SlideShare une entreprise Scribd logo
1  sur  17
Maana ya utafiti.
Umuhimu wa kufanya utafiti wa kielimu.
Hatua za kufanya utafiti wa kielimu.
Mpangilio au uandishi wa ripoti ya utafiti
mdogo wa kielimu.
Kutumia matokeo ya utafiti.
Utafiti ni uchunguzi unaotumia mbinu za
 kisayansi katika kutafuta taarifa juu ya
               jambo fulani.
λ Kuna aina kuu mbili za utafiti.
2.Utafiti wa msingi
3.Utafiti wa matumizi
 Hutumika zaidi na wanasayansi.
 Lengo kuu ni kukuza nadharia, misingi
  na kanuni mbalimbali.
 Hauzingatii sana kutumia matokeo
  katika kutatua matatizo.
 Unakazia matumizi ya matokeo ya utafiti
  huo katika kutatua matatizo na kufanya
  shughuri fulani iwe bora zaidi.
 Lengo ni kufanya utendaji uwe bora
  zaidi.
 Ni utafiti wa aina yoyote unaohusiana na
  mambo ya kielimu.
 Unahusiana na afanikio katika kujifunza,
  mipango ya elimu, mitaala na uwezo wa
  walimu kufundisha.
 Kwa ajili ya kuanzisha nadharia muhimu za kielimu.
 Kuwezesha marekebisho katika program na maeneo
  mbalimbali ya kielimu.
 Ni chombo muhimu katika kutafuta majibu katika
  mipango mbalimbali ya kielimu.
 kuna haja ya utafiti wa kielimu kutokana na mabadiliko
  katika dhana na mfumo wa miundo katika uwanja wa
  elimu.
 Kusaidia katika kuleta uboreshaji katika
 mitaala iliyopo, vitabu, mbinu za
 ufundishaji na tathmini.
1. Kutaja Suala la utafiti
2. Kuelezea Madhumuni ya Utafiti
3. Kuandika Pitio la maandiko
4. Kueleza Njia na Miundo ya Utafiti
5. Katayarisha, kujaribisha na kurekebisha
   Zana za Utafiti
6. Kukusanya,kuchambua na kutafsiri
   data
λ Hiki ni kiini cha Utafiti
λ Lengo la Utafiti na Muundo wake
 hutegemea sana SUALA LA UTAFITI
 Maendeleo mabaya ya wanafunzi
 Wanafunzi katika shule yenye majengo
  duni wana alama na mafanikio ya chini
  kuliko wale wa majengo bora.
 wanafunzi katika madarasa bora na vifaa
  vya kutosha huwa na alama na mafanikio
  bora kuliko wale wa madarasa duni na
  yasiyo na vifaa vya kutosha
 Liko wazi
 Lina mchango katika masuala yaliyotangulia
 Linaweza kufanyika katika mazingira halisi
 Lina jambo jipya
 Lina mwelekeo
 Soma ripoti mbalimbali zinazohusu suala unalofanyia
  Utafiti
 Madhumuni
 Kugundua tafiti zilizokwishafanyika kuhusiana na suala
 Kutambua tafiti zilishughulikia kusudi na maswali gana
  ya Utafiti
 Kuafahamu njia na zana zilizotumika,namna
  zilivyotumika,jinsi ukokotoaji na uwasilishaji wa data
 Kutambua makosa na matatizo yaliyotokea ila yaweze
 kuepukwa.
 Maktaba ni sehemu muhimu unapoweza kupitia
  maandiko mengi.
 Jambo muhimu kuhakikisha unafuata taratibu za mapitio
  ikiwemo ufupisho wenye mambo makuu, fuata taratibu
  za uandishi wa nukuu kama utahitaji kufanya.
 Njia za Utifiti wa Kielimu;
Saveyi
Kisa mafunzo
Jaribio
THE END

Contenu connexe

Tendances

Uhakiki wa kazi za fasihi andishi
Uhakiki wa kazi za fasihi andishiUhakiki wa kazi za fasihi andishi
Uhakiki wa kazi za fasihi andishiMussaOmary3
 
Ufahamu na ufupisho
Ufahamu na ufupishoUfahamu na ufupisho
Ufahamu na ufupishoMussaOmary3
 
