SlideShare une entreprise Scribd logo
1  sur  17
Maana ya utafiti.
Umuhimu wa kufanya utafiti wa kielimu.
Hatua za kufanya utafiti wa kielimu.
Mpangilio au uandishi wa ripoti ya utafiti
mdogo wa kielimu.
Kutumia matokeo ya utafiti.
Utafiti ni uchunguzi unaotumia mbinu za
 kisayansi katika kutafuta taarifa juu ya
               jambo fulani.
λ Kuna aina kuu mbili za utafiti.
2.Utafiti wa msingi
3.Utafiti wa matumizi
 Hutumika zaidi na wanasayansi.
 Lengo kuu ni kukuza nadharia, misingi
  na kanuni mbalimbali.
 Hauzingatii sana kutumia matokeo
  katika kutatua matatizo.
 Unakazia matumizi ya matokeo ya utafiti
  huo katika kutatua matatizo na kufanya
  shughuri fulani iwe bora zaidi.
 Lengo ni kufanya utendaji uwe bora
  zaidi.
 Ni utafiti wa aina yoyote unaohusiana na
  mambo ya kielimu.
 Unahusiana na afanikio katika kujifunza,
  mipango ya elimu, mitaala na uwezo wa
  walimu kufundisha.
 Kwa ajili ya kuanzisha nadharia muhimu za kielimu.
 Kuwezesha marekebisho katika program na maeneo
  mbalimbali ya kielimu.
 Ni chombo muhimu katika kutafuta majibu katika
  mipango mbalimbali ya kielimu.
 kuna haja ya utafiti wa kielimu kutokana na mabadiliko
  katika dhana na mfumo wa miundo katika uwanja wa
  elimu.
 Kusaidia katika kuleta uboreshaji katika
 mitaala iliyopo, vitabu, mbinu za
 ufundishaji na tathmini.
1. Kutaja Suala la utafiti
2. Kuelezea Madhumuni ya Utafiti
3. Kuandika Pitio la maandiko
4. Kueleza Njia na Miundo ya Utafiti
5. Katayarisha, kujaribisha na kurekebisha
   Zana za Utafiti
6. Kukusanya,kuchambua na kutafsiri
   data
λ Hiki ni kiini cha Utafiti
λ Lengo la Utafiti na Muundo wake
 hutegemea sana SUALA LA UTAFITI
 Maendeleo mabaya ya wanafunzi
 Wanafunzi katika shule yenye majengo
  duni wana alama na mafanikio ya chini
  kuliko wale wa majengo bora.
 wanafunzi katika madarasa bora na vifaa
  vya kutosha huwa na alama na mafanikio
  bora kuliko wale wa madarasa duni na
  yasiyo na vifaa vya kutosha
 Liko wazi
 Lina mchango katika masuala yaliyotangulia
 Linaweza kufanyika katika mazingira halisi
 Lina jambo jipya
 Lina mwelekeo
 Soma ripoti mbalimbali zinazohusu suala unalofanyia
  Utafiti
 Madhumuni
 Kugundua tafiti zilizokwishafanyika kuhusiana na suala
 Kutambua tafiti zilishughulikia kusudi na maswali gana
  ya Utafiti
 Kuafahamu njia na zana zilizotumika,namna
  zilivyotumika,jinsi ukokotoaji na uwasilishaji wa data
 Kutambua makosa na matatizo yaliyotokea ila yaweze
 kuepukwa.
 Maktaba ni sehemu muhimu unapoweza kupitia
  maandiko mengi.
 Jambo muhimu kuhakikisha unafuata taratibu za mapitio
  ikiwemo ufupisho wenye mambo makuu, fuata taratibu
  za uandishi wa nukuu kama utahitaji kufanya.
 Njia za Utifiti wa Kielimu;
Saveyi
Kisa mafunzo
Jaribio
THE END

Contenu connexe

Tendances

Instructional Multimedia Development
Instructional Multimedia DevelopmentInstructional Multimedia Development
Instructional Multimedia Development
Pinoy Guro
 

Tendances (20)

interdisciplinarycurriculum
interdisciplinarycurriculuminterdisciplinarycurriculum
interdisciplinarycurriculum
 
Ebsco
EbscoEbsco
Ebsco
 
Instructional Multimedia Development
Instructional Multimedia DevelopmentInstructional Multimedia Development
Instructional Multimedia Development
 
MEANING AND NATURE OF CURRICULUM
MEANING AND NATURE OF CURRICULUMMEANING AND NATURE OF CURRICULUM
MEANING AND NATURE OF CURRICULUM
 
Values & importance of teaching biological science
Values & importance of teaching biological scienceValues & importance of teaching biological science
Values & importance of teaching biological science
 
Interrogating the text , Critical thinking
Interrogating the  text , Critical thinkingInterrogating the  text , Critical thinking
Interrogating the text , Critical thinking
 
B.ed. 1st sem philosophies in education
B.ed. 1st sem philosophies in educationB.ed. 1st sem philosophies in education
B.ed. 1st sem philosophies in education
 
Aims & objectives of teaching biological science
Aims & objectives of teaching biological scienceAims & objectives of teaching biological science
Aims & objectives of teaching biological science
 
Curriculum Design & Development
Curriculum Design & DevelopmentCurriculum Design & Development
Curriculum Design & Development
 
Models, Principles and Development of Curriculum Design
Models, Principles and Development of Curriculum DesignModels, Principles and Development of Curriculum Design
Models, Principles and Development of Curriculum Design
 
Tpack
TpackTpack
Tpack
 
Impact of in service teacher training programme on students achievement in en...
Impact of in service teacher training programme on students achievement in en...Impact of in service teacher training programme on students achievement in en...
Impact of in service teacher training programme on students achievement in en...
 
