUNGU SIFA NA IBADA KWA MUNGU Ni Kwasababu, Ni K b b IDABA ndio kitu cha  di kit h kwanza kabisa katika moyo  kwanza kabisa katika moyo wa Mungu. wa Mungu.
  • 22. SIFA NA IBADA KWA MUNGU SIFA NA IBADA KWA MUNGU Zab 22:3 IDABA ndio kitu cha kwanza cha kwanza  kabisa katika moyo wa y Mungu, kwasababu MUNGU ANAISHI KATIKA  IBADA na SIFA.
  • 23. SIFA NA IBADA KWA MUNGU SIFA NA IBADA KWA MUNGU Zaburi 22:3 Wewe U Mtakatifu nawe U Mtakatifu, nawe “UNAKETI” juu ya sifa za Israel j y “Inhabit”                 “Unaishi” Inhabit Unaishi
  • 24. KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA  KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA Yohana 4:23 Yohana 4:23 Kwa maana Baba anawatafuta Kwa maana Baba anawatafuta watu kama hao, ili wamwabudu; Na saa ipo na sasa saa imefika,  ambapo waabuduo halisi, b b d h li i watamwabudu Baba katika roho  na kweli; 
  • 25. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Mungu anapokupa Nguvu zake,  Mungu anapokupa Nguvu zake, kwa ajili ya maisha yako duniani,  anatafuta kukulinda wewe, ili pia  kuilinda na ibada yake inayotoka  kuilinda na ibada yake inayotoka katik maisha yako. katik maisha yako. ( (Yohana 4:23) )
  • 26. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Kwahiyo, Nguvu za Mungu ni za  Kwahiyo, Nguvu za Mungu ni za lazima, ili kumwezesha  mwanadamu kuitawala dunia pamoja na Mungu, na  pamoja na Mungu na kumwezesha mwanadamu awe  kumwezesha mwanadamu awe chombo kizuri cha ibada, (Mwanzo 1:26‐28)
  • 27. SIFA NA IBADA KWA MUNGU Mungu Zab 22:3 Ibada Nchi Yoh 4:23‐24 Kumb 8:6‐18 Adam Zab 150:6
  • 28. KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA  Ibada nzuri hutoka katika moyo nzuri hutoka katika moyo  uliotulia na pia maisha mazuri;  na maisha mazuri huchangiwa  sana na mazingira mazuri. sana na mazingira mazuri Kumbukumbu 8:6‐18  Kumbukumbu 8:6‐18
  • 29. KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA  Mazingira yakitibuka, maisha a g a ya bu a, a s a yanatibuka, na maisha yakitibuka,  ibada k b d kwa Mungu pia, inatibuka. b k Hivyo, Shetani anachotafuta ni  Hivyo Shetani anachotafuta ni kumpiga binadamu na mazingira yake, ili kumvurugia Mungu ibada,  anayoitamani sana kutoka duniani.  anayoitamani sana kutoka duniani
  • 30. HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO Huduma na Karama za Roho  Mtakatifu ni uwezo na vipawa  vya Mungu ndani ya watu  M d i wake, vinavyowawezesha  wake vinavyowawezesha kutenda kazi duniani kwa  kulitimiza kusudi la Mungu.
  • 31. SIFA NA IBADA KWA MUNGU Mungu Zab 22:3 Ibada Nchi Yoh 4:23‐24 Kumb 8:6‐18 Adam Zab 150:6
  • 32. HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO Kila Mtu katika jamii ya watu wa  Mungu ana Karama na Kipawa fulani kilichowekwa na Roho  f l i kili h k R h Mtakatifu wa Mungu,  Mtakatifu wa Mungu kinavyochomwezesha kutenda  kazi duniani ili kulitimiza   kusudi la Mungu. k di l M
  • 33. HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO Kipawa hicho, ndicho  kinachotenda kazi ili mtu aweze  kuishi na kuyatawala mazingira  k i hi k l i i yake, hata kumwezesha mtu  yake hata kumwezesha mtu huyo kulitimiza kusudi la  Mungu, yaani kuwa ‘chombo  kizuri cha ibada’. ki i h ib d ’
  • 34. KARAMA ZA ROHO MTAKATIFU  Kutoka 31:1‐5 Bwana akamwambia Musa, kwa ajili ya ufundi wa vyombo vyote jili f di b t vya hekalu, nimempaka mafuta y p f (uwezo) Bezaleli mwana wa Huri,  kwa ajili ya kazi zote za kuchora kuchora,  kuchonga, kukata na ufundi wote wa f dh na dh h b fedha dhahabu.
  • 35. SIFA NA IBADA KWA MUNGU Mungu Zab 22:3 Ibada Nchi Yoh 4:23‐24 Kumb 8:6‐18 Adam Zab 150:6
  • 36. KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA  Kwahiyo, Shetani anachotafuta ni Shetani anachotafuta ni  kumpiga binadamu na mazingira yake, ili kumvurugia Mungu ibada,  anayoitamani sana kutoka duniani  anayoitamani sana kutoka duniani (kwa watoto wa Mungu). (Ufunuo 12:17)
  • 37. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Hivyo, Nguvu za Mungu ni za lazima  yo, gu u a u gu a a a katika maisha, ili kumwezesha  mwanadamu, kumshinda adui  d k h d d shetani na vizuizi vyake na  shetani na vizuizi vyake na kumwezesha kutawala maisha yake na mazingira yake.  (Mwanzo 1:26‐28; Zaburi 8:4‐8) (M 1 26 28 Z b i 8 4 8)
  • 38. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Kwahiyo, Nguvu za Mungu ni za  Kwahiyo, Nguvu za Mungu ni za lazima, ili kumwezesha  mwanadamu kuitawala dunia pamoja na Mungu, na  pamoja na Mungu na kumwezesha mwanadamu awe  kumwezesha mwanadamu awe chombo kizuri cha ibada, (Mwanzo 1:26‐28)
  • 39. VITA VYA ROHONI Ni kwamba, kuna mapambano,  kuna vita na upinzani (mashindano), kati ya shetani na  ( hi d ) k i h i watoto wa Mungu watoto wa Mungu (kanisa lala  Bwana Yesu Kristo).” (Mathayo 16:18‐19)
  • 40. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Hivyo, Mungu anapokupa Nguvu  Hivyo, Mungu anapokupa Nguvu zake, kwa ajili ya maisha yako  duniani, anatafuta kukulinda  wewe, ili pia kuilinda na ibada  wewe ili pia kuilinda na ibada yake inayotoka katika maisha inayotoka katika maisha  yako (inayotoka duniani). (Yohana 4:23)
  • 41. KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA  KUSUDI LA KANISA Ni Kanisa liweze kulimiliki na Kutawala dunia na mazingira yake, ili yake ili binadamu aweze kuishi maisha mazuri na kuwa chombo kizuri cha Ibada, kumsifu na kumwabudu Mungu aliye juu juu.
  • 42. KARAMA NA HUDUMA ZA ROHO Kanisa la Mungu ni Ofisi ya  Mungu na Ubalozi wa Mbinguni duniani. Hivyo Mungu anataka  duniani Hivyo Mungu anataka Kanisa lake (Ofisi yake) iwe na  ( y ) watendakazi walio bora zaidi na  itoe huduma bora zaidi kuliko  taasisi zingine za duniani. taasisi zingine za duniani
  • 43. KARAMA NA HUDUMA ZA ROHO Mathayo 25:14‐30 Mungu hawezi kuivumilia jambo  lolote linalozuia kazi ya Ufalme  lolote linalozuia kazi ya Ufalme wake duniani; ni lazima  ; atalishughulikia kwa nguvu ili  kurekebisha kikwazo hicho na  kutoa fundisho kwa wengine. kutoa fundisho kwa wengine
  • 44. KARAMA NA HUDUMA ZA ROHO Mfano wa Kwanza; Kutumika chini ya Kiwango 1Wakorintho 3:10‐15
  • 45. HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO 1Wakorintho 3:10‐15 10 Kwa neema Mungu aliyonipa,  niliweka msingi kama mjenzi stadi na mtu mwingine anajenga g j g juu ya huo msingi. Lakini kila mtu inampasa awe mwangalifu jinsi anavyojenga juu yake yake.
  • 46. HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO 1Wakorintho 3:10‐15 12 Kama mtu ye yote akijenga juu ya msingi huu kwa kutumia dhahabu, au kwa fedha, au kwa , , mawe ya thamani, au kwa miti,  au kwa majani au kwa nyasi …
  • 47. HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO 1Wakorintho 3:10‐15 13 kazi yake itaonekana kuwa ikoje, kwa ikoje kwa kuwa siku ile itaidhihirisha kazi yake.  y Itadhihirishwa kwa moto, nao moto utapima ubora wa kazi ya kila mtu mtu.
  • 48. KARAMA NA HUDUMA ZA ROHO 14 Kama kile alichojenga  kitabaki, atapokea thawabu.  15 Kama kazi ya mtu itateketea,  atapata hasara, ila yeye  atapata hasara ila yeye y , mwenyewe ataokolewa, lakini  kama mtu aliyenusurika kwenye  moto. 
  • 49. KARAMA NA HUDUMA ZA ROHO Mfano wa Pili; Kutumika nje ya Wito Mathayo 25:14‐30
  • 50. Viashiria vya Wito wa Mtu Mathayo 25:14‐30 14 “Tena, Ufalme wa Mbinguni ni  kama mtu (Bwana) anayetaka  kusafiri, akawaita watumishi  kusafiri akawaita watumishi wake na kuweka mali yake  y kwenye uangalizi wao (Uwakili)  ili kuitunza na kuizalisha.
  • 51. Viashiria vya Wito wa Mtu Mathayo 25:14‐30 15 Mmoja akampa talanta tano (5) mwingine talanta mbili (2)  na mwingine talanta moja (1) (1),  kila mmoja alipewa kwa kadiri j p ya uwezo wake. Kisha yeye akasafiri kwenda mbali.
  • 52. Viashiria vya Wito wa Mtu Mathayo 25:14‐30 19 “Baada ya muda mrefu yule  bwana wa wale watumishi  akarudi na kufanya hesabu nao. akarudi na kufanya hesabu nao
  • 53. Viashiria vya Wito wa Mtu Mathayo 25:14‐30 20 Yule mtumishi aliyepokea  talanta 5 akaja, akaleta nyingine  5 zaidi. Akasema,  Bwana  5 zaidi Akasema ‘Bwana y g uliweka kwenye uangalizi  wangu talanta 5. Tazama,  nimepata faida talanta 5 zaidi.’ 
  • 54. Viashiria vya Wito wa Mtu Mathayo 25:14‐30 21 “Bwana wake akamwambia,  ‘Umefanya vizuri sana,  mtumishi mwema na  mtumishi mwema na mwaminifu …! 
  • 55. Viashiria vya Wito wa Mtu Mathayo 25:14‐30 21 “… Umekuwa mwaminifu kwa  vitu vichache, nitakuweka kuwa  msimamizi wa vitu vingi. Njoo  msimamizi wa vitu vingi Njoo y ushiriki katika furaha ya bwana  wako!” 
  • 56. Viashiria vya Wito wa Mtu Mathayo 25:14‐30 22 “Yule mwenye talanta 2, naye  akaja. Akasema, `Bwana,  uliweka kwenye uangalizi uliweka kwenye uangalizi wangu talanta 2. Tazama  g nimepata hapa faida ya talanta  mbili (2) zaidi.’  ( )
  • 57. Viashiria vya Wito wa Mtu Mathayo 25:14‐30 “Bwana wake akajibu, ‘Umefanya  vizuri sana, mtumishi mwema  na mwaminifu, na wewe  na mwaminifu na wewe p nakulipa kama mwenzako wa  kwanza kwa kutimiza kusudi la  wito wenu kwa kipimo chake.
