SlideShare une entreprise Scribd logo
1  sur  3
Singachini TTC 2012
JEDWALI LA KUTAHINI

Kabla mwalimu hajaanza kutunga maswali anapaswa kutayarisha jedwali la kutahini. Jedwali la kutahini ni utaratibu
unaonyesha maada za kupima na idadi ya maswali kwa kila maada. Jedwali hili huonyesha malengo yanatarajiwa
kufikiwa pamoja na idadi ya maswali kwa kila maada na/au idadi ya maswali kwa kila ngazi inayopimwa. Jedwali
hupangwa kwa safu. Safu ya kwanza upande wa kushoto huwekwa maudhui kwa kuorodhesha maada(kuu/ndogo)
zinazopimwa. Safu inayofuata kulia huwekwa malengo ya kupimwa,inayofuata nyanja inayopimwa na ngazi zake.

Watahini wengi hutumia mgawanyo wa Bloom (1956) kuainisha stadi hizo. Hata hivyo hufungwi na
utaratibu huu ikiwa somo lako haliwezi kupimwa kikamilifu kwa mgawanyo huo.unaweza kuweka
utaritibu mwingine kama utaona unafaa zaidi.

Idadi ya maswali huonyeshwa katika mkato wa chumba cha maudhui kuelekea kulia na kile cha safu ya ngazi ya stadi
zinazopimwa.

Jumla ya maswali kwa kila maada huandikwa upande wa kulia na Jumla ya maswali kwa kila ngazi ya Nyanja
inayopimwa (mara nyingi utambuzi) huandikwa kwenye mstari wa chini ya jedwali.


Mfano wa Jedwali la Kutahini

                                            STADI ZA KUPIMWA                       JUMLA
               MALENGO                                                                        ASILIMIA
MAADA ZA                                                                            KWA
                  YA            Nganzi   Ngazi   Ngazi    Ngazi    Ngazi                      KWA KILA
KUPIMWA                                                                     ……      KILA
               KUPIMWA            1       2       3        4        5                          MADA
                                                                                   MADA
 Mada A
 Mada B
 Mada C
   …
JUMLAYA
MASWALI
KWA KILA
 NGAZI
ASILIMIA
KWA KILA
 NGAZI




Prepered by Adam Chaula
             College Tutor II                                                                               Page 1
Singachini TTC 2012


UTAYARISHAJI WA JEDWALI LA KUTAHINI

Mambo ya kufanya wakati wakuandaa jedwali la kutahini.

   1. Chukua muhtasari wa somo na maandalio ya somo.

   2. Chunguza katika maandalio ya somo maada ambazo zimekishwa fundishwa.


   3. Chagua mada ambazo unaona ni muhimu zitungiwe jaribio/ mitihani kisha orodhesha mada hizo.

   4. Chunguza kwa makini katika muhtasari na maandalio ya somo malengo mahsusi ya mada zinazotungiwa
      maswali.
      Orodhesha malengo hayo kisha amua:
         i. aina ya maswali yatakayotumika katika upimaji.
        ii. idadi ya maswali yote katika mitihani.
       iii. muda wa kufanya jaribio hutegemea na wingi wa mada na hali ya malengo yenyewe

    5. Chora jedwali la kutahini.

    6. Jaza jedwali la kutahini kwa kufuata hatua hizi.
         i.  orodhesha mada zote za kutungiwa maswali.
        ii.  orodhesha malengo mahususi katika safu inayofuata
       iii.  Amua ngazi zipi za nyanja ipi za kupimwa zipewe umuhimu wa kupewa maswali mengi na zipi zipewe
             maswali machache.




UMUHIMU WA JEDWALI A KUTAHINI
  1. Linahakikisha kuwa maudhui yote yanayotakiwa kutahiniwa yanatahiniwa.