Components of curriculum
Components of curriculumComponents of curriculum
Components of curriculum
 
Scientific inquiry and theory development
Scientific inquiry and theory developmentScientific inquiry and theory development
Scientific inquiry and theory development
 
Utungaji wa kazi za fasihi
Utungaji  wa kazi za fasihiUtungaji  wa kazi za fasihi
Utungaji wa kazi za fasihi
 
Syllabus and Curriculum
Syllabus and CurriculumSyllabus and Curriculum
Syllabus and Curriculum
 
Curriculum monitoring
Curriculum monitoringCurriculum monitoring
Curriculum monitoring
 
Curriculum context
Curriculum contextCurriculum context
Curriculum context
 
English Language curriculum
English Language curriculumEnglish Language curriculum
English Language curriculum
 
Curriculum Models
Curriculum ModelsCurriculum Models
Curriculum Models
 

UTAFITI WA KIELIMU

  • 1. Maana ya utafiti. Umuhimu wa kufanya utafiti wa kielimu. Hatua za kufanya utafiti wa kielimu. Mpangilio au uandishi wa ripoti ya utafiti mdogo wa kielimu. Kutumia matokeo ya utafiti.
  • 2. Utafiti ni uchunguzi unaotumia mbinu za kisayansi katika kutafuta taarifa juu ya jambo fulani.
  • 3. λ Kuna aina kuu mbili za utafiti. 2.Utafiti wa msingi 3.Utafiti wa matumizi
  • 4.  Hutumika zaidi na wanasayansi.  Lengo kuu ni kukuza nadharia, misingi na kanuni mbalimbali.  Hauzingatii sana kutumia matokeo katika kutatua matatizo.
  • 5.  Unakazia matumizi ya matokeo ya utafiti huo katika kutatua matatizo na kufanya shughuri fulani iwe bora zaidi.  Lengo ni kufanya utendaji uwe bora zaidi.
  • 6.  Ni utafiti wa aina yoyote unaohusiana na mambo ya kielimu.  Unahusiana na afanikio katika kujifunza, mipango ya elimu, mitaala na uwezo wa walimu kufundisha.
  • 7.  Kwa ajili ya kuanzisha nadharia muhimu za kielimu.  Kuwezesha marekebisho katika program na maeneo mbalimbali ya kielimu.  Ni chombo muhimu katika kutafuta majibu katika mipango mbalimbali ya kielimu.  kuna haja ya utafiti wa kielimu kutokana na mabadiliko katika dhana na mfumo wa miundo katika uwanja wa elimu.
  • 8.  Kusaidia katika kuleta uboreshaji katika mitaala iliyopo, vitabu, mbinu za ufundishaji na tathmini.
  • 9. 1. Kutaja Suala la utafiti 2. Kuelezea Madhumuni ya Utafiti 3. Kuandika Pitio la maandiko 4. Kueleza Njia na Miundo ya Utafiti 5. Katayarisha, kujaribisha na kurekebisha Zana za Utafiti 6. Kukusanya,kuchambua na kutafsiri data
  • 10. λ Hiki ni kiini cha Utafiti λ Lengo la Utafiti na Muundo wake hutegemea sana SUALA LA UTAFITI
  • 11.  Maendeleo mabaya ya wanafunzi  Wanafunzi katika shule yenye majengo duni wana alama na mafanikio ya chini kuliko wale wa majengo bora.  wanafunzi katika madarasa bora na vifaa vya kutosha huwa na alama na mafanikio bora kuliko wale wa madarasa duni na yasiyo na vifaa vya kutosha
  • 12.  Liko wazi  Lina mchango katika masuala yaliyotangulia  Linaweza kufanyika katika mazingira halisi  Lina jambo jipya  Lina mwelekeo
  • 13.  Soma ripoti mbalimbali zinazohusu suala unalofanyia Utafiti  Madhumuni  Kugundua tafiti zilizokwishafanyika kuhusiana na suala  Kutambua tafiti zilishughulikia kusudi na maswali gana ya Utafiti  Kuafahamu njia na zana zilizotumika,namna zilivyotumika,jinsi ukokotoaji na uwasilishaji wa data
  • 14.  Kutambua makosa na matatizo yaliyotokea ila yaweze kuepukwa.
  • 15.  Maktaba ni sehemu muhimu unapoweza kupitia maandiko mengi.  Jambo muhimu kuhakikisha unafuata taratibu za mapitio ikiwemo ufupisho wenye mambo makuu, fuata taratibu za uandishi wa nukuu kama utahitaji kufanya.
  • 16.  Njia za Utifiti wa Kielimu; Saveyi Kisa mafunzo Jaribio