  • 58. Viashiria vya Wito wa Mtu Mathayo 25:14‐30 24 “Kisha yule mtumishi  aliyepokea talanta 1 akaja,  li k t l t 1 k j akasema,  Bwana, nilijua  akasema, ‘Bwana, nilijua kwamba wewe ni mtu mgumu,  unayevuna mahali usipopanda na  kukusanya mahali usipotawanya. kukusanya mahali usipotawanya
  • 59. Viashiria vya Wito wa Mtu Mathayo 25:14‐30 25 Kwa hiyo niliogopa, nikaenda,  nikaificha talanta yako ardhini.  Tazama, hii hapa ile iliyo mali  Tazama hii hapa ile iliyo mali y yako.’ 
  • 60. Viashiria vya Wito wa Mtu Mathayo 25:14‐30 26 Bwana wake akajibu, ‘Wewe  mtumishi mwovu na mvivu!  Ulijua yote hayo lakini  Ulijua yote hayo lakini y y hukufanya ulichotakiwa kufanya  (wewe ni mpumbavu).
  • 61. Viashiria vya Wito wa Mtu Mathayo 25:14‐30 27 Basi, ilikupasa kuweka fedha  yangu kwa watoa riba, ili  nirudipo, nichukue ile iliyo  nirudipo nichukue ile iliyo y g yangu na faida yake?  y
  • 62. Viashiria vya Wito wa Mtu Mathayo 25:14‐30 30 “Nanyi mtupeni huyo  mtumishi asiyefaa nje, kwenye  giza, mahali ambako kutakuwa  giza mahali ambako kutakuwa g na kilio na kusaga meno.’ 
  • 63. Viashiria vya Wito wa Mtu 6. Kipimo (Kiasi) cha Kazi Luka 12:48 “… aliyepewa vingi, kwake  “ li i i k k huyo vitatakwa vingi huyo vitatakwa vingi …”
  • 64. Viashiria vya Wito wa Mtu 6. Kipimo (Kiasi) cha Kazi 1Wakorintho 3:13 “… Kazi ya kila mtu i i “ i kil itapiwa,  tena kwa moto wa Mungu tena kwa moto wa Mungu …”
  • 65. KARAMA NA HUDUMA ZA ROHO Mathayo 25:14‐30 Mtumishi huyu wa Mungu  hakuwa mwizi au mzinzi au  mchawi, lakini alitupwa nje ya  mchawi lakini alitupwa nje ya g Ufalme wa Mungu kwasababu  hakuzalisha faida katika kazi ya  Ufalme wa Mungu … 
  • 66. KARAMA NA HUDUMA ZA ROHO Mathayo 25:14‐30 Udhaifu huo ulisababisha  kupunguza uwezo wa kazi ya  kupunguza uwezo wa kazi ya Mungu ya kutawala dunia. g y Kwa Mfano; Injili, Elimu, Afya, Udiakonia,  Ukarimu, Utaalamu, Ujuzi, n.k.
  • 67. KARAMA NA HUDUMA ZA ROHO Kanisa la Mungu ni Ofisi ya  Mungu na Ubalozi wa Mbinguni duniani. Hivyo Mungu anataka  duniani Hivyo Mungu anataka Kanisa lake (Ofisi yake) iwe na  ( y ) watendakazi walio bora zaidi na  itoe huduma bora zaidi kuliko  taasisi zingine za duniani. taasisi zingine za duniani
  • 68. KARAMA NA HUDUMA ZA ROHO Mathayo 25:14‐30 Mungu hawezi kuivumilia jambo  lolote linalozuia kazi ya Ufalme  lolote linalozuia kazi ya Ufalme wake duniani; ni lazima  ; atalishughulikia kwa nguvu ili  kurekebisha kikwazo hicho na  kutoa fundisho kwa wengine. kutoa fundisho kwa wengine
  • 69. HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO Kusudi la Somo; Kusudi la Somo; Kuwaanda Waaumini Kuwaanda Waaumini Kutoa Hesabu ya Kazi Kutoa Hesabu ya Kazi Zao Kwa Mungu Zao Kwa Mungu
  • 70. Huduma na Karama 2Timotheo 4:6‐8 5 K h b i yako wewe, vumilia Kwa habari k ili mateso, fanya mateso fanya kazi ya mhubiri wa Injili, timiza wajibu wote wa huduma yako. 
  • 71. Huduma na Karama 2Timotheo 4:6‐8 6 K maana wakati umefika,  Kwa k ti fik mimi sasa ni tayari kumiminwa kama sadaka ya kinywaji, nayo saa yangu ya kuondoka duniani imefika. i fik
  • 72. Huduma na Karama 2Timotheo 4:6‐8 7 Ni Nimevipiga vita vizuri, mwendo i i it i i d nimeumaliza, Mashindano nimeumaliza Mashindano nimeyamaliza, imani nimelinda. 
  • 73. Huduma na Karama 2Timotheo 4:6‐8 8 Sasa, nimewekewa taji ya haki ambayo Bwana mwamuzi wa Bwana, mwamuzi haki, atanitunukia siku ile, wala si , , mimi tu, bali pia wote ambao wamengoja kwa shauku kuja Kwake. Kwake
  • 74. Huduma na Karama Matendo 17:30‐31 30 Zamani wakati wa ujinga,  Mungu alijifanya kama haoni haoni,  lakini sasa anawaamuru watu wote kila mahali watubu. 
  • 75. Huduma na Karama Matendo 17:30‐31 31 Kwa kuwa ameweka siku ambayo atauhukumu ulimwengu kwa haki, akimtumia mtu aliyemchagua (Yaani Yesu), kwake huyo amewahakikishia watu h h kiki hi wote, kwa wote kwa kumfufua kutoka kwa wafu.’’ 
  • 76. Huduma na Karama Ufunuo 22:10‐12 10 Kisha akaniambia,  Usiyafunge 10 Kisha akaniambia “Usiyafunge maneno ya unabii yaliyomo katika kitabu hiki, kwa sababu wakati umekaribia. umekaribia
  • 77. Huduma na Karama Ufunuo 22:10‐12 11 Atendaye mabaya na azidi kutenda mabaya, aliye mchafu na azidi kuwa mchafu yeye atendaye mchafu, yeye haki na azidi kutenda haki na yeye aliye mtakatifu na azidi kuwa mtakatifu.’’  mtakatifu ’’
  • 78. Huduma na Karama Ufunuo 22:10‐12 12 “Tazama naja upesi! nikiwa Tazama, naja upesi! nikiwa na ujira (mshahara) wangu, nami j ( ) g , nitamlipa kila mtu sawasawa na alivyotenda. 
  • 79. Huduma na Karama Mathayo 7:21‐23 21 “Si kila mtu aniambiaye Si kila aniambiaye,  , , y g ‘Bwana, Bwana,’ atakayeingia katika Ufalme wa Mbinguni bali ni yeye afanyaye mapenzi ya f Baba yangu Baba yangu aliye mbinguni mbinguni.
  • 80. Huduma na Karama Mathayo 7:21‐23 22 Katika 22 Katika siku hiyo wengi hiyo, wengi wataniambia siku ile, ‘Bwana,  , , Bwana, hatukutoa unabii kwa jina lako na kwa jina lako kutoa pepo na kufanya miujiza mingi?
  • 81. Huduma na Karama Mathayo 7:21‐23 23 Ndipo 23 Ndipo nitakapowaambia wazi wazi,  Sikuwajua kamwe. Ondokeni j kwangu, ninyi watenda maovu!’ 
  • 82. Huduma na Karama Mathayo 7:21‐23 Kumbe, uovu si mpaka umefanya ambacho hukutakiwa kufanya kufanya,  kumbe hata kutofanya y ulichotakiwa kufanya, pia ni uovu mbele za Mungu.
  • 83. Huduma na Karama Mathayo 7:21‐23 Sins of                       Sins of Sins of Sins of Commission             Ommission Dhambi za Dhambi za Kutenda Kutokutenda
  • 84. HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO Amos 4:12 12 “Kwa hiyo hili ndilo  nitakalowafanyia Israeli na kwa  sababu nitawafanyia hili, sababu nitawafanyia hili jiandaeni kukutana na Mungu  jiandaeni kukutana na Mungu wenu, Ee Israeli.’’ 
  • 85. HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO Kitu kimojawapo  kinachosababisha  kutokutembea na Nguvu za  k k b N Mungu leo, ni kutokuheshimu  Mungu leo ni kutokuheshimu Huduma na Karama za Roho  Mtakatifu zilivyowekwa na  Mungu katika Kanisa. M k tik K i
  • 86. HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO Moja ya kanuni muhimu katika  Kanisa, inayoweza kusababisha  watu wa Mungu (Kanisa)  M (K i ) kutembea kwa ushindi duniani,  kutembea kwa ushindi duniani ni watu kuheshimu Huduma na  Karama za Roho Mtakatifu.
  • 88. HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO Huduma na Karama za Roho  Mtakatifu ni uwezo na vipawa  vya Mungu ndani ya watu  M d i wake, vinavyowawezesha  wake vinavyowawezesha kutenda kazi duniani kwa  kulitimiza kusudi la Mungu.
  • 89. HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO Kila Mtu katika jamii ya watu wa  Mungu ana Karama na Kipawa fulani kilichowekwa na Roho  f l i kili h k R h Mtakatifu wa Mungu,  Mtakatifu wa Mungu kinavyochomwezesha kutenda  kazi duniani ili kulitimiza   kusudi la Mungu. k di l M
  • 90. HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO Kipawa hicho, ndicho  kinachotenda kazi ili mtu aweze  kuishi na kuyatawala mazingira  k i hi k l i i yake, hata kumwezesha mtu  yake hata kumwezesha mtu huyo kulitimiza kusudi la  Mungu, yaani kuwa ‘chombo  kizuri cha ibada’. ki i h ib d ’
  • 91. Huduma na Karama Huduma na Karama za  Roho Mtakatifu h k if (1Wakorintho 12:4‐11) (1W k i th 12 4 11) (Warumi 12:3‐8) (Warumi 12:3 8)
  • 92. Huduma na Karama 1Wakorintho 12:12‐31 Huduma na Karama katika kanisa,  ni k i kama viungo k tik mwili wa i katika ili binadamu. Ili mwili binadamu. Ili mwili ufanye kazi sawa sawa, ni lazima kila kiungo kikae katika nafasi yake na kifanye kazi yake sawa sawa sawa.
  • 93. Huduma na Karama Lakini katika Kanisa la leo,  maswala ya Karama na huduma yamechanganwa sana na yamechakachuliwa sana y kiasi cha kuleta mvurugano na matatizo makubwa katika utendaji wa kazi ya Mungu Mungu.
  • 94. Huduma na Karama 1Wakorintho 12:12‐31 Na kuna waumini wengi sana katika kanisa, hawajui wito k tik k i h j i it wao, karama wao karama zao na huduma zao katika kanisa la Yesu, japo wana miaka mingi kanisani.
  • 95. Huduma na Karama 1Wakorintho 12:12‐31 Na kuna baadhi ya karama na huduma k tik K i h d katika Kanisa,  zimefutwa au kuzimwa kabisa, au kuzimwa kabisa,  eti kwa madai kwamba wakati wake ulikwisha kupita tangu enzi za mitume wa kwanza kwanza.
  • 96. Huduma na Karama 1Wakorintho 12:12‐31 Na baadhi ya karama na huduma katika Kanisa, zimefutwa au  k tik K i i f t kuzimwa kabisa, eti kwa madai kabisa, eti kwamba karama hizo zinaleta vurugu katika Kanisa. (1Wathesalonike 5:19‐23) (1W th l ik 5 19 23)
  • 97. Huduma na Karama 1Wathesalonike 5:19‐23 19 Msimzimishe Roho (msiuzime moto au karama za Roho au karama Mtakatifu), 20 msidharau maneno ya nabii. 21 Jaribuni mambo yote.  (halafu) Yashikeni b t (h l f ) Y hik i yaliyo mema. 22 Jiepusheni na mema. 22 lililo ovu (uovu wa kila namna). 