   2.   Linahakikisha kuwa kiwango cha kuelewa maarifa , kumudu stadi za utendaji na kubadilika kwa mwelekeo
        wa watahiniwa kinatahiniwa


   3.   Linahahakikisha uwiano wa idadi ya maswali katika kila eneo na kila kipengele cha nyanja kinapimwa .



Prepered by Adam Chaula
             College Tutor II                                                                              Page 2
Singachini TTC 2012


                        Mfano wa Jedwali la kutahini wa somo la Maarifa ya Jamii

              JEDWALI LA KUTAHINI KWA SOMO LA MAARIFA YA JAMII DARASA LA TANO
                                     MUHULA WA II, 2012
                                               NYANJA YA MWELEKEO
                                 Kuwa tayari                                                               ASILIMIA




                                                                        Kuwianisha
                                                           Kutathmini




                                                                                     Msimamo
MADA ZA       MALENGO YA                                                                       JUMLA KWA




                                                                         maswala
                                                kuitikia
                                                                                                           KWA KILA
KUPIMWA        KUPIMWA                                                                         KILA MADA
                                                                                                            MADA


Mahusiano
ya jamii za                        1              2                                                3         15%
Tanzania
Mila na
                                                  1          1             1                       3         15%
desturi
Kufanya
                                   1                         1             1                       3         15%
kazi
Kusoma
                                   1                                       2                       3         15%
ramani
Muundo wa
serikali ya                        2              1                                                3         15%
kijiji
Ushiriki wa
                                                  2                                   3            5         15%
jamii
IDADI YA MASWALI KWA
                                   5              6          2             4          3           20         15%
KILA NGAZI

ASILMIA KWA KILA NGAZI          25%            30%         10%          20%          15%         100%        100%




Prepered by Adam Chaula
             College Tutor II                                                                                         Page 3

Contenu connexe

Tendances

Two year B.Ed Curriculum Course outline and Practicals
Two year B.Ed Curriculum  Course outline and PracticalsTwo year B.Ed Curriculum  Course outline and Practicals
Two year B.Ed Curriculum Course outline and Practicalsgeorgespeaks
 
Importance of syllabus
Importance of syllabusImportance of syllabus
Importance of syllabusOporna Das
 
Ufahamu na ufupisho
Ufahamu na ufupishoUfahamu na ufupisho
Ufahamu na ufupishoMussaOmary3
 
Situation analysis in curriculum design
Situation analysis in curriculum designSituation analysis in curriculum design
Situation analysis in curriculum designNOE NOE
 
Social demand approach
Social demand approachSocial demand approach
Social demand approachNighat Shaheen
 
B.Ed. # Schooling of girls : Gender,School and Society
 B.Ed. # Schooling of girls : Gender,School and Society  B.Ed. # Schooling of girls : Gender,School and Society
B.Ed. # Schooling of girls : Gender,School and Society Monika Sharma
 
Theyyam (തെയ്യം )
Theyyam (തെയ്യം )Theyyam (തെയ്യം )
Theyyam (തെയ്യം )nivedithapraveen
 
Component 1 aims, goals and objectives of curriculum
Component 1 aims, goals and objectives of curriculumComponent 1 aims, goals and objectives of curriculum
Component 1 aims, goals and objectives of curriculumWENDELL TARAYA
 
Manpower need approach
Manpower need approachManpower need approach
Manpower need approachMaity Lo
 
TSL3143 Topic 2a Models of Curriculum Design
TSL3143 Topic 2a Models of Curriculum DesignTSL3143 Topic 2a Models of Curriculum Design
TSL3143 Topic 2a Models of Curriculum DesignYee Bee Choo
 
Curricular design two different countries
Curricular design two different countriesCurricular design two different countries
Curricular design two different countriesCar8824
 
The ‘reconceptualization’ of curriculum studies
The ‘reconceptualization’ of curriculum studiesThe ‘reconceptualization’ of curriculum studies
The ‘reconceptualization’ of curriculum studiessykeshea
 
Tyler model of curriculum development
Tyler model of curriculum developmentTyler model of curriculum development
Tyler model of curriculum developmentHadeeqaTanveer
 

Tendances (20)