Chimbuko na Asili ya Kiswahili
Chimbuko na Asili ya KiswahiliChimbuko na Asili ya Kiswahili
Chimbuko na Asili ya Kiswahilimussa Shekinyashi
 
UHAKIKI WA FASIHI ANDISHI
UHAKIKI WA FASIHI ANDISHIUHAKIKI WA FASIHI ANDISHI
UHAKIKI WA FASIHI ANDISHIshahzadebaujiti
 
Chuo kikuu cha mtakatifu agustino (autosaved)
Chuo kikuu cha mtakatifu agustino (autosaved)Chuo kikuu cha mtakatifu agustino (autosaved)
Chuo kikuu cha mtakatifu agustino (autosaved)Mwl. Mapesa Nestory
 
ACTION RESEARCH & FUNDAMENTAL RESEARCH
ACTION RESEARCH & FUNDAMENTAL RESEARCHACTION RESEARCH & FUNDAMENTAL RESEARCH
ACTION RESEARCH & FUNDAMENTAL RESEARCHShubham Nandi
 
Educational Administration.pptx
Educational Administration.pptxEducational Administration.pptx
Educational Administration.pptxMonojitGope
 
Dialogue Based Education.pptx
Dialogue Based Education.pptxDialogue Based Education.pptx
Dialogue Based Education.pptxSantoshiniSahu5
 
Teacher development approaches
Teacher development approachesTeacher development approaches
Teacher development approachesamitprasai
 
Importance Of Teacher Education
Importance Of Teacher EducationImportance Of Teacher Education
Importance Of Teacher Educationjeniferchameli
 
Instructional objectives
Instructional objectivesInstructional objectives
Instructional objectivesAmbreen Aftab
 
Research paradigms in education
Research  paradigms in educationResearch  paradigms in education
Research paradigms in educationsuchetanapawar
 
variables in educational research
variables in educational researchvariables in educational research
variables in educational researchHarshita Jhalani
 

Tendances (20)

Uhakiki wa kazi za fasihi andishi
Uhakiki wa kazi za fasihi andishiUhakiki wa kazi za fasihi andishi
Uhakiki wa kazi za fasihi andishi
 
Ufahamu na ufupisho
Ufahamu na ufupishoUfahamu na ufupisho
Ufahamu na ufupisho
 
Chimbuko na Asili ya Kiswahili
Chimbuko na Asili ya KiswahiliChimbuko na Asili ya Kiswahili
Chimbuko na Asili ya Kiswahili
 
Uhifadhi wa fasihi simulizi
Uhifadhi wa fasihi simuliziUhifadhi wa fasihi simulizi
Uhifadhi wa fasihi simulizi
 
UHAKIKI WA FASIHI ANDISHI
UHAKIKI WA FASIHI ANDISHIUHAKIKI WA FASIHI ANDISHI
UHAKIKI WA FASIHI ANDISHI
 
Research in education
Research in educationResearch in education
Research in education
 
UTUMIZI WA LUGHA
UTUMIZI WA LUGHAUTUMIZI WA LUGHA
UTUMIZI WA LUGHA
 
Chuo kikuu cha mtakatifu agustino (autosaved)
Chuo kikuu cha mtakatifu agustino (autosaved)Chuo kikuu cha mtakatifu agustino (autosaved)
Chuo kikuu cha mtakatifu agustino (autosaved)
 
MAENDELEO YA KISWAHILI
MAENDELEO YA KISWAHILIMAENDELEO YA KISWAHILI
MAENDELEO YA KISWAHILI
 
Mofolojia
MofolojiaMofolojia
Mofolojia
 
ACTION RESEARCH & FUNDAMENTAL RESEARCH
ACTION RESEARCH & FUNDAMENTAL RESEARCHACTION RESEARCH & FUNDAMENTAL RESEARCH
ACTION RESEARCH & FUNDAMENTAL RESEARCH
 
WAYS TO DEVELOP LEARNER CENTERED CURRICULUM
WAYS TO DEVELOP LEARNER CENTERED CURRICULUMWAYS TO DEVELOP LEARNER CENTERED CURRICULUM
WAYS TO DEVELOP LEARNER CENTERED CURRICULUM
 
Educational Administration.pptx
Educational Administration.pptxEducational Administration.pptx
Educational Administration.pptx
 
Dialogue Based Education.pptx
Dialogue Based Education.pptxDialogue Based Education.pptx
Dialogue Based Education.pptx
 