  • 98. HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO Huduma na Karama za Roho  Mtakatifu ni uwezo na vipawa  vya Mungu ndani ya watu  M d i wake, vinavyowawezesha  wake vinavyowawezesha kutenda kazi duniani kwa  kulitimiza kusudi la Mungu.
  • 99. Karama na huduma Mathayo 16:18‐19, Lakini katika Kanisa la leo, nguvu  za Kanisa zimepungua sana  za Kanisa zimepungua sana kwasababu kanisa limesimamia kwasababu kanisa limesimamia misingi (misimamo) tofauti na ile  aliyoiweka Bwana Yesu katika  Kanisa lake.  Kanisa lake
  • 100. Karama na huduma Mathayo 16:18‐19, Na ndio maana, kanisa la leo,  halijaweza kuishi na kutembea  halijaweza kuishi na kutembea katika mamlaka ya Mungu kama  katika mamlaka ya Mungu kama ilivyokusudiwa, kwamba Kanisa  limiliki na kuitawala dunia, ili  watu waishi maisha mazuri. watu waishi maisha mazuri
  • 101. KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA  KUSUDI LA KANISA Ni Kanisa liweze kulimiliki na Kutawala dunia na mazingira yake, ili yake ili binadamu aweze kuishi maisha mazuri na kuwa chombo kizuri cha kumsifu na kumwabudu Mungu aliye juu juu.
  • 102. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Nguvu za Mungu ni za lazima katika  gu u a u gu a a a a a kumwezesha mwanadamu  kuitawala dunia pamoja na Mungu,  k l d ili mwanadamu awe chombo kizuri  ili mwanadamu awe chombo kizuri cha ibada, kwasababu ana maisha  mazuri duniani … (Mwanzo 1:26‐28) (M 1 26 28)
  • 103. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Ili kumwezesha mwanadamu  u e es a a ada u kuitawala dunia pamoja na Mungu,  Mungu alimuumbia mfumo wa  l b f uungu katika utu wake wa ndani ili katika utu wake wa ndani, ili  atende kazi duniani kwa kutumia  Nguvu za Mungu. (Mwanzo 1:26‐28) (M 1 26 28)
  • 104. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Kumbe basi; (Zaburi 8:4‐8) ; ( ) Pasipo kuwa na Sura ya Mungu  na Mfano wa Mungu (yaani  UTUKUFU au Nguvu za Mungu) au Nguvu za Mungu),  mtu wa Mungu huwezi kumiliki  na kuitawala dunia yake. (mambo yake)  ( b k )
  • 105. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU • Biashara                        Zaburi 8:4‐8 • Shamba • Mifugo  Mifugo Haiwezekani H i k i • Masomo  kuitawala Dunia • Familia  pasipo nguvu • Kazi  K i (utukufu) ( k f ) wa • Afya Mungu • Mipango 
  • 106. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Mfumo wa uungu katika utu  Mfumo wa uungu katika utu wetu wa ndani, ni maalumu  kutuwezesha kutenda kazi  duniani, katika vipawa na karama  duniani katika vipawa na karama tofauti tofauti, vitakavyoleta  tofauti tofauti, vitakavyoleta mchango wa maisha mazuri, ili  tuishi maisha mazuri ya ibada.
  • 107. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Kwahiyo, vipawa na karama  Kwahiyo, vipawa na karama mbalimbali, vilivyo ndani yetu, ni  maalumu kabisa kuleta mchango  mzuri katika kuyatawala  mzuri katika kuyatawala mazingira yetu, ili tuishi maisha  mazingira yetu, ili tuishi maisha mazuri ya kumsifu na  kumwabudu Mungu.
  • 108. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU 2Petro 1:3‐4 2P t 1 3 4 3 Kwakuwa uweza wake (yaani,  (y , nguvu zake za) uungu umetupatia mambo yote mambo yote tunayohitaji kwa ajili ya maisha na utauwa wa Mungu, kwa kumjua Yeye aliyetuita kwa utukufu Wake na wema Wake mwenyewe. 
  • 109. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU 2Petro 1:3‐4 2P 134 4 Kwa 4 Kwa sababu hiyo, ametukirimia hiyo, ametukirimia ahadi Zake kuu na za thamani kupitia mambo haya, ili mambo haya ili kwa kupitia hayo mpate kuwa washiriki wa tabia za uungu, mkiokolewa uungu mkiokolewa na uharibifu (au (au  upotovu) ulioko duniani kwa sababu ya tamaa mbaya. b
  • 110. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Waefeso 4:11‐14 Nguvu za Mungu zilizopo ndani yako,  zinatosha kabisa kukuwezesha kuishi  na kuyatawala mazingira yako, kama  na kuyatawala mazingira yako kama Bwana Yesu alivyoishi na kuyatawala  mazingira yake, bila kushindwa au  kuzuiliwa na hali yoyote. kuzuiliwa na hali yoyote
  • 111. KABLA YA DHAMBI (ANGUKO)  KABLA YA DHAMBI (ANGUKO) (Utukufu)  (Utukufu) Msaada Mungu Mwili Roho Dunia Nafsi Shetani
  • 112. BAADA YA DHAMBI (ANGUKO)  BAADA YA DHAMBI (ANGUKO) (Utukufu)  (Utukufu) Uhusiano Mungu Mwili Roho Dunia Nafsi Shetani
  • 113. BAADA YA WOKOVU (KALVARI)  BAADA YA WOKOVU (KALVARI) (Utukufu)  (Utukufu) Uhusiano Mungu Mwili Roho Dunia Nafsi Shetani
  • 114. BAADA YA WOKOVU (KALVARI)  BAADA YA WOKOVU (KALVARI) (Utukufu) Roho Mt. (Utukufu) Roho Mt Mungu Mwili Roho Dunia Nafsi Shetani (Rum 8:9‐11) 
  • 115. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Kwahiyo … y Kila mtu amwaminiye Yesu Kristo,  na wokovu wake, anaunganishwa  tena na Mungu, katika utu wa  tena na Mungu katika utu wa ndani, ambao pale mwanzo  ulivunjika kwa ile dhambi ya Adam  na Eva kule katika bustani ya Eden. na Eva kule katika bustani ya Eden
  • 116. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Ili kumwezesha mwanadamu  u e es a a ada u kuitawala dunia pamoja na Mungu,  Mungu alimuumbia mfumo wa  l b f uungu katika utu wake wa ndani ili katika utu wake wa ndani, ili  atende kazi duniani kwa kutumia  Nguvu za Mungu. (Mwanzo 1:26‐28) (M 1 26 28)
  • 117. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Mfumo wa uungu katika utu  Mfumo wa uungu katika utu wetu wa ndani, ni maalumu  kutuwezesha kutenda kazi  duniani, katika vipawa na karama  duniani katika vipawa na karama tofauti tofauti, vitakavyoleta  tofauti tofauti, vitakavyoleta mchango wa maisha mazuri, ili  tuishi maisha mazuri ya ibada.
  • 118. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Kwahiyo, vipawa na karama  Kwahiyo, vipawa na karama mbalimbali, vilivyo ndani yetu, ni  maalumu kabisa kuleta mchango  mzuri katika kuyatawala  mzuri katika kuyatawala mazingira yetu, ili tuishi maisha  mazingira yetu, ili tuishi maisha mazuri ya kumsifu na  kumwabudu Mungu.
  • 119. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Pasipo, Nguvu za Mungu,  Pasipo Nguvu za Mungu (nguvu za kiroho)  (nguvu za kiroho) mwanadamu hataweza  kutawala mazingira yake kwa  ukamilifu; hataweza kuwa na  ukamilifu; hataweza kuwa na ushindi kamili maishani. ushindi kamili maishani. 
  • 120. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Nguvu za Mungu ni za lazima  Nguvu za Mungu ni za lazima sana katika maisha ya  y mwanadamu, duniani. (‘It’s a necessity’)
  • 121. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Kwahiyo, Nguvu za Mungu ni za  Kwahiyo, Nguvu za Mungu ni za lazima, ili kukiwezesha kile  kipawa na karama yake,  kichipuke na kufanya kazi  kichipuke na kufanya kazi duniani, katika kiwango duniani, katika kiwango kilichokusudiwa. 2Pet 1:3‐4
  • 122. KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU Hivyo, Mungu anapokupa Nguvu  Hivyo, Mungu anapokupa Nguvu zake, kwa ajili ya maisha yako  duniani, anatafuta kukulinda  wewe, ili pia kuilinda na ibada  wewe ili pia kuilinda na ibada yake inayotoka katika maisha inayotoka katika maisha  yako (inayotoka duniani). (Yohana 4:23)
  • 123. UHIRIKA NA ROHO MTAKATIFU  Siri ya Ushindi wetu Siri ya Ushindi wetu Upo katika Kumtambua Roho  Upo katika Kumtambua Roho Mtakatifu, katika Nafasi zake; (Yohana 14:16 17) (Yohana 14:16‐17)
  • 124. SIRI YA KANISA LA LEO Bwana Yesu alisema;  ‘Ulimwengu hauwezi kumpokea Ulimwengu kwasababu haumtambui, bali ninyi mnamtambua, kwahiyo i i t b k hi atakaa kwenu na kuwa ndani yenu’  (Yohana 14:17) 14:17). 
  • 125. UHIRIKA NA ROHO MTAKATIFU  S Siri ya Ushindi wetu Us d etu Upo katika Kumtambua Roho p Mtakatifu, katika Nafasi zake; 1. Yeye ni Mungu 2. Yeye ni N 2 Y i Nguvu ya M Mungu 3. 3 Yeye ni Mtu ‐ Nafsi hai
  • 126. UHIRIKA NA ROHO MTAKATIFU  Kumtambua Roho Mtakatifu, Roho Mtakatifu, Kama Mtu Kumshirikisha yote Kama Mtu – Kumshirikisha yote Nguvu ya Mungu – Kumtegemea Kama Mungu – Kumtii 100%
  • 127. ROHO MTAKATIFU NI MUNGU  Ndio maana, Bwana Yesu  Ndio maana, Bwana Yesu alichukua muda mrefu sana,  kumtambulisha Roho mtakatifu  kwa kanisa, ili kanisa lisije  kwa kanisa ili kanisa lisije kufanya kosa hilo, la kumtompa  kufanya kosa hilo, la kumtompa Roho heshima yake. 
  • 128. ROHO MTAKATIFU NI MUNGU  Pamoja na upole wake, Bwana Yesu j p , pia alijua jinsi Roho Mtakatifu alivyo ‘very strict’ (ji i alivyo na msimamo ‘ i ’ (jinsi li i mkali sana), yaani yuko ‘very strict’ sana), yaani very strict kuliko Mungu Baba na ni ‘strict’  kuliko Mungu Mwana Bwana Yesu mwenyewe.  mwenyewe
  • 129. ROHO MTAKATIFU NI MUNGU  Pamoja na upole wake, Roho wake, Roho Mtakatifu yuko ‘very strict’ kuliko Baba na Mwana. Soma mwenyewe uone,  Mathayo 12:22‐32 
  • 130. SIRI YA KANISA LA LEO Siri ya Kanisa la leo, ipo katika; y , p ; 1. Kumtambua Roho Mtakatifu 2. Kumthamini Roho Mtakatifu 3. Kumshirikisha 3 Kumshirikisha Roho Mtakatifu 4. Kumsikiliza Roho Mtakatifu 5. Kumtii Roho Mtakatifu
  • 131. ROHO MTAKATIFU  ROHO MTAKATIFU ROHO MTAKATIFU  ROHO MTAKATIFU YUKO WAPI? YUKO WAPI? Yohana 16:7 Y h 16 7
  • 132. ROHO MTAKATIFU YUKOJE NASI.  Yohana 14:12‐17 14:12 17 1. Yupo Pamoja Nawe p j (He is with you)
  • 133. ROHO MTAKATIFU YUKOJE NASI.  Yoel 2:28 ‘Katika siku za mwisho,  asema Bwana, nitamwaga Roho wangu juu ya wote wenye mwili’. i.e. Kila mwenye mwili, Roho Mtakatifu yupo pamoja naye
  • 134. ROHO MTAKATIFU YUKOJE NASI.  Yohana 14:12‐17 14:12 17 1. Yupo Pamoja Nawe p j (He is with you) Kazi yake: Kukushuhudia (Yoh 16:8)
  • 135. ROHO MTAKATIFU YUKOJE NASI.  Yohana 14:12‐17 14:12 17 2. Yupo Ndani yako p y (He is in you) Kazi yake: Kutuzaa mara ya pili katika Uzima wa milele.