Two year B.Ed Curriculum Course outline and Practicals
Two year B.Ed Curriculum  Course outline and PracticalsTwo year B.Ed Curriculum  Course outline and Practicals
Two year B.Ed Curriculum Course outline and Practicals
 
Fundamental, Applied and Action Research
Fundamental, Applied and Action ResearchFundamental, Applied and Action Research
Fundamental, Applied and Action Research
 
Elimu ya Watu Wazima(EWW)
Elimu ya Watu Wazima(EWW)Elimu ya Watu Wazima(EWW)
Elimu ya Watu Wazima(EWW)
 
Importance of syllabus
Importance of syllabusImportance of syllabus
Importance of syllabus
 
Ufahamu na ufupisho
Ufahamu na ufupishoUfahamu na ufupisho
Ufahamu na ufupisho
 
Situation analysis in curriculum design
Situation analysis in curriculum designSituation analysis in curriculum design
Situation analysis in curriculum design
 
Educational management planning
Educational management planningEducational management planning
Educational management planning
 
Sources of Curriculum Design
Sources of Curriculum DesignSources of Curriculum Design
Sources of Curriculum Design
 
Internet based assessment
Internet based assessmentInternet based assessment
Internet based assessment
 
Social demand approach
Social demand approachSocial demand approach
Social demand approach
 
B.Ed. # Schooling of girls : Gender,School and Society
 B.Ed. # Schooling of girls : Gender,School and Society  B.Ed. # Schooling of girls : Gender,School and Society
B.Ed. # Schooling of girls : Gender,School and Society
 
Theyyam (തെയ്യം )
Theyyam (തെയ്യം )Theyyam (തെയ്യം )
Theyyam (തെയ്യം )
 
Component 1 aims, goals and objectives of curriculum
Component 1 aims, goals and objectives of curriculumComponent 1 aims, goals and objectives of curriculum
Component 1 aims, goals and objectives of curriculum
 
Manpower need approach
Manpower need approachManpower need approach
Manpower need approach
 
TSL3143 Topic 2a Models of Curriculum Design
TSL3143 Topic 2a Models of Curriculum DesignTSL3143 Topic 2a Models of Curriculum Design
TSL3143 Topic 2a Models of Curriculum Design
 
Curricular design two different countries
Curricular design two different countriesCurricular design two different countries
Curricular design two different countries
 
The ‘reconceptualization’ of curriculum studies
The ‘reconceptualization’ of curriculum studiesThe ‘reconceptualization’ of curriculum studies
The ‘reconceptualization’ of curriculum studies
 
Dipnirvan
DipnirvanDipnirvan
Dipnirvan
 
Tyler model of curriculum development
Tyler model of curriculum developmentTyler model of curriculum development
Tyler model of curriculum development
 
Types of reading
Types of readingTypes of reading
Types of reading
 

En vedette

Jipime Sayansi Darasa la Sita
Jipime Sayansi Darasa la SitaJipime Sayansi Darasa la Sita
Jipime Sayansi Darasa la Sitakanguni
 
Waraka wa elimu na. 4 wa mwaka 2014 kuhusu utayarishaji wa vifaa vya kujifunz...
Waraka wa elimu na. 4 wa mwaka 2014 kuhusu utayarishaji wa vifaa vya kujifunz...Waraka wa elimu na. 4 wa mwaka 2014 kuhusu utayarishaji wa vifaa vya kujifunz...
Waraka wa elimu na. 4 wa mwaka 2014 kuhusu utayarishaji wa vifaa vya kujifunz...elimutanzania
 
Chuo kikuu cha mtakatifu agustino (autosaved)
Chuo kikuu cha mtakatifu agustino (autosaved)Chuo kikuu cha mtakatifu agustino (autosaved)
Chuo kikuu cha mtakatifu agustino (autosaved)Mwl. Mapesa Nestory
 
