1. Maana ya utafiti.
Umuhimu wa kufanya utafiti wa kielimu.
Hatua za kufanya utafiti wa kielimu.
Mpangilio au uandishi wa ripoti ya utafiti
mdogo wa kielimu.
Kutumia matokeo ya utafiti.
2. Utafiti ni uchunguzi unaotumia mbinu za
kisayansi katika kutafuta taarifa juu ya
jambo fulani.
3. λ Kuna aina kuu mbili za utafiti.
2.Utafiti wa msingi
3.Utafiti wa matumizi
4. Hutumika zaidi na wanasayansi.
Lengo kuu ni kukuza nadharia, misingi
na kanuni mbalimbali.
Hauzingatii sana kutumia matokeo
katika kutatua matatizo.
5. Unakazia matumizi ya matokeo ya utafiti
huo katika kutatua matatizo na kufanya
shughuri fulani iwe bora zaidi.
Lengo ni kufanya utendaji uwe bora
zaidi.
6. Ni utafiti wa aina yoyote unaohusiana na
mambo ya kielimu.
Unahusiana na afanikio katika kujifunza,
mipango ya elimu, mitaala na uwezo wa
walimu kufundisha.
7. Kwa ajili ya kuanzisha nadharia muhimu za kielimu.
Kuwezesha marekebisho katika program na maeneo
mbalimbali ya kielimu.
Ni chombo muhimu katika kutafuta majibu katika
mipango mbalimbali ya kielimu.
kuna haja ya utafiti wa kielimu kutokana na mabadiliko
katika dhana na mfumo wa miundo katika uwanja wa
elimu.
8. Kusaidia katika kuleta uboreshaji katika
mitaala iliyopo, vitabu, mbinu za
ufundishaji na tathmini.
9. 1. Kutaja Suala la utafiti
2. Kuelezea Madhumuni ya Utafiti
3. Kuandika Pitio la maandiko
4. Kueleza Njia na Miundo ya Utafiti
5. Katayarisha, kujaribisha na kurekebisha
Zana za Utafiti
6. Kukusanya,kuchambua na kutafsiri
data
10. λ Hiki ni kiini cha Utafiti
λ Lengo la Utafiti na Muundo wake
hutegemea sana SUALA LA UTAFITI
11. Maendeleo mabaya ya wanafunzi
Wanafunzi katika shule yenye majengo
duni wana alama na mafanikio ya chini
kuliko wale wa majengo bora.
wanafunzi katika madarasa bora na vifaa
vya kutosha huwa na alama na mafanikio
bora kuliko wale wa madarasa duni na
yasiyo na vifaa vya kutosha
12. Liko wazi
Lina mchango katika masuala yaliyotangulia
Linaweza kufanyika katika mazingira halisi
Lina jambo jipya
Lina mwelekeo
13. Soma ripoti mbalimbali zinazohusu suala unalofanyia
Utafiti
Madhumuni
Kugundua tafiti zilizokwishafanyika kuhusiana na suala
Kutambua tafiti zilishughulikia kusudi na maswali gana
ya Utafiti
Kuafahamu njia na zana zilizotumika,namna
zilivyotumika,jinsi ukokotoaji na uwasilishaji wa data
15. Maktaba ni sehemu muhimu unapoweza kupitia
maandiko mengi.
Jambo muhimu kuhakikisha unafuata taratibu za mapitio
ikiwemo ufupisho wenye mambo makuu, fuata taratibu
za uandishi wa nukuu kama utahitaji kufanya.
16. Njia za Utifiti wa Kielimu;
Saveyi
Kisa mafunzo
Jaribio