  • 136. ROHO MTAKATIFU YUKOJE NASI.  Matendo 1:8 3. Huwa anakuja juu yako j j y (He is upon you) Kazi yake: Kutupa uwezo (upako) wa Kuifanya kazi ya Mungu.
  • 137. ROHO MTAKATIFU YUKOJE NASI.  Kutoka 31:1‐5 Bwana akamwambia Musa, kwa ajili ya ufundi wa vyombo vote vya jili f di b t hekalu, nimempaka mafuta p f (uwezo) Bezaleli mwana wa Huri,  kwa ajili ya kazi zote za kuchora kuchora,  kuchonga, kukata na ufundi wote wa f dh na dh h b fedha dhahabu.
  • 138. ROHO MTAKATIFU YUKOJE NASI.  1Petro 4:11 1Petro 4:11 “ …Ye yote ahudumuye maneno hana budi kuhudumu kwa nguvu zile apewazo na Mungu Mungu,  ili Mungu apate kutukuzwa katika mambo yote kwa njia ya Yesu Kristo ” Kristo…
  • 139. ROHO MTAKATIFU YUKOJE NASI.  Matendo 10:38 “ … Jinsi Mungu alivyompaka Yesu Kristo K i t mafuta, kwa R h f t k Roho Mtakatifu na Nguvu; naye f g y akawa akizunguka katika miji na vijiji akiwaponya watu na vijiji, akiwaponya kuwafungua wote walioonewa na ibili i ” ibilisi…”
  • 140. ROHO MTAKATIFU  NGUVU YA MUNGU  NGUVU YA MUNGU Kumbe basi; ; Pasipo nguvu za Mungu,  (UTUKUFU) mtu wa Mungu  huwezi kufanikiwa katika  h i k f iki k tik maisha yako hapa duniani.  maisha yako hapa duniani.
  • 141. ROHO MTAKATIFU Kazi za  Kazi za Roho Mtakatifu Roho Mtakatifu Yohana 14:26 Yohana 14:26 Yohana 16:13 Yohana 16:13
  • 142. KAZI ZA ROHO MTAKATIFU 1. Kutushuhudia kuhusu Kutushuhudia kuhusu Dhambi, Haki na Hukumu Dhambi Haki na Hukumu (Conviction)
  • 143. KAZI ZA ROHO MTAKATIFU KAZI ZA ROHO MTAKATIFU 1. Kutushuhudia na Kutushawishi   1 Kutushuhudia na Kutushawishi Yohana 16:7‐8, Warumi 8:16, Yohana 16:7‐8 Warumi 8:16 Mfano; Matendo 2:37‐41 ‘wakachomwa mioyo yao’
  • 144. KAZI ZA ROHO MTAKATIFU 2. Kutuzaa mara ya Pili na Kutuzaa mara ya Pili na Kuumba Wokovu Ndani yetu Kuumba Wokovu Ndani yetu (Salvation)
  • 145. KAZI ZA ROHO MTAKATIFU KAZI ZA ROHO MTAKATIFU 2. Kutuzaa 2 Kutuzaa ktk Maisha Mapya (Wokovu/Kuokoka)  Yohana 1:12‐13, Yohana 3:3‐6,  1Wakorintho 12:3 k i h Mfano; Matendo 2:37‐41 ‘wakachomwa mioyo yao’
  • 146. KAZI ZA ROHO MTAKATIFU 3. Kutujaza Nguvu za Mungu  Kutujaza Nguvu za Mungu Ndani yetu na Juu yetu y y ( (Power) )
  • 147. KAZI ZA ROHO MTAKATIFU KAZI ZA ROHO MTAKATIFU 3. Kutujaza 3 Kutujaza Nguvu za Mungu Luka 24:49, Matendo 1:8  Mfano; Luka 4:1,14, 18‐19 Luka 4:1 14 18‐19 ‘Akatembea kwa Nguvu za Roho na g kuwa mtu maarufu ktk Uyahudi’
  • 148. KAZI ZA ROHO MTAKATIFU 4. Kutuongoza katika Maisha  Kutuongoza katika Maisha y ya Kila siku ( (Guide) )
  • 149. KAZI ZA ROHO MTAKATIFU KAZI ZA ROHO MTAKATIFU 4. Kutuongoza 4 Kutuongoza na Kutupasha habari Yohana 16:13, Warumi 8:14  Mfano; Matendo 16:6; ‘Wakakatazwa na Roho kwenda kuhubiri Asia, nao wakatii!’
  • 150. KAZI ZA ROHO MTAKATIFU 5. Kutufundisha Neno la  Kutufundisha Neno la Mungu kwa Ufunuo g ( (Revelation) )
  • 151. KAZI ZA ROHO MTAKATIFU KAZI ZA ROHO MTAKATIFU 5. Kutufundisha 5. Kutufundisha na Kutufunulia Siri za Neno la Mungu Yohana 14:26 1Wakor 2:9 12 14:26, 1Wakor 2:9‐12  Mfano; Luka 24:44 49; Luka 24:44‐49; ‘Akawafunulia akili zao, wapate kuelewa maandiko!’
  • 152. KAZI ZA ROHO MTAKATIFU 6. Kutusaidia katika Kuomba na  Kutusaidia katika Kuomba na Kutuombea ( (Intercession) )
  • 153. KAZI ZA ROHO MTAKATIFU KAZI ZA ROHO MTAKATIFU 6. Kutuwezesha 6. Kutuwezesha Kuomba sawa na Mapenzi ya Mungu Warumi 8:26 27 1Wakor 2:9 11 8:26‐27, 1Wakor 2:9‐11  Mfano; Matendo 12:1‐5‐17; 12:1 5 17;  Kanisa linatiwa nguvu na Roho, ili kuomba kwa ajili ya Petro gerezani ya Petro gerezani.
  • 154. KAZI ZA ROHO MTAKATIFU 7. Kutusaidia katika  Kutusaidia katika Kuamwabudu Mungu katika  g Roho na Kweli (Spiritual Worship)
  • 155. KAZI ZA ROHO MTAKATIFU 7. Kutuwezesha Kumwabudu Mungu katika Roho na Kweli Yohana 4:23‐24,  Mfano; Matendo 2:1‐13‐18;  Walipojazwa Roho Mtakatifu Mtakatifu,  waliweza kumwadhimisha Mungu kwa matendo yake makuu makuu.
  • 156. KAZI ZA ROHO MTAKATIFU 8. Kuusulubisha Mwili na  Kuusulubisha Mwili na Tamaa zake ( (Crucify the Flesh) y )
  • 157. KAZI ZA ROHO MTAKATIFU 8. Kutuwezesha Kuusulubisha mwili pa oja a ta aa a e pamoja na tamaa zake.  1Wathes 4:1‐4‐7, Wagalt 5:16‐24  Mfano; Warumi 7:15‐25, Warumi 8:5‐12  Paulo: Mambo mabaya nisiyotaka,  nilijikuta ninayafanya, Yesu kwa j y f y , Roho wake, akampa kuyashinda.
  • 158. KAZI ZA ROHO MTAKATIFU 9. Kuvunja Pingu na Vifungo Kuvunja Pingu na Vifungo (Deliverance)
  • 159. KAZI ZA ROHO MTAKATIFU 9. Kuvunja Vifungo na Vizuizi maishani mwetu mwetu.  2Wakor 3:17, Luk 4:18‐19 Isaya 10:27, Mathayo 12:28 Mfano; f Luka 11:20 Luka 11:20 1Samweli 16:17‐23 Matendo 9:17‐19,.
  • 160. KAZI ZA ROHO MTAKATIFU 10. 10 Kutuwezesha Kukua Kiroho Kutuwezesha Kukua Kiroho (Spiritual Growth) (Spiritual Growth)
  • 161. KAZI ZA ROHO MTAKATIFU 10. Kutuwezesha Kukua Kiroho.  2Wakor 3:6, 17‐18, 2Petro 3:18  2W k 3 6 17 18 2P t 3 18 Waefes 4:11‐15 Mfano; 1Wakorintho 3:6‐9 Mimi nilipanda, Apolo akatia maji, bali akuzae ni Mungu ji b li k iM
  • 162. KAZI ZA ROHO MTAKATIFU 11. 11 Kuchipusha Karama na  Kuchipusha Karama na Vipawa vya Kiroho p y ( p (Spiritual Gifts) )
  • 163. KAZI ZA ROHO MTAKATIFU 11. Kutupa Karama na Vipawa vya Kiroho.  1Wakor 12:4‐11, Warumi 12:6‐13  1Wakorintho 14:1‐5 1Wakorintho 14:1 5 Mfano; Kutoka 31:1‐11 Nimempa Bezaleli Upako (Roho) wa (Roho) wa kuchonga na kuchora kwa ustadi vitu vya nyumba ya Mungu ya Mungu
  • 164. KAZI ZA ROHO MTAKATIFU 12. 12 Kutunyakua kwenda  Kutunyakua kwenda Mbinguni g (Kutubadilisha Asili) (Change of Nature)
  • 165. KAZI ZA ROHO MTAKATIFU 12. Kubadilisha asili yetu na kutunyakua kwenda Mbinguni Mbinguni. Luka 1:30‐38, Mdo 1:1‐2,9 Mfano; Matendo 8:38‐40 d Walipomaliza ubatizo Roho wa ubatizo, Roho Mungu akamyakua Filipo kutoka Samaria mpaka A S i k Azoto bila usafiri. bil fi i
  • 167. ROHO MTAKATIFU NI MUNGU SIRI YA KANISA LA LEO; ; Ipo katika … Kumtambua na kumpokea Roho Mtakatifu katika maisha yetu, sisi yetu, sisi kama kanisa la Kristo, na kumfanya Roho Mtakatifu kama mwenzetu au R h Mt k tif k t mwenza wetu (partner) (p )
  • 168. ROHO MTAKATIFU NI MUNGU Kwasababu …
  • 169. ROHO MTAKATIFU  Roho Mtakatifu ni; ; 1. Ni Mungu Mwenyezi 2. Ni Nguvu ya Mungu 3. Roho Mtakatifu ni Mtu (Nafsi iliyo hai)
  • 170. HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO Huduma na Karama  Huduma na Karama za  za Roho Mtakatifu Roho Mtakatifu Katika Kanisa. Katika Kanisa
  • 171. HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO Moja ya kanuni muhimu katika  kanisa, inayoweza kusababisha  Kanisa kulitimiza kusudi la  K i k li i i k di l Mungu duniani, na kutembea  Mungu duniani na kutembea na Nguvu za Mungu, ni watu  kuuheshimu Huduma na  Karama za Roho Mtakatifu. K R h Mt k tif
  • 172. HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO Huduma na Karama za Roho  Mtakatifu ni uwezo na vipawa  vya Mungu ndani ya watu  M d i wake, vinavyowawezesha  wake vinavyowawezesha kutenda kazi duniani kwa  kulitimiza kusudi la Mungu.
  • 173. HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO 1Wakorintho 4:1‐2 1 Basi, watu na watuhesabu sisi  ni watumishi wa Kristo na  mawakili wa siri za Mungu.  mawakili wa siri za Mungu 2 Zaidi ya hayo, litakiwalo ni Zaidi ya hayo, litakiwalo ni  watumishi na mawakili waonekane kuwa waaminifu. 