MAFUNZO YA UJASIRIAMALI
MAFUNZO YA UJASIRIAMALIMAFUNZO YA UJASIRIAMALI
MAFUNZO YA UJASIRIAMALIKaka Sule
 
Umuhimu wa kujifunza nadharia za fonolojia
Umuhimu wa kujifunza nadharia za fonolojiaUmuhimu wa kujifunza nadharia za fonolojia
Umuhimu wa kujifunza nadharia za fonolojiaHamad Khamis Juma
 
Fursa kwa walio na mtaji mdogo
Fursa kwa walio na mtaji mdogoFursa kwa walio na mtaji mdogo
Fursa kwa walio na mtaji mdogoYSDO and MAP
 
Lahaja za kiswahili kwa ujumla
Lahaja za kiswahili kwa ujumlaLahaja za kiswahili kwa ujumla
Lahaja za kiswahili kwa ujumlaWilson Pastory
 
Preparing The Table of Specification
Preparing The Table of SpecificationPreparing The Table of Specification
Preparing The Table of SpecificationMary Eunice Quijano
 

En vedette (10)

Jipime Sayansi Darasa la Sita
Jipime Sayansi Darasa la SitaJipime Sayansi Darasa la Sita
Jipime Sayansi Darasa la Sita
 
Waraka wa elimu na. 4 wa mwaka 2014 kuhusu utayarishaji wa vifaa vya kujifunz...
Waraka wa elimu na. 4 wa mwaka 2014 kuhusu utayarishaji wa vifaa vya kujifunz...Waraka wa elimu na. 4 wa mwaka 2014 kuhusu utayarishaji wa vifaa vya kujifunz...
Waraka wa elimu na. 4 wa mwaka 2014 kuhusu utayarishaji wa vifaa vya kujifunz...
 
Maana ya maana!
Maana ya maana!Maana ya maana!
Maana ya maana!
 
Chuo kikuu cha mtakatifu agustino (autosaved)
Chuo kikuu cha mtakatifu agustino (autosaved)Chuo kikuu cha mtakatifu agustino (autosaved)
Chuo kikuu cha mtakatifu agustino (autosaved)
 
MAFUNZO YA UJASIRIAMALI
MAFUNZO YA UJASIRIAMALIMAFUNZO YA UJASIRIAMALI
MAFUNZO YA UJASIRIAMALI
 
Umuhimu wa kujifunza nadharia za fonolojia
Umuhimu wa kujifunza nadharia za fonolojiaUmuhimu wa kujifunza nadharia za fonolojia
Umuhimu wa kujifunza nadharia za fonolojia
 
Fursa kwa walio na mtaji mdogo
Fursa kwa walio na mtaji mdogoFursa kwa walio na mtaji mdogo
Fursa kwa walio na mtaji mdogo
 
Lahaja za kiswahili kwa ujumla
Lahaja za kiswahili kwa ujumlaLahaja za kiswahili kwa ujumla
Lahaja za kiswahili kwa ujumla
 
Preparing The Table of Specification
Preparing The Table of SpecificationPreparing The Table of Specification
Preparing The Table of Specification
 
Table of specifications
Table of specificationsTable of specifications
Table of specifications
 