Teacher development approaches
Teacher development approachesTeacher development approaches
Teacher development approaches
 
Importance Of Teacher Education
Importance Of Teacher EducationImportance Of Teacher Education
Importance Of Teacher Education
 
Syllabus Design
Syllabus Design Syllabus Design
Syllabus Design
 
Instructional objectives
Instructional objectivesInstructional objectives
Instructional objectives
 
Research paradigms in education
Research  paradigms in educationResearch  paradigms in education
Research paradigms in education
 
variables in educational research
variables in educational researchvariables in educational research
variables in educational research
 

UTAFITI WA KIELIMU

  • 1. Maana ya utafiti. Umuhimu wa kufanya utafiti wa kielimu. Hatua za kufanya utafiti wa kielimu. Mpangilio au uandishi wa ripoti ya utafiti mdogo wa kielimu. Kutumia matokeo ya utafiti.
  • 2. Utafiti ni uchunguzi unaotumia mbinu za kisayansi katika kutafuta taarifa juu ya jambo fulani.
  • 3. λ Kuna aina kuu mbili za utafiti. 2.Utafiti wa msingi 3.Utafiti wa matumizi
  • 4.  Hutumika zaidi na wanasayansi.  Lengo kuu ni kukuza nadharia, misingi na kanuni mbalimbali.  Hauzingatii sana kutumia matokeo katika kutatua matatizo.
  • 5.  Unakazia matumizi ya matokeo ya utafiti huo katika kutatua matatizo na kufanya shughuri fulani iwe bora zaidi.  Lengo ni kufanya utendaji uwe bora zaidi.
  • 6.  Ni utafiti wa aina yoyote unaohusiana na mambo ya kielimu.  Unahusiana na afanikio katika kujifunza, mipango ya elimu, mitaala na uwezo wa walimu kufundisha.
  • 7.  Kwa ajili ya kuanzisha nadharia muhimu za kielimu.  Kuwezesha marekebisho katika program na maeneo mbalimbali ya kielimu.  Ni chombo muhimu katika kutafuta majibu katika mipango mbalimbali ya kielimu.  kuna haja ya utafiti wa kielimu kutokana na mabadiliko katika dhana na mfumo wa miundo katika uwanja wa elimu.
  • 8.  Kusaidia katika kuleta uboreshaji katika mitaala iliyopo, vitabu, mbinu za ufundishaji na tathmini.
  • 9. 1. Kutaja Suala la utafiti 2. Kuelezea Madhumuni ya Utafiti 3. Kuandika Pitio la maandiko 4. Kueleza Njia na Miundo ya Utafiti 5. Katayarisha, kujaribisha na kurekebisha Zana za Utafiti 6. Kukusanya,kuchambua na kutafsiri data
  • 10. λ Hiki ni kiini cha Utafiti λ Lengo la Utafiti na Muundo wake hutegemea sana SUALA LA UTAFITI
  • 11.  Maendeleo mabaya ya wanafunzi  Wanafunzi katika shule yenye majengo duni wana alama na mafanikio ya chini kuliko wale wa majengo bora.  wanafunzi katika madarasa bora na vifaa vya kutosha huwa na alama na mafanikio bora kuliko wale wa madarasa duni na yasiyo na vifaa vya kutosha
  • 12.  Liko wazi  Lina mchango katika masuala yaliyotangulia  Linaweza kufanyika katika mazingira halisi  Lina jambo jipya  Lina mwelekeo
  • 13.  Soma ripoti mbalimbali zinazohusu suala unalofanyia Utafiti  Madhumuni  Kugundua tafiti zilizokwishafanyika kuhusiana na suala  Kutambua tafiti zilishughulikia kusudi na maswali gana ya Utafiti  Kuafahamu njia na zana zilizotumika,namna zilivyotumika,jinsi ukokotoaji na uwasilishaji wa data
  • 14.  Kutambua makosa na matatizo yaliyotokea ila yaweze kuepukwa.
  • 15.  Maktaba ni sehemu muhimu unapoweza kupitia maandiko mengi.  Jambo muhimu kuhakikisha unafuata taratibu za mapitio ikiwemo ufupisho wenye mambo makuu, fuata taratibu za uandishi wa nukuu kama utahitaji kufanya.
  • 16.  Njia za Utifiti wa Kielimu; Saveyi Kisa mafunzo Jaribio