  • 174. Huduma na Karama Huduma na Karama za  Roho Mtakatifu h k if (1Wakorintho 12:4‐11) (1W k i th 12 4 11)
  • 175. Huduma na Karama 1Wakorintho 12:4‐11 4 Basi kuna aina mbali mbali za karama, lakini R h ni yule k l ki i Roho i l yule. 5 yule 5 Pia kuna huduma za aina mbali mbali, lakini Bwana  ni yule yule. 
  • 176. Huduma na Karama 1Wakorintho 12:4‐11 6 Kisha kuna tofauti za kutenda kazi, lakini i Mungu yule yule k i l ki i ni M l l atendaye kazi zote kwa watu wote. 
  • 177. Huduma na Karama 1Wakorintho 12:4‐11 7 Basi kila mmoja hupewa ufunuo wa Roho kwa faida ya wote wote.  8 Maana mtu mmoja kwa Roho j hupewa neno la hekima na mwingine neno la maarifa kwa Roho huyo huyo huyo. 
  • 178. Huduma na Karama 1Wakorintho 12:4‐11 9 Mtu mwingine imani kwa huyo Roho na mwingine karama za kuponya. 10 Kwa mwingine p y g matendo ya miujiza, kwa mwingine unabii kwa mwingine kupambanua roho;
  • 179. Misingi ya Kanisa 1Wakorintho 12:4‐11 10 … kwa mwingine aina mbali mbali za lugha kwa mwingine lugha, kwa tafsiri za lugha. 11 Haya yote g y y hufanywa na huyo huyo Roho mmoja, Roho naye h j R h humgawia kil i kila mtu, kama mtu kama apendavyo mwenyewe.
  • 180. HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO Huduma na Karama za Roho  Mtakatifu ni uwezo na vipawa  vya Mungu ndani ya watu  M d i wake, vinavyowawezesha  wake vinavyowawezesha kutenda kazi duniani kwa  kulitimiza kusudi la Mungu.
  • 181. Huduma na Karama 1Wakorintho 12:12‐31 Huduma na Karama katika kanisa,  ni k i kama viungo k tik mwili wa i katika ili binadamu. Ili mwili binadamu. Ili mwili ufanye kazi sawa sawa, ni lazima kila kiungo kikae katika nafasi yake na kifanye kazi yake sawa sawa sawa.
  • 182. Huduma na Karama Lakini katika Kanisa la leo,  maswala ya Karama na huduma yamechanganwa sana na yamechakachuliwa sana y kiasi cha kuleta mvurugano na matatizo makubwa katika utendaji wa kazi ya Mungu Mungu.
  • 183. Huduma na Karama 1Wakorintho 12:12‐31 Na kuna waumini wengi sana katika kanisa, hawajui wito k tik k i h j i it wao, karama wao karama zao na huduma zao katika kanisa la Yesu, japo wana miaka mingi kanisani.
  • 184. Huduma na Karama 1Wakorintho 12:12‐31 Na kuna baadhi ya karama na huduma k tik K i h d katika Kanisa,  zimefutwa au kuzimwa kabisa, au kuzimwa kabisa,  eti kwa madai kwamba wakati wake ulikwisha kupita tangu enzi za mitume wa kwanza kwanza.
  • 185. Huduma na Karama 1Wakorintho 12:12‐31 Na baadhi ya karama na huduma katika Kanisa, zimefutwa au  k tik K i i f t kuzimwa kabisa, eti kwa madai kabisa, eti kwamba karama hizo zinaleta vurugu katika Kanisa. (1Wathesalonike 5:19‐23) (1W th l ik 5 19 23)
  • 186. Huduma na Karama 1Wathesalonike 5:19‐23 19 Msimzimishe Roho (msiuzime moto au karama za Roho au karama Mtakatifu), 20 msidharau maneno ya nabii. 21 Jaribuni mambo yote.  (halafu) Yashikeni b t (h l f ) Y hik i yaliyo mema. 22 Jiepusheni na mema. 22 lililo ovu (uovu wa kila namna). 
  • 187. HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO Huduma na Karama za Roho  Mtakatifu ni uwezo na vipawa  vya Mungu ndani ya watu  M d i wake, vinavyowawezesha  wake vinavyowawezesha kutenda kazi duniani kwa  kulitimiza kusudi la Mungu.
  • 188. Karama na huduma Mathayo 16:18‐19, Lakini katika Kanisa la leo, nguvu  za Kanisa zimepungua sana  za Kanisa zimepungua sana kwasababu kanisa limesimamia kwasababu kanisa limesimamia misingi (misimamo) tofauti na ile  aliyoiweka Bwana Yesu katika  Kanisa lake.  Kanisa lake
  • 189. Karama na huduma Mathayo 16:18‐19, Na ndio maana, kanisa la leo,  halijaweza kuishi na kutembea  halijaweza kuishi na kutembea katika mamlaka ya Mungu kama  katika mamlaka ya Mungu kama ilivyokusudiwa, kwamba Kanisa  limiliki na kuitawala dunia, ili  watu waishi maisha mazuri. watu waishi maisha mazuri
  • 190. Karama na huduma Kanisa la leo limetegemea zaidi  vyeti vya elimu za kibinadamu  katika kuifanya kazi ya Mungu  katika kuifanya kazi ya Mungu kuliko karama na uwezesho wa  Roho Mtakatifu. (Matendo 4:13)
  • 191. Karama na huduma Matendo 4:13‐14 13 Wale viongozi na wazee walipoona ujasiri wa P t li j ii Petro na Yohana na kujua ya kuwa walikuwa watu wa kawaida,  wasio na elimu, walishangaa sana, kumwona yule … k l
  • 192. Karama na huduma Matendo 4:13‐14 14 … aliyekuwa kiwete,  ameponywa k bi na kabisa amesimama pale pale pamoja pale pale nao (kama uthibitisho); hivyo hawakuweza kusema lo lote kuwapinga. k i
  • 193. Karama na huduma Matendo 4:13‐14 13 Wale viongozi na wazee walipoona h li haya, walitambua lit b kwamba, Petro na Yohana, japo kwamba Petro na Yohana japo hawana elimu (ya dunia hii),  lakini walikuwa pamoja na Yesu. (imefafanuliwa)
  • 194. Karama na huduma Matendo 4:13‐14 Si kwamba, natetea ujinga (au  watu k t k t kutokwenda shule),  d h l ) Hapana, ila Hapana ila tu ninaonya kwamba, elimu zetu, zisiwe juu ya elimu au maarifa ya Mungu, (karama za R h Mt k tif ) (k Roho Mtakatifu).
  • 195. Karama na huduma Nguvu za Mungu zimepungua  sana leo, kwasababu Kanisa la  leo limetegemea zaidi vyeti vya  leo limetegemea zaidi vyeti vya elimu za kibinadamu zaidi,  , katika kuifanya kazi ya Mungu  kuliko karama na uwezesho wa  Roho Mtakatifu. Roho Mtakatifu
  • 196. Karama na huduma Mathayo 16:18‐19, kwahiyo, Kanisa la leo, limekuwa  dhaifu sana kwasababu, kanisa  dhaifu sana kwasababu kanisa limechakachua misingi sahihi limechakachua misingi sahihi kama hii kutoka katika utaratibu  na mpango wa Mungu juu ua  Kanisa lake; Kanisa lake;
  • 197. Karama na huduma Lakini kanisa la Kwanza,  waliheshimu sana huduma na vipawa vya mtu; Na ndio maana mtu; Na ndio kanisa la kwanza, lilitembea , katika nguvu kubwa sana za Mungu, enzi za huduma yao. (Matendo 8:5‐17) (M t d 8 5 17)
  • 198. Karama na huduma Matendo 8:5‐17 5 Filipo akateremkia mji mmoja wa SSamaria akawahubiria h b i i k h bi i habari za Kristo 6 Watu walipomsikia Kristo. 6 Filipo na kuona ishara na miujiza aliyofanya, wakasikiliza kwa bidii yale aliyosema.  l li
  • 199. Karama na huduma Matendo 8:5‐17 7 Pepo wachafu wakawa wakiwatoka watu wengi, huku ki t k t i h k wakipiga kelele na wengi waliopooza na viwete,  wakaponywa. 8 Hivyo pakawa na furaha kuu katika ji huo.  f h k k tik mji h
  • 200. Karama na huduma Matendo 8:5‐17 14 Basi mitume waliokuwa Yerusalemu waliposikia k Y l li iki kuwa Samaria walipokea Samaria walipokea neno la la  Mungu, wakawatuma Petro na Yohana waende huko. 
  • 201. Karama na huduma Matendo 8:5‐17 15 Nao walipofika wakawaombea ili wampokee R h Mt k tif k Roho Mtakatifu,  16 kwa sababu Roho Mtakatifu alikuwa bado hajawashukia hata j mmoja ila wamebatizwa tu katika jina la Bwana Yesu.  ji l B Y
  • 202. Karama na huduma Matendo 8:5‐17 17 Ndipo Petro na Yohana wakaweka mikono yao j ya k k ik juu wale waliobatizwa, nao wale waliobatizwa nao wakapokea Roho Mtakatifu. 
  • 203. Karama na huduma Matendo 8:5‐17 Japo Filipo anakarama za miujiza na uponyaji, lakini aliheshi zaidi ji l ki i lih hi idi huduma na karama ya PetroPetro  katika kuwaombea watu Ujazo wa Roho Mtakatifu.
  • 204. Karama na huduma Matendo 8:5‐17 Filipo aliwakaribisha akina Petro  kwa k moyo mweupe ili k j kuja kuifanya huduma ya Bwana bila Bwana, bila wivu wala kinyongo. (Hii ni tofauti sana na utendaji wa kanisa la leo). k i l l )
  • 205. Karama na huduma Matendo 8:5‐17 Kanisa la leo lina mgongano na vurugu na vinyongo na magomvi i i mengi na viburi vingi sana katika utendaji wa karama zake, kiasi cha kuondoa kabisa utukufu wa Mungu k i M kanisa.
  • 206. Karama na huduma Matendo 8:5‐17 Karama na huduma hizi zimaleta balaa badala baraka katika b l b d l ya b k k tik jamii za watu wa Mungu; Mungu;  kwasababu zinafanywa kwa nia tofauti na kulijenga kanisa na ufalme wa M f l Mungu d i i duniani.
  • 207. Karama na huduma Matendo 8:5‐17 Karama na huduma hizi zimekuwa zikifanyika k nia ya i k ikif ik kwa i mashindano, kujinufaisha, na mashindano kujinufaisha na kujitafutia utukufu binafsi na sio utukufu wa Mungu.
  • 208. Karama na huduma Matendo 8:5‐17 Ndio maana Kanisa la leo lina upungufu au ukavu wa nguvu za f k Mungu kwasababu ya migongano ya karama na huduma za Roho Mtakatifu katika kanisa. k tik k i
  • 209. Karama na huduma Lakini kanisa la Kwanza,  waliheshimu sana huduma na vipawa vya mtu; Na ndio maana mtu; Na ndio kanisa la kwanza, lilitembea , katika nguvu kubwa sana za Mungu. (Matendo 8:5‐17) (M t d 8 5 17)
  • 210. Karama na huduma Matendo 8:5‐17 Kanisa la kwanza lilishirikiana vipawa na h d i huduma k moyo kwa mweupe bila vinyongo choyo vinyongo, choyo,  chuki, kiburi, mashindano,  dharau, na wivu wa aina yoyote.