JEDWALI LA KUTAHINI

  • 1. Singachini TTC 2012 JEDWALI LA KUTAHINI Kabla mwalimu hajaanza kutunga maswali anapaswa kutayarisha jedwali la kutahini. Jedwali la kutahini ni utaratibu unaonyesha maada za kupima na idadi ya maswali kwa kila maada. Jedwali hili huonyesha malengo yanatarajiwa kufikiwa pamoja na idadi ya maswali kwa kila maada na/au idadi ya maswali kwa kila ngazi inayopimwa. Jedwali hupangwa kwa safu. Safu ya kwanza upande wa kushoto huwekwa maudhui kwa kuorodhesha maada(kuu/ndogo) zinazopimwa. Safu inayofuata kulia huwekwa malengo ya kupimwa,inayofuata nyanja inayopimwa na ngazi zake. Watahini wengi hutumia mgawanyo wa Bloom (1956) kuainisha stadi hizo. Hata hivyo hufungwi na utaratibu huu ikiwa somo lako haliwezi kupimwa kikamilifu kwa mgawanyo huo.unaweza kuweka utaritibu mwingine kama utaona unafaa zaidi. Idadi ya maswali huonyeshwa katika mkato wa chumba cha maudhui kuelekea kulia na kile cha safu ya ngazi ya stadi zinazopimwa. Jumla ya maswali kwa kila maada huandikwa upande wa kulia na Jumla ya maswali kwa kila ngazi ya Nyanja inayopimwa (mara nyingi utambuzi) huandikwa kwenye mstari wa chini ya jedwali. Mfano wa Jedwali la Kutahini STADI ZA KUPIMWA JUMLA MALENGO ASILIMIA MAADA ZA KWA YA Nganzi Ngazi Ngazi Ngazi Ngazi KWA KILA KUPIMWA …… KILA KUPIMWA 1 2 3 4 5 MADA MADA Mada A Mada B Mada C … JUMLAYA MASWALI KWA KILA NGAZI ASILIMIA KWA KILA NGAZI Prepered by Adam Chaula College Tutor II Page 1
  • 2. Singachini TTC 2012 UTAYARISHAJI WA JEDWALI LA KUTAHINI Mambo ya kufanya wakati wakuandaa jedwali la kutahini. 1. Chukua muhtasari wa somo na maandalio ya somo. 2. Chunguza katika maandalio ya somo maada ambazo zimekishwa fundishwa. 3. Chagua mada ambazo unaona ni muhimu zitungiwe jaribio/ mitihani kisha orodhesha mada hizo. 4. Chunguza kwa makini katika muhtasari na maandalio ya somo malengo mahsusi ya mada zinazotungiwa maswali. Orodhesha malengo hayo kisha amua: i. aina ya maswali yatakayotumika katika upimaji. ii. idadi ya maswali yote katika mitihani. iii. muda wa kufanya jaribio hutegemea na wingi wa mada na hali ya malengo yenyewe 5. Chora jedwali la kutahini. 6. Jaza jedwali la kutahini kwa kufuata hatua hizi. i. orodhesha mada zote za kutungiwa maswali. ii. orodhesha malengo mahususi katika safu inayofuata iii. Amua ngazi zipi za nyanja ipi za kupimwa zipewe umuhimu wa kupewa maswali mengi na zipi zipewe maswali machache. UMUHIMU WA JEDWALI A KUTAHINI 1. Linahakikisha kuwa maudhui yote yanayotakiwa kutahiniwa yanatahiniwa. 2. Linahakikisha kuwa kiwango cha kuelewa maarifa , kumudu stadi za utendaji na kubadilika kwa mwelekeo wa watahiniwa kinatahiniwa 3. Linahahakikisha uwiano wa idadi ya maswali katika kila eneo na kila kipengele cha nyanja kinapimwa . Prepered by Adam Chaula College Tutor II Page 2
  • 3. Singachini TTC 2012 Mfano wa Jedwali la kutahini wa somo la Maarifa ya Jamii JEDWALI LA KUTAHINI KWA SOMO LA MAARIFA YA JAMII DARASA LA TANO MUHULA WA II, 2012 NYANJA YA MWELEKEO Kuwa tayari ASILIMIA Kuwianisha Kutathmini Msimamo MADA ZA MALENGO YA JUMLA KWA maswala kuitikia KWA KILA KUPIMWA KUPIMWA KILA MADA MADA Mahusiano ya jamii za 1 2 3 15% Tanzania Mila na 1 1 1 3 15% desturi Kufanya 1 1 1 3 15% kazi Kusoma 1 2 3 15% ramani Muundo wa serikali ya 2 1 3 15% kijiji Ushiriki wa 2 3 5 15% jamii IDADI YA MASWALI KWA 5 6 2 4 3 20 15% KILA NGAZI ASILMIA KWA KILA NGAZI 25% 30% 10% 20% 15% 100% 100% Prepered by Adam Chaula College Tutor II Page 3