  • 211. NGUVU YA KANISA Ndio maana kanisa la kwanza  waliweza kutembea na Nguvu  nyingi sana za Mungu, na kuwa  nyingi sana za Mungu na kuwa na heshima katika jamii zao,  j , kwasababu walizingatia misingi  ya kanisa la Mungu;  Mf; kuheshimu huduma+karama Mf k h hi h d k
  • 212. UMOJA WA KANISA LA MUNGU Moja ya kanuni muhimu katika  kanisa, inayoweza kusababisha  (kuzalisha) Nguvu za Mungu (k li h ) N M ziletazo baraka za Mungu ziletazo baraka za Mungu katika maisha yetu, ni  kuuheshimu Huduma na  Karama za Roho Mtakatifu. K R h Mt k tif
  • 213. Karama na huduma Mathayo 16:18‐19, kwahiyo, Nguvu ya Kanisa la leo  imepungua sana kwasababu,  imepungua sana kwasababu kanisa limechakachua misingi kanisa limechakachua misingi kama hii kutoka katika vile  viwango alivyoweka Roho  Mtakatifu katika Kanisa lake; katika Kanisa lake;
  • 214. VIWANGO VYA MUNGU  Ili Mungu alitimize kusudi lake  g duniani kupitia kanisa lake, ni lazima basi kanisa lake basi, kanisa lake  litengeneze viwango na mazingira fulani vya lazima (necessary conditions and  standards) vinavyotakiwa, ili lifanye kazi na Mungu duniani.
  • 215. VIWANGO VYA MUNGU  Kukosekana au kupungua kwa au kupungua kwa  viwango hivi muhimu katika  misingi/nguzo za kanisa, ndiko  kumesababisha kupungua kwa  kumesababisha kupungua kwa utendaji wa mkono wa Mungu utendaji wa mkono wa Mungu katika kanisa la leo.
  • 216. Misingi ya Kanisa Kama Kanisa la leo litarudi katika  kuumiliki ulimwengu, basi lazima  Kanisa lihakikishe watu wake  K i lih kiki h k tunazijua karama zao na  tunazijua karama zao na wanatembea katika huduma zao  kwa nia ya kumtukuza Mungu tu  na kumshinda shetani. k hi d h t i
  • 217. HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO Huduma na Karama  Huduma na Karama Za Roho Mtakatifu Za Roho Mtakatifu Katika Kanisa. Katika Kanisa (1Wakorintho 12:4‐11) (1Wakorintho 12:4 11)
  • 218. Huduma na Karama 1Wakorintho 12:4‐11 4 Basi kuna aina mbali mbali za k karama, lakini R h l ki i Roho ni yule yule yule.
  • 219. Huduma na Karama 1Wakorintho 12:4‐11 5 Pia kuna huduma za aina mbali mbali lakini Bwana ni mbali, lakini Bwana ni y yule yule.  y
  • 220. Huduma na Karama 1Wakorintho 12:4‐11 6 Kisha kuna tofauti za kutenda kazi lakini ni Mungu kazi, lakini y yule yule atendaye kazi zote y y kwa watu wote. 
  • 221. Huduma na Karama 1Wakorintho 12:4‐11 7 B i kil mmoja h Basi kila j hupewa ufunuo wa Roho kwa faida ya watu wote. 
  • 222. Misingi ya Kanisa 1Wakorintho 12:4‐11 11 Haya yote h f 11 H t hufanywa na hhuyo huyo Roho mmoja, Roho naye mmoja, Roho humgawia kila mtu, kama apendavyo mwenyewe.
  • 223. HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO Huduma na Karama za Roho  Mtakatifu ni uwezo na vipawa  vya Mungu ndani ya watu  M d i wake, vinavyowawezesha  wake vinavyowawezesha kutenda kazi duniani kwa  kulitimiza kusudi la Mungu.
  • 224. Huduma na Karama 1Wakorintho 12:12‐31 Huduma na Karama katika kanisa,  ni k i kama viungo k tik mwili wa i katika ili binadamu. Ili mwili binadamu. Ili mwili ufanye kazi sawa sawa, ni lazima kila kiungo kikae katika nafasi yake na kifanye kazi yake sawa sawa sawa.
  • 225. HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO 1Wakorintho 12:4‐6 Aina za Wito Ai Wit (Type of Ministry)
  • 226. HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO Makundi Makuu (3) ya Wito/Utumishi A. Huduma Kuu Tano (5) B. Karama Kuu Tisa (9) C. Masaidiano/Utenda‐kazi / 1Wakorintho 12:4‐6 1W k i th 12 4 6
  • 227. HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO Makundi Makuu (3) ya Wito/Utumishi A. Huduma 5   ‐ Yesu B. Karama 9  ‐ Roho C. Utenda‐kazi ‐ Baba 1Wakorintho 12:4‐6 1W k i th 12 4 6
  • 228. HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO HUDUMA KUU TANO (5) ZA KANISA 1Wakorintho 12:28 1Wakorintho 12:28 Waefeso 4:11 Waefeso 4:11
  • 229. HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO HUDUMA KUU TANO (5) Mitume Manabii Wainjilisti Waalimu W li Wachungaji
  • 231. HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO Waefeso 4:11 Nae (Bwana Yesu) alitoa wengine kuwa Mitume, na wengine kuwa Manabii na Manabii, wengine Wachungaji, na g g j, wengine Wainjilisti na wengine kuwa Waalimu.
  • 233. Huduma na Karama 1Wakorintho 12:4‐11 4 Basi kuna aina mbali mbali za k karama, lakini R h l ki i Roho ni yule yule yule.
  • 234. Huduma na Karama 1Wakorintho 12:4‐11 5 Pia kuna huduma za aina mbali mbali lakini Bwana ni mbali, lakini Bwana ni y yule yule.  y
  • 235. Huduma na Karama 1Wakorintho 12:4‐11 6 Kisha kuna tofauti za kutenda kazi lakini ni Mungu kazi, lakini y yule yule atendaye kazi zote y y kwa watu wote. 
  • 236. Huduma na Karama 1Wakorintho 12:4‐11 7 B i kil mmoja h Basi kila j hupewa ufunuo wa Roho kwa faida ya watu wote. 
  • 237. Misingi ya Kanisa 1Wakorintho 12:4‐11 11 Haya yote h f 11 H t hufanywa na hhuyo huyo Roho mmoja, Roho naye mmoja, Roho humgawia kila mtu, kama apendavyo mwenyewe.
  • 238. HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO 1Wakorintho 12:28 28 Mungu ameweka katika Kanisa,  kwanza Mitume pili Manabii tatu Mitume, Manabii, tatu Walimu, kisha Watenda miujiza, pia , j ,p karama za kuponya (Wainjilisti),  Karama za masaidiano, karama za K idi k maongozi, aina mbalimbali za lugha ao go , a a ba ba a ug a (yaani Wachungaji).
  • 239. HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO HUDUMA KUU TANO (5) Waefeso 4:11        Wakorintho 12:28 1. Mitume 1 Mitume 1. Mitume 1 Mitume 2. Manabii 2. Manabii 3. Wachungaji 3. Waalimu  4. Wainjilisti 4. Wainjilisti 5. Waalimu 5 Waalimu 5. Wachungaji  5 Wachungaji
  • 240. HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO HUDUMA KUU TANO (5) Mitume Manabii Wainjilisti Waalimu W li Wachungaji
  • 241. HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO HUDUMA KUU TANO (5) Cha msingi kujua ni kwamba,  Huduma Kuu 5 za Kanisa, si vyeo ndani ya Kanisa bali HUDUMA Kanisa, bali maalum za Utendaji Mkuu katika j Kanisa la Bwana Yesu.
  • 242. HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO HUDUMA KUU TANO (5) UTOFAUTI WAO KATIKA  UTOFAUTI WAO KATIKA UTENDAJI WA HUDUMA UTENDAJI WA HUDUMA ~  Kazi Zao ~
  • 243. HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO 1. Mitume Kuweka Misingi ya Imani 1Wakorintho 12:28 1W k i h 12 28 Waefeso 4:11 Waefeso 4:11
  • 244. HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO 2.  Manabii Kupeleka Ujumbe kwa Kanisa 1Wakorintho 12:28 1W k i h 12 28 Waefeso 4:11 Waefeso 4:11
  • 245. HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO 3.  Waalimu Kufundisha Neno kwa Kanisa 1Wakorintho 12:28 1W k i h 12 28 Waefeso 4:11 Waefeso 4:11
  • 246. HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO 4.  Wainjilisti Kuleta Waumini Wapya (Kondoo)  Kanisani (Kundini) 1Wakorintho 12:28 Waefeso 4:11 Waefeso 4:11
  • 247. HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO 5.  Wachungaji Kulisha na Kulinda Waumini (Kondoo) 1Wakorintho 12:28 Waefeso 4:11 Waefeso 4:11
  • 248. HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO HUDUMA KUU TANO (5) UTOFAUTI WAO KATIKA  UTOFAUTI WAO KATIKA VIPAUMBELE VYA HUDUMA VIPAUMBELE VYA HUDUMA ~  Mzigo wa Ndani ~ g
  • 249. HUDUMA KUU TANO (5) HUDUMA                    MZIGO HUDUMA MZIGO 1. Mitume 1. Mitume Kazi ianze/isimame 2. Manabii Mungu anasemaje 3. Wainjilisti Watu wanaookoka 4. Waalimu 4 W li Watu wanaelewa W t l 5. Wachungaji   Kondoo 5. Wachungaji Kondoo wanakua Idadi (Quantity)  Kiwango (Quality)
  • 250. HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO Huduma Kuu Tano (5) Mtu aliyeitwa na Mungu katika Huduma Kuu za Kanisa, anaweza kupewa Huduma zaidi ya mojamoja,  katika kulitimiza Kusudi la Mungu la Mungu kwa watu wake.
  • 251. HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO Huduma Kuu Tano (5) Kwa Mfano; Musa alikuwa Nabii na pia alikuwa M h lik Mchungaji. ji Kutoka 32:7 14 32:7‐14
  • 252. HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO Huduma Kuu Tano (5) Kwa Mfano; Paulo alikuwa Mwinjilisti, Mtume, na M li Mt Mwalimu. 1Timotheo 2:7 1Timotheo 2:7
  • 253. HUDUMA KUU TANO (5) Kwa Mfano wa Bwana Yesu Mtume Nabii Mwinjilisti Mwalimu M li Mchungaji
  • 254. HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO KARAMA KUU TISA (9) ZA KANISA 1Wakorintho 12:4‐11 1Wakorintho 12:4 11
  • 255. Huduma na Karama 1Wakorintho 12:4‐11 4 Basi kuna aina mbali mbali za k karama, lakini R h l ki i Roho ni yule yule yule.
  • 256. Huduma na Karama 1Wakorintho 12:4‐11 5 Pia kuna huduma za aina mbali mbali lakini Bwana ni mbali, lakini Bwana ni y yule yule.  y
  • 257. Huduma na Karama 1Wakorintho 12:4‐11 6 Kisha kuna tofauti za kutenda kazi lakini ni Mungu kazi, lakini y yule yule atendaye kazi zote y y kwa watu wote. 
  • 258. Huduma na Karama 1Wakorintho 12:4‐11 7 B i kil mmoja h Basi kila j hupewa ufunuo wa Roho kwa faida ya watu wote. 
  • 259. Misingi ya Kanisa 1Wakorintho 12:4‐11 11 Haya yote h f 11 H t hufanywa na hhuyo huyo Roho mmoja, Roho naye mmoja, Roho humgawia kila mtu, kama apendavyo mwenyewe.
  • 260. HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO Makundi Makuu (3) y ya Karama A. Karama za Ufunuo f B. Karama za Usemi C. Karama za Udhihirisho
  • 261. HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO A. Karama za Ufunuo 1. Neno la Maarifa f 2. Neno la Hekima 3. Kupambanua roho p
  • 262. HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO B.  Karama za Usemi 4.  Karama ya Unabii y 5.  Aina za Lugha g 6.  Tafsiri za Lugha f g
  • 263. HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO C.  Karama za Nguvu 7.  Karama ya Imani y 8.  Karama ya Kuponya y p y 9.  Karama ya Miujiza y j
  • 265. HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO Huduma na Karama za Roho  Mtakatifu ni uwezo na vipawa  vya Mungu ndani ya watu  M d i wake, vinavyowawezesha  wake vinavyowawezesha kutenda kazi duniani kwa  kulitimiza kusudi la Mungu.
  • 266. HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO Kila Mtu katika jamii ya watu wa  Mungu ana Karama na Kipawa fulani kilichowekwa na Roho  f l i kili h k R h Mtakatifu wa Mungu,  Mtakatifu wa Mungu kinavyochomwezesha kutenda  kazi duniani ili kulitimiza   kusudi la Mungu. k di l M
  • 267. Huduma na Karama 1Wakorintho 12:4‐11 4 Basi kuna aina mbali mbali za k karama, lakini R h l ki i Roho ni yule yule yule.
  • 268. Huduma na Karama 1Wakorintho 12:4‐11 5 Pia kuna huduma za aina mbali mbali lakini Bwana ni mbali, lakini Bwana ni y yule yule.  y
  • 269. Huduma na Karama 1Wakorintho 12:4‐11 6 Kisha kuna tofauti za kutenda kazi lakini ni Mungu kazi, lakini y yule yule atendaye kazi zote y y kwa watu wote. 
  • 270. Huduma na Karama 1Wakorintho 12:4‐11 7 B i kil mmoja h Basi kila j hupewa ufunuo wa Roho kwa faida ya watu wote. 
  • 271. Misingi ya Kanisa 1Wakorintho 12:4‐11 11 Haya yote h f 11 H t hufanywa na hhuyo huyo Roho mmoja, Roho naye mmoja, Roho humgawia kila mtu, kama apendavyo mwenyewe.
  • 272. HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO Kipawa hicho, ndicho  kinachotenda kazi ili mtu aweze  kuishi na kuyatawala mazingira  k i hi k l i i yake, hata kumwezesha mtu  yake hata kumwezesha mtu huyo kulitimiza kusudi la  Mungu, yaani kuwa ‘chombo  kizuri cha ibada’. ki i h ib d ’
  • 273. SIFA NA IBADA KWA MUNGU Mungu Zab 22:3 Ibada Nchi Yoh 4:23‐24 Kumb 8:6‐18 Adam Zab 150:6
  • 274. KARAMA ZA ROHO MTAKATIFU  Kutoka 31:1‐5 Bwana akamwambia Musa, kwa ajili ya ufundi wa vyombo vyote jili f di b t vya hekalu, nimempaka mafuta y p f (uwezo) Bezaleli mwana wa Huri,  kwa ajili ya kazi zote za kuchora kuchora,  kuchonga, kukata na ufundi wote wa f dh na dh h b fedha dhahabu.
  • 275. HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO Karama za Utendaji Kazi 1Wakorintho 12:4‐11 • Maombezi       Uratibu • Uimbaji  Ui b ji Usimamizi Ui ii • Utoaji  Utoaji Ukarimu • Ujuzi  j Uhudumu • Ufundi Kuonya
  • 276. AINA YA WITO KARAMA MASAIDIANO Neno Maarifa Maombezi Neno Hekima HUDUMA Uimbaji Utoaji Kupambanua Mitume Ujuzi Karama Unabii Manabii Ufundi Aina za Lugha Waalimu W li Uratibu Tafsiri Lugha Wachungaji Usimamizi Karama I K Imani i Ukarimu Wainjilisti Karam Kuponya Uhudumu Karama Miujiza
  • 277. HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO Ishara au Viashiria  Wito wa mtu Wito wa mtu. (Signals za Huduma na Karama) (Signals za Huduma na Karama)
  • 279. Kuthibitisha Wito wako 1. Amani na Furaha  ya moyoni (Peace n’ Joy) Isaya 55:12, Filipi 4:4‐7,  Kolosai 3:15 l i3
  • 280. Kuthibitisha Wito wako 2. Kupenda na Kuridhika (Passion)  Kut 33:12‐14, Math 17:1‐7 Zab 37:4, Zab 16:11, 
  • 281. Kuthibitisha Wito wako 3. Bajeti ya Muda zaidi  Kut 33:7‐11, Math 14:22‐23, Mark 1:35, Yoh 8:1 
  • 282. Kuthibitisha Wito wako 4. Uwezo mkubwa wa  Kazi hiyo (Ability)  Kutoka 33:1‐5, Matendo 6:7‐10.  d 6 0
  • 283. Kuthibitisha Wito wako 5. Matokeo Mazuri   Yohana 5:31‐36,  Marko 16:15‐20.
  • 284. Kuthibitisha Wito wako 6. Baraka na Mafanikio  Zaburi 1:1‐3, Mithali 10:22 Mith 17:8, Mith 18:16
  • 285. Kuthibitisha Wito wako 7. Ushuhuda mzuri wa  Watu wengine  Math 18:16, Yoh 6:11‐14 Yoh 3:1‐2, Mdo 6:1‐8. h3 2 d 6 8
  • 286. Kuthibitisha Wito wako 1. Amani na Furaha ya moyoni 2. Kupenda na Kuridhika 3. 3 Kutumia Muda Zaidi K t i M d Z idi 4. 4 Uwezo mkubwa ktk hilo  Uwezo mkubwa ktk hilo 5. Matokeo Mazuri  6. Baraka na Mafanikio 7. Ushuhuda mzuri wa wengine
  • 288. Kutambua Huduma na Karama 1. Mwombe Mungu (Omba) Fanya Maombi ya Muda mrefu Yeremia 29:11‐13 Isaya 43:26 Wafilipi 4:6‐7 fili i 6 Zaburi 32:8 Zab ri 32 8
  • 289. Kutambua Huduma na Karama 2. Tumika katika Kazi ya Mungu bila mipaka. Panda mbegu asubuhi na jioni,  hujui h j i ni ipi itaka oota itakayoota Mhubiri 11:6
  • 290. Kutambua Huduma na Karama 3. Sikiliza Sauti ya Mungu (Uongozi wa Mungu) na Uangalie Uwezo Binafsi l f ulionao (Neema) (Neema). Chunguza Eneo unalotumika vizuri zaidi kuliko mengine. g Matendo 6:8
  • 291. Kutambua Huduma na Karama Uwezo Binafsi (Neema). Chunguza eneo unalotumika vizuri zaidi kuliko mengine (matokeo mazuri zaidi). g ( ) Matendo 6:8 ‘Filipo akijaa Neema na Nguvu,  alifanya maajabu na ishara kubwa kati ya watu’
  • 292. Kutambua Huduma na Karama 4. Mwombe Mungu Tena  akupe Uthibitisho. (Comfirmation) Fanya Maombi ya Muda mrefu Luka 4:1‐14,18‐19 L k 4 1 14 18 19 Luka 6:12‐19 Luka 6:12 19
  • 293. Kutambua Huduma na Karama 5.  Sikiliza ushauri (Uliza)  Sikiliza ushauri kutoka kwa watendakazi na walezi wako wa kiroho au kihuduma au kihuduma.
  • 294. HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO Mambo Muhimu  Ya Kuombea. Vipimo vya Aina ya  Vipimo vya Aina ya Wito wa mtu. Wito wa mtu (Specificacations)
  • 295. HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO 1. Kila mtu (mmoja mmoja)  katika Kanisa ana wito wake (huduma/karama) 2.  Wito wa mtu ( d (Huduma na Karama yake) ni maalumu yake) ni sana (Very Specific) ( y p f )
  • 296. Viashiria vya Wito wa Mtu 1. Kusudi la Wito 2. Mpango wa Wito 3. Uwezo na Nguvu (Matokeo) 4. Ngazi Ki 4 N i au Kiwango cha Wito h Wit 5. Eneo la Wito  5 Eneo la Wito 6. Kipimo au Kiasi cha Wito p 7. Muda wa Wito
  • 297. Viashiria vya Wito wa Mtu 1.  Kusudi la Wito
  • 298. Viashiria vya Wito wa Mtu 1. Kusudi la Wito Kila kiungo katika Kanisa (Mwili wa K i t ) Ki f Kristo ) Kinafanya k i kazi duniani ili kutimiza Kusudi moja Kuu la Mungu, la Kuujunga Ufalme wa Mungu duniani.
  • 299. Viashiria vya Wito wa Mtu 1. Kusudi la Wito Kusudi Kuu la Mungu duniani lina li sura Kuu Nne ( ) (4).
  • 300. Viashiria vya Wito wa Mtu Sura Nne za Kusudi la Mungu. 1.Kumiliki na Kutawala Dunia 2.Kumsifu + Kumwabudu Mungu 3.Kufanikiwa na Kuongezeka f iki k 4.Kuwatafuta na K 4K t f t Kuwaleta Nd i l t Ndani Watoto wa Mungu Walio Nje.
  • 301. Viashiria vya Wito wa Mtu 1. Kusudi la Wito Kila kiungo katika Kanisa (Mwili wa K i t ) Ki f Kristo ) Kinafanya k i kazi duniani ili kutimiza Kusudi moja Kuu la Mungu, la Kuujunga Ufalme wa Mungu duniani.
  • 302. Viashiria vya Wito wa Mtu 1. Kusudi la Wito Matendo 26:12‐18 Yohana 4:23‐24 Mwanzo 1:26‐28 Marko 16:15‐20
  • 303. Viashiria vya Wito wa Mtu 2.  Mpango wa Wito p g
  • 304. Viashiria vya Wito wa Mtu Muhimu sana! Kila wito wa Mungu una mpango   na mchepuo wake maalum, uliowekewa na Mungu, kwa  uliowekewa na Mungu kwa y kusudi lake. Usitafute kufanya  kila kitu; lenga kufanya wito  wako katika mchepuo uliopewa.
  • 305. Viashiria vya Wito wa Mtu 2. Mpango wa Wito Kila kiungo katika Kanisa (Mwili wa K i t ) Ki t Kristo ) Kimetengenezewa na Mungu, Mpango Mungu Mpango wake maalum wa kulitimiza Kusudi Kuu la  Mungu duniani.
  • 306. Viashiria vya Wito wa Mtu 2. Mpango wa Wito Mpango wake maalum wa kulitimiza Kusudi Kuu la Mungu k liti i K di K l M duniani, ni duniani ni Mungu kuweka Huduma na Karama mbalimbali katika Waumini wa Kanisa lake  (Viungo vya M ili wa K i t ) (Vi Mwili Kristo).
  • 307. Huduma na Karama 1Wakorintho 12:12‐31 Huduma na Karama katika kanisa,  ni k i kama viungo k tik mwili wa i katika ili binadamu. Ili mwili binadamu. Ili mwili ufanye kazi sawa sawa, ni lazima kila kiungo kikae katika nafasi yake na kifanye kazi yake sawa sawa sawa.
  • 308. Viashiria vya Wito wa Mtu 2. Mpango wa Wito Mpango wake maalum wa kulitimiza Kusudi Kuu la Mungu k liti i K di K l M duniani, ni duniani ni Mungu kuweka Huduma na Karama mbalimbali katika Waumini wa Kanisa lake  (Viungo vya M ili wa K i t ) (Vi Mwili Kristo).
  • 309. UMOJA WA KANISA LA MUNGU 1 Wakorintho 12:14‐27 14 Basi mwili si kiungo kimoja,  bali ni viungo vingi. 15 Kama  mguu ungesema, “Kwa kuwa  mguu ungesema “Kwa kuwa mimi si mkono basi mimi si wa  mimi si mkono basi mimi si wa mwili,” hiyo isingefanya huo  mguu usiwe sehemu ya mwili.
  • 310. UMOJA WA KANISA LA MUNGU 1 Wakorintho 12:14‐27 16 Na kama sikio lingesema,  “Kwa kuwa mimi si jicho, basi  mimi si la mwili,” hiyo  mimi si la mwili ” hiyo isingefanya hilo sikio lisiwe  isingefanya hilo sikio lisiwe sehemu ya mwili.
  • 311. UMOJA WA KANISA LA MUNGU 1 Wakorintho 12:14‐27 17 Kama mwili wote ungelikuwa  jicho, kusikia kungekuwa wapi?  Au kama mwili wote  Au kama mwili wote ungelikuwa sikio, kunusa  ungelikuwa sikio, kunusa kungekuwa wapi?
  • 312. UMOJA WA KANISA LA MUNGU 1 Wakorintho 12:14‐27 18 Lakini kama ilivyo, Mungu  ameweka viungo katika mwili,  kila kimoja kama alivyopenda.  kila kimoja kama alivyopenda 19 Kama vyote vingekuwa Kama vyote vingekuwa  kiungo kimoja, mwili ungekuwa  wapi?
  • 313. UMOJA WA KANISA LA MUNGU 1 Wakorintho 12:14‐27 20 Kama ulivyo, kuna viungo  vingi, lakini mwili ni mmoja.  21 Jicho haliwezi kuuambia  h h l k b mkono,  Sina haja nawe! Wala mkono “Sina haja nawe!” Wala  kichwa hakiwezi kuiambia  miguu, “Sina haja na ninyi!”
  • 314. UMOJA WA KANISA LA MUNGU 1 Wakorintho 12:14‐27 22 Lakini badala yake, vile viungo  vya mwili vinavyoonekana  l k kuwa dhaifu, ndivyo ambavyo  kuwa dhaifu ndivyo ambavyo ni vya muhimu sana. y
  • 315. UMOJA WA KANISA LA MUNGU 1 Wakorintho 12:14‐27 23 Navyo vile viungo vya mwili  tunavyoviona havina heshima,  ndivyo tunavipa heshima  ndivyo tunavipa heshima maalum. Vile viungo vya mwili  maalum. Vile viungo vya mwili ambavyo havina uzuri, tunavipa  heshima ya pekee.
  • 316. UMOJA WA KANISA LA MUNGU 1 Wakorintho 12:14‐27 24 Wakati vile viungo vyenye  uzuri havihitaji utunzaji wa  pekee. Lakini Mungu  pekee Lakini Mungu ameviweka pamoja viungo vya  ameviweka pamoja viungo vya mwili na akavipa heshima zaidi  vile vilivyopungukiwa
  • 317. UMOJA WA KANISA LA MUNGU 1 Wakorintho 12:14‐27 25 ili pasiwe na mafarakano  katika mwili, bali viungo vyote  k k l b l vihudumiane usawa kila kimoja  vihudumiane usawa kila kimoja na mwenzake.
  • 318. UMOJA WA KANISA LA MUNGU 1 Wakorintho 12:14‐27 26 Kama kiungo kimoja kikiumia,  viungo vyote huumia pamoja  nacho, kama kiungo kimoja  nacho kama kiungo kimoja kikipewa heshima, viungo  kikipewa heshima, viungo vyote hufurahi pamoja nacho. 
  • 319. Viashiria vya Wito wa Mtu 2. Mpango wa Wito Kila kiungo katika Mwili wa Yesu (Kanisa), kina uwezo bi f i (K i ) ki binafsi ambao kimeumbiwa (kimejaliwa) na Mungu, kwa makusudi kamili ya kutenda kazi kwa kutimiza kusudi k k ti i k di maalumu. l
  • 320. HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO 1. Kila mtu (mmoja mmoja)  katika Kanisa ana wito wake (huduma/karama) 2.  Wito wa mtu ( d (Huduma na Karama yake) ni maalumu yake) ni sana (Very Specific) ( y p f )
  • 321. HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO 1Timotheo 2:7 Nami kwa kusudi hili nimewekwa niwe Mhubiri na Mtume na Mwalimu wa watu wa Mataifa katika imani na kweli. kweli. 
  • 322. HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO Yermia 1:5‐10 Kabla hujaumbika kwenye tumbo la mamako,  nilishakutenga uwe Nabii Nabii.  Usiseme wewe ni mtoto, mtoto,  kwamaana nimeshakuandaa kuwa Nabii kwa Mataifa.
  • 323. Viashiria vya Wito wa Mtu Muhimu sana! Kila wito wa Mungu una mpango   na mchepuo wake maalum, uliowekewa na Mungu, kwa  uliowekewa na Mungu kwa y kusudi lake. Usitafute kufanya  kila kitu; lenga kufanya wito  wako katika mchepuo uliopewa.
  • 324. Viashiria vya Wito wa Mtu 3.  Uwezo na Nguvu g (Matokeo)
  • 325. Viashiria vya Wito wa Mtu 3. Uwezo na Nguvu Matendo 6:8 Yohana 20:21‐22 Luka 24:49 k Luka 4:1,14 L k 4 1 14 Matendo 10:38 Matendo 10:38
  • 326. Viashiria vya Wito wa Mtu 3. Uwezo na Nguvu Matendo 6:8 ‘Naye Stephano, akijaa Neema  na Nguvu za Mungu, alifanya  na Nguvu za Mungu alifanya ishara na miujiza mikubwa  ishara na miujiza mikubwa miongoni mwa watu’
  • 327. Viashiria vya Wito wa Mtu 3. Uwezo na Nguvu Yohana 20:21‐22 ‘Kama Baba alivyonituma mimi,  nami nawatuma ninyi; pokeeni  nami nawatuma ninyi; pokeeni Roho Mtakatifu Roho Mtakatifu’  ( (Kwa kazi hiyo) y )
  • 328. Viashiria vya Wito wa Mtu 3. Uwezo na Nguvu Matendo 6:8 Yohana 20:21‐22 Luka 24:49 k Luka 4:1,14 L k 4 1 14 Matendo 10:38 Matendo 10:38
  • 329. Viashiria vya Wito wa Mtu 3. Uwezo na Nguvu Matendo 6:8‐10 Wayahudi wakatoka kujadiliana  na Stefano juu ya Yesu; naye  na Stefano juu ya Yesu; naye Stefano akijaa Stefano akijaa neema na na  uwezo, akahojiana nao kwa  nguvu na ishara za miujiza.
  • 330. Viashiria vya Wito wa Mtu 3. Uwezo na Nguvu Matendo 6:8‐10 Nao hawakuweza kumshinda  kwa yule Roho aliyekuwa  kwa yule Roho aliyekuwa akisema naye; kwakuwa  akisema naye; kwakuwa stefano alijaa neema na uwezo mwingi
  • 331. Viashiria vya Wito wa Mtu 3. Uwezo na Nguvu Luka 24:49 ‘Tazama nawaletea ahadi ya  Baba; Lakini msitoke mjini  Baba; Lakini msitoke mjini mpaka mtakapovikwa uweza  mpaka mtakapovikwa uweza utokao juu.’
  • 332. Viashiria vya Wito wa Mtu 3. Uwezo na Nguvu Luka 4:1,14 ‘Baada ya Yesu kujazwa na Roho  Mtakatifu, aliingia katika  Mtakatifu aliingia katika maombi ya siku 40; naye  maombi ya siku 40; naye akarudi katika nguvu za Roho’
  • 333. Viashiria vya Wito wa Mtu 3. Uwezo na Nguvu Matendo 10:38 ‘Naye Mungu alimpaka Yesu  Kristo mafuta, kwa Roho  Kristo mafuta kwa Roho Mtakatifu na Nguvu, naye  Mtakatifu na Nguvu, naye akawafungua wote  walioonewa na ibilisi shetani ’
  • 334. Viashiria vya Wito wa Mtu Marko 16:15‐20 15 Akawaambia, “Enendeni  ulimwenguni mwote, mkaihubiri  Injili kwa kila kiumbe. 16 Ye yote  Injili kwa kila kiumbe 16 Ye yote y aaminiye na kubatizwa ataokoka.  Lakini ye yote asiyeamini  atahukumiwa. 
  • 335. Viashiria vya Wito wa Mtu Marko 16:15‐20 17 “Nazo ishara hizi zitafuatana  na wale waaminio: Kwa Jina  Langu watatoa pepo wachafu,  Langu watatoa pepo wachafu g watasema kwa lugha mpya …py
  • 336. Viashiria vya Wito wa Mtu Marko 16:15‐20 18 watashika nyoka kwa mikono  yao na hata wakinywa kitu cho  chote cha kuua, hakitawadhuru  chote cha kuua hakitawadhuru , y kamwe, wataweka mikono yao  juu ya wagonjwa, nao  watapona.”
  • 337. Viashiria vya Wito wa Mtu Marko 16:15‐20 19 Baada ya Bwana Yesu kusema  nao, alichukuliwa juu mbinguni  na kuketi mkono wa kuume wa  na kuketi mkono wa kuume wa g Mungu. 
  • 338. Viashiria vya Wito wa Mtu Marko 16:15‐20 20 Kisha wanafunzi Wake  wakatoka, wakahubiri kila  mahali, naye Bwana akatenda  mahali naye Bwana akatenda kazi pamoja nao na kulithibitisha  p j Neno Lake kwa ishara  zilizofuatana nao.
  • 339. Viashiria vya Wito wa Mtu Muhimu sana! Kila wito wa Mungu una viashiria  vyake maalum, vilivyowekewa na  Mungu kuthibitisha wito huo.  Mungu kuthibitisha wito huo y ; g Usitafute kufanya kila kitu; lenga  kufanya wito wako katika  mchepuo uliopewa.
  • 340. Viashiria vya Wito wa Mtu 4.  Eneo la Wito Eneo la Wito (Location + Group) (Location + Group)
  • 341. Viashiria vya Wito wa Mtu Muhimu sana! Kila wito wa Mungu una eneo  lake maalum, lililowekewa na  Mungu, kwa kusudi lake.  Mungu kwa kusudi lake y Usitafute kufanya wito kila  mahali, lenga kufanya wito wako  katika eneo uliopangiwa.
  • 342. HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO 1Timotheo 2:7 Nami kwa kusudi hili nimewekwa niwe Mhubiri na Mtume na Mwalimu wa watu wa Mataifa katika imani na kweli. kweli. 
  • 343. HUDUMA NA KARAMA ZA ROHO Wagalatia 2:8 Aliyemwezesha Petro kuwa mhubiri wa Wayahudi, ndiye aliyeniwezesha mimi kuwa mhubiri wa Mataifa.
  • 344. Viashiria vya Wito wa Mtu 4. Eneo la Wito Matendo 16:6‐12 7 Walipofika kwenye mpaka wa  Misia, wakajaribu kuingia  Misia wakajaribu kuingia Bithinia lakini Roho wa Yesu  Bithinia lakini Roho wa Yesu hakuwaruhusu. 
  • 345. Viashiria vya Wito wa Mtu 4. Eneo la Wito Matendo 16:6‐12 8 Kwa hiyo wakapita Misia,  wakafika Troa. 9 Wakati wa  wakafika Troa 9 Wakati wa usiku Paulo akaona maono,  usiku Paulo akaona maono, mtu wa Makedonia  amesimama akimsihi akisema,
  • 346. Viashiria vya Wito wa Mtu 4. Eneo la Wito Matendo 16:6‐12 9 … “Vuka uje huku Makedonia  ukatusaidie.” 10 Baada ya  ukatusaidie ” 10 Baada ya Paulo kuona maono haya, mara  Paulo kuona maono haya, mara tulijiandaa kuondoka kwenda  Makedonia…
  • 347. Viashiria vya Wito wa Mtu 4. Eneo la Wito Matendo 16:6‐12 10 … tukiwa tumesadiki kwa  sababu tuliona kwa hakika  sababu tuliona kwa hakika kwamba Mungu ametuita  kwamba Mungu ametuita kuhubiri habari njema huko.
  • 348. Viashiria vya Wito wa Mtu 4. Eneo la Wito Yeremia 1:9‐10 ‘Kabla hujaumbika tumboni mwa  ‘ bl h j bik b i mamako, nilikwisha kukutenga  mamako nilikwisha kukutenga uwe Nabii kwa Mataifa’
  • 349. Viashiria vya Wito wa Mtu Matendo 21‐28 21:4 Baada ya kuwatafuta  wanafunzi wa huko, tukakaa  f i h k t k k nao kwa siku saba. Wale  nao kwa siku saba Wale wanafunzi wakiongozwa na  Roho walimwambia Mtume  Paulo asiende Yerusalemu. P l i